Hata huyo Chakwela wamalawi walianza kupaza sauti zao mwaka jana 2022 na aligoma, si hizo safari tu bali na misururu ya magari 80! yanayomsindikiza akienda saiti.Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote wlioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote wlioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Upo sahihi sanaSafari zina.maslahi kwa familia yake, hawezi kabisa kufuata ushauri wako
Ndiyo kwanza wanaongeza matumizi makubwa misafara sijui ya Rais, Makamu, PM, Naibu PM, Spika, Jaji, CDF, IGP, KM wa CCM, Msemaji wa CCM, Wastaafu n.kYani serikali ambayo ipo kwa ajiri ya viongozi kutawala wananchi(sio kuwatumikia) wataanzaje tena kufikiria kupunguza matumizi ya serikali?
Gharama gani alipunguza? Mbona mwenge aliuacha na hauna faida!! Maposho ya wabunge hakupunguza. Balozi zilikua zinafuja pesa, CCM ilikua inatumia ma V8 hata 30 kwenye msafara let alone rais akiwa na ziara mpaka aende na serikali nzima kumbuka msafara mrefu, helicopter juu n.k!! Haya akienda mkoani wanachukua kabisa ndege ya ATCL ile kubwa kuzunguka nayo badala ifanye business routes. Kumbuka hapo bado walikua na fungu la kununua wapinzani, kuwalipa kina Halima mdee ambao hawapo bungeni kwa mujibu wa sheria, na bado alinajisi uchaguzi uliotumia mabilioni!! Lakini bado tunaambiwa alipunguza matumizi?Magufuli alisema kuwa atakumbukwa kwa mambo mazuri, mojawapo likiwa ni hili la kupunguza gharama zisizokuwa za msingi kwa serikali. Zambia wanazingatia hili, Malawi nao pia wamelianza.
Nabii hakubaliki kwaoMagufuli alisema kuwa atakumbukwa kwa mambo mazuri, mojawapo liigahilikupunguza gharama zisizokuwa za msingi kwa serikali. Zambia wanazingatia hili, Malawi nao pia wamelianza.
At least huyo akijatahidi hata kuthubutu!..Gharama gani alipunguza? Mbona mwenge aliuacha na hauna faida!! Maposho ya wabunge hakupunguza. Balozi zilikua zinafuja pesa, CCM ilikua inatumia ma V8 hata 30 kwenye msafara let alone rais akiwa na ziara mpaka aende na serikali nzima kumbuka msafara mrefu, helicopter juu n.k!! Haya akienda mkoani wanachukua kabisa ndege ya ATCL ile kubwa kuzunguka nayo badala ifanye business routes. Kumbuka hapo bado walikua na fungu la kununua wapinzani, kuwalipa kina Halima mdee ambao hawapo bungeni kwa mujibu wa sheria, na bado alinajisi uchaguzi uliotumia mabilioni!! Lakini bado tunaambiwa alipunguza matumizi?
Nilichogundua JPM alikua muigizaji mzuri, yaani unapunguza gharama zinazoonekana wazi ila zile za siri siri zinaendelea kutumika. That's politics.
NCHI INA BALOZI KILA NCHI LAKINI MISAFARA HAIKOMI KILA SIKU VIONGOZI WAPO ANGANI KAMA POPONampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
KUFUTA SAFARI NI UPUMBAVU WA KIJINGA KABISA HAJUI BINADAMU TUNATEGEMEANA.Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Hao wanajianda kwa uchaguzi wacha waende wakirudi waanze ujenzi na ss tupate pesaMagufuli alisema kuwa atakumbukwa kwa mambo mazuri, mojawapo likiwa ni hili la kupunguza gharama zisizokuwa za msingi kwa Serikali. Zambia wanazingatia hili, Malawi nao pia wamelianza.
Sijui kama utaeleweka,waliomzunguka ni wanufaika wakubwa kwa hizo safariNampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Lini utajifungua mimba ya Magufuli?[emoji6]Gharama gani alipunguza? Mbona mwenge aliuacha na hauna faida!! Maposho ya wabunge hakupunguza. Balozi zilikua zinafuja pesa, CCM ilikua inatumia ma V8 hata 30 kwenye msafara let alone rais akiwa na ziara mpaka aende na serikali nzima kumbuka msafara mrefu, helicopter juu n.k!! Haya akienda mkoani wanachukua kabisa ndege ya ATCL ile kubwa kuzunguka nayo badala ifanye business routes. Kumbuka hapo bado walikua na fungu la kununua wapinzani, kuwalipa kina Halima mdee ambao hawapo bungeni kwa mujibu wa sheria, na bado alinajisi uchaguzi uliotumia mabilioni!! Lakini bado tunaambiwa alipunguza matumizi?
Nilichogundua JPM alikua muigizaji mzuri, yaani unapunguza gharama zinazoonekana wazi ila zile za siri siri zinaendelea kutumika. That's politics.
Walikula sana miguu ya kuku. Viguru na njiaNCHI INA BALOZI KILA NCHI LAKINI MISAFARA HAIKOMI KILA SIKU VIONGOZI WAPO ANGANI KAMA POPO
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app