Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi baada ya Iddi naelekea Nairobi kutafuta Mwekezaji aje ili tuingie nae ubia kwenye Shamba langu la Mbaazi.Si mlifungiwa mna corona nyie!? Mkazuiwa kuingia kule🤔🤔
Au corona imeisha
Marehemu alikuwa mwendawazimu na watoto wake wameeithishwa uwendawazimu.Mama wacha achape kazi, hao watoto wa marehemu wanaosumbuliwa na jinamizi LA baba yao asiwasikilize awapuuze ajue sisi wanae tuna matumaini makubwa sana na yeye. Hao lengo lao wanataka kumtoa kwenye reli ili asitufikishe nchi ya ahadi.
Maskini hawataki watu watajirike ndio maana wananuna kuskia mama anataka kufungua nchiRoho mbaya itakuua. Utakufa maskini
Tumpe muda ni mapema sana kuanza kuwa na wasiwasi so far so good .Ni kama anafanya mambo mengi ili tu tumtambue kuwa yeye ni Rais...
Naona pia kama anahisi wenzake walikosea mahali fulani na fulani lakini yeye anaona anaweza rekebisha...
Sasa hizi mbio mbio zake ndio zanipa mashaka kidogo, maana akimbiaye huenda anakimbizwa au anakimbia kwa sababu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi baada ya Iddi naelekea Nairobi kutafuta Mwekezaji aje ili tuingie nae ubia kwenye Shamba langu la Mbaazi.
"Vigezio na Masharti Kuzingatiwa"...., nimekuwa nikisubiri maneno haya kwa hamu sana.... that's what we need! Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Nchi ilikuwa ya hovyo zaidi ya alivyoiharibu magufuli.mateso aliyotupa magufuli miaka mitano inatoshaKama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.
Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
Ndio maana na kwambia tatizo ni mifumo haipo, lakini tax officer akija offisini kwako kukagua anajua umepita wapi na umekwepa wapi , sasa anachofanya yeye au wewe ni kumwambia hii 100m badala ya kwenda serikakini tugawane wewe upate na yeye apate, sasa hapi ataacha kujenga.Unaongea nadharia zaidi.
Unajua kuwa aafisa wanaojenga mitaani a vitongojini ni wa TRA?
Na rates za rushwa ni ngapi?
Na tukueleze kama hujui, TRA wanapiga WIZI sana kwa makampuni kwenye kukokotoa Witholding Tax.
Kwani kabla yake huyo mwendazake kuifunga, ilikuwa imesonga hadi wapi?... mwendazake aliifunga nchi haswa! Mama fungua (unlock) nchi taifa lisonge mbele.
Ulikuwa hucheki ?????... wazee wa legacy fake Mkuu! Hawaamini mambo muhimu Mama aliyoyafanya ndani ya muda mfupi tangu akalie kiti. At least furaha imerejea nchini kwao ni uchungu kweli kweli wazee wa visasi!