imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Na ile perdiem ya buku saba ofisini Lumumba?Kwani polepole alikua ananilipa mshahara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ile perdiem ya buku saba ofisini Lumumba?Kwani polepole alikua ananilipa mshahara
Hakuna kitu wanachochukia kama kuona watu wakiwa na furaha, hii furaha inayoanza kujidhihirisha kwa umma wa Watanzania kunawakasirisha mno.... the people's happiness ni indicator mojawapo ya kiongozi bora! Mataga kwao ni visasi tu utafikiri ni jungle life!
Mbona sioni alichozungumza zaidi ya daily commonsBasi sawa, fungulia kila k2 then tupate mafuriko ya wawekezaji hapa TZ
Tuna safari ndefu sana kufika kule tunakotaman kufika kama taifa kubwa na lenye uchumi mkubwaAnafanya mambo aliyofanya JK na matokeo yake tunayajua
Cheap politics. Tuliwahi kuwa na sera inaitwa "ruksa," lakini nchi haikwenda popote, tukaishia kuwa hatuna hata ndege moja, na ndiyo mara ya mwisho kwa reli yetu kufanya kazi ingawa supply Tanzanite kwenye soko la dunia ilipanda sana. Sera ya nakwenda kufungulia nchi ni sera inayoonekana kuwa ya revisionist kuliko ya visionary.Basi sawa, fungulia kila k2 then tupate mafuriko ya wawekezaji hapa TZ
Kuna watu wanateseka na roho mbaya na agenda zao za siri,Roho mbaya itakuua. Utakufa maskini
Tena hicho kipindi wanachokisifu ndio yalizidi, ila basi tuNa lini yalidhibitiwa? Mbona mateja wapo kama kawaida. Mapusha wapo kama kawaida.
Chawa wa Jiwe wanahangaika kutaka kumpamba mwendazake ili aonekane ndio alikuwa mzuri/ bora zaidi bila mafanikio masikini chawa wa Jiwe mnateseka kweli .Kama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.
Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
Uraia wa Nchi mbili ni muhimu zaidi... mwendazake aliifunga nchi haswa! Mama fungua (unlock) nchi taifa lisonge mbele.
Unazungumza kinyume , utawala wa Jpm hakuna aliyetamani kujiajiri maana wafanyabiashara walibanwa , mama anaposema anakwenda kufungua nchi anazungumzia sekta binafsi zaidi maana ndio iliyokuwa inawenda kufaTunaenda kuwa watumwa wa wawekezaji maana tutashindwa kufungua biashara zetu vijana wengi watakimbilia kwenye ajira
Maana kwa JPm .akili zilishaanza kukomaa kuanza kujiajiri ...mawazo ya vijana wengi walikuwa wanafikiria kujiajiri tu yaani nawambia baada ua miaka 10 tungepata wafanyabiashara wengi tena hao wangeajiri wezao
HongeraMimi baada ya Iddi naelekea Nairobi kutafuta Mwekezaji aje ili tuingie nae ubia kwenye Shamba langu la Mbaazi.
Siku utakapo hitaji kitu ukaambiwa kinamilikiwa na wachavhe na wewe ukakosa na kuwa kama mgeni kwenye nchi yako ndo ukae kimya usirudi kugomba humuRoho mbaya itakuua. Utakufa maskini
Wanyonge wanatusumbua sana na unyonge wao,waoga sana wa changamoto... fafanua; "hatutakaa tuinuke tena"; kama lini tuliwahi kuinuka?
Na ile perdiem ya buku saba ofisini Lumumba?
Njoo pm mama D please.Na ile perdiem ya buku saba ofisini Lumumba?
Labda ww ni katika SukumaGeng, majority wa huko wanasema ni mpaka kwa VPNSijakuelewa.mimi natumia Twitter bila VPN hapa Daslam.