Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Ha haa kweli Vi-wonderKwa kweli tumeshuhudia Vi-wonder juu ya Vi-wonder.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haa kweli Vi-wonderKwa kweli tumeshuhudia Vi-wonder juu ya Vi-wonder.
Ni kama anafanya mambo mengi ili tu tumtambue kuwa yeye ni Rais...Ungeweka hicho kitu ambacho hukielewi wazi ili tusaidiane mawazo.
Kufunga nchi maana yake nini?Point hapa sio kufungua au kufunga nchi,
Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa kujifungia.Basi sawa, fungulia kila k2 then tupate mafuriko ya wawekezaji hapa TZ
Hizi "theories" za 'kujifungia na kufungulia' nchi nimeanza kuzisikia jana.Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa kujifungia.
Unasumbuliwa na mzimu wa mwendazake! Acha uteseke!Moto wa mabua huwaka sana na kwa haraka mwanzoni, lakini kwa muda mfupi sana!
Tulizuiwa lini?! Ulishawahi kwenda KE ukazuiwa?Si mlifungiwa mna corona nyie!? Mkazuiwa kuingia kule🤔🤔
Au corona imeisha
Kumbuka Samia amekuwa makamu wa Rais wa serikali hiyo hiyo kwa miaka 6 hivyo ni suala la kurekebisha tu.Ni kama anafanya mambo mengi ili tu tumtambue kuwa yeye ni Rais...
Naona pia kama anahisi wenzake walikosea mahali fulani na fulani lakini yeye anaona anaweza rekebisha...
Sasa hizi mbio mbio zake ndio zanipa mashaka kidogo, maana akimbiaye huenda anakimbizwa au anakimbia kwa sababu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Utalazimisha Mtz aniliki shamba wakati hana uwezo wa kuliendeleza hilo shamba?Mashamba makubwa yamilikiwe na wa Tz na yale yenye kuhitaji foreign input basi yawe asilimia 51% wa tz .
Na kwenye viwanda iwepo component ya local kuwemo au shirika la umma liwe mbia
Kwahiyo ni arud mtangulizi ama? Acha hila jombaaHuyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
Kwani watu wote ni wakulimaUtalazimisha Mtz aniliki shamba wakati hana uwezo wa kuliendeleza hilo shamba?