Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitajengwa Nchi nzima ,ni mradi wa nyumba 5,000 maarufu kama Samia Housing Scheme.SAMIA HOUSING SCHEME
Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Dodoma tayari?Zitajengwa Nchi nzima ,ni mradi wa nyumba 5,000 maarufu kama Samia Housing Scheme.
Mwaka huu ndio kazi inaanza Dom.Dodoma tayari?
Hii ni Moja ya kazi ambayo Samia ameweza ila.wengine walishibdwa.SAMIA HOUSING SCHEME
Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Huwezi Jenga mradi kama huo ukakosa kuweka Barabara.Tabu Barabara hizi zitazima foleni
Sasa tabu kubwa nasikia huko
Muhimu waangalie hilo fasta maana hao traffic wa asubuhi na jioni bado wanabanwa
🚮🚮🚮🚮 Hii ,,Uliwahi ona wapi yule mtu wenu anashughulika na majengo? Au unadhani ni Magomeni Kota hiyo?Huo mradi umeanza toka enzi za Magufuli.
Hakuna cha kupongezwa hapo.
Wacheni upuuzi,kina miradi hapo Kawe ya enzi ya JK ambayo ilikwam awamu ya 5,,Mama ameififua na anamalizia inaitwa 7/11Ulianza wakati wa kikwete baadae ukasimamishwa wakati wa Magufuli na Mama akauendeleza
Huu mradi walipewa tenda Kampuni inaitwa Istim
Mradi mwingine huu hapa ambao ulikwama awamu ya Magufuli na Samia ameufufua na uko mwishoni 👇👇SAMIA HOUSING SCHEME
Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Si sehemu nzuri kukuzia watoto, wengi watakuwa mazezeta.SAMIA HOUSING SCHEME
Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261
Magufuli alikua ana dili na vitu vya Kimataifa kama Madaraja makubwa.treni za umeme mabwawa ya umeme, Yule alikua Raisi ndiyo maana alikua aendi nchi za watu bila kupata muhariko kutoka kwa Raisi, tofauti na sasa ata Meya wa Comoros anaweza kumpa muhariko Raisi Watanzania na Raisi akaenda.🚮🚮🚮🚮 Hii ,,Uliwahi ona wapi yule mtu wenu anashughulika na majengo? Au unadhani ni Magomeni Kota hiyo?
Huo ni uchawa mtupu, kwani hizo nyumba zinajengwa kwa pesa binafsi za mama Abdul?SAMIA HOUSING SCHEME
Mradi wa ujenzi wa nyumba kwaajili ya makazi ya Kaya (Familia) 5,000 unaotekelezwa kwa awamu wa Kawe Jijini Dar es Salaam, umekamilika kwa asilimia 78% na upo kwenye hatua za mwishoni.
View attachment 3210261