Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iweje. Yaani unamuona Samia ni hamnazo kama chakwela? Viongozi au rais kwenda nje insongeza ushawishi hence purchasing power ya nchi thru aggregate demand. Chakwela ni kama kilaza jpm tuNampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Safari nyingi za rais hazina tija, angetuma hata waziri tu.Safari ni muhimu lakini sharti ziratibiwe, sasa ukiwa vasco da Gama zama hizi jau matumizi huwa ni makubwa sana
Mjomba pekupeku naye yumo, Mona Lisa naye yumo, Nyerere feki naye yumo.Ndiyo kwanza wanaongeza matumizi makubwa misafara sijui ya Rais, Makamu, PM, Naibu PM, Spika, Jaji, CDF, IGP, KM wa CCM, Msemaji wa CCM, Wastaafu n.k
Siku nikimkuta kuzimu anaungua mpaka mfupa wa mwisho..... alijiona mungu mtu na kwamba angeishi milele.Lini utajifungua mimba ya Magufuli?[emoji6]
Wote si maCCM yale yale mafisadi nachopinga ni kumfanya JPM ni tofauti na mafisadi wengine wa CCM walioshika urais.At least huyo akijatahidi hata kuthubutu!..
Vipi hawa wa sasa hivi?
Ni tofauti ndio!..Wote si maCCM yale yale mafisadi nachopinga ni kumfanya JPM ni tofauti na mafisadi wengine wa CCM walioshika urais.
Ili watoto wake wakale polisi?Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje mqtembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma- allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake, Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Angalau lakini hakuna alichofanikisha mfano mshahara wake ulikua haukatwi kodi na hakuwahi badilisha sheria hiyo.Ni tofauti ndio!..
Maana angalau alijaribu kujitikisa
Nyamaza kwanza posho ya wenza ipiteWalikula sana miguu ya kuku. Viguru na njia
Hatari snMjomba pekupeku naye yumo, Mona Lisa naye yumo, Nyerere feki naye yumo.
Yaani aache kwenda ujombani!!!Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje matembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma-allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake. Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.
Leta orodha ya wawekezaji wakubwa watatu ambao wanawekeza hapa Tanzania baada ya huyu mama kuanza kutembelea mataifa ya huko. Hivi mnafikiri hili taifa litajengwa na hao wazungu na waarabu? Hivi mataifa yao yalijengwa na watu wa nje?Safari zina maslahi kwa familia yake, hawezi kabisa kufuata ushauri wako