Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Nchi haiwezi kwenda kwa mwendo wa task force
A task force is a group of people who come together from diverse branches, positions, and points of view to facilitate the development of ideas, create new opportunities, answer questions, or solve a problem.



A task force is a unit or formation established to work on a single defined task or activity. Originally introduced by the United States Navy, the term has now caught on for general usage and is a standard part of NATO terminology.
 
Ndio ujiulize kwanini watu wanakwepa kodi?
Ni kwasababu ziko juu sana. Tanzania kama una biashara yako.... corporate tax ni 30%! Hiyo ni mbali na matozo mengine. Unaachaje kukwepa kodi? Ndio maana mama inabidi akae na sekta binafsi ayasikie haya
Ni mawazo yako kwamba ziko juu, mfano Vat kwetu ni 18 sijui kenya at UG nk lakini hata EU vat ipo kwenye rate hiyo.
Ukija kodi za ma kampuni nchi nyingi ni 30% kwenda 40% na kwa Tz me sasa ni 30% , sasa ni kodi ipi unayodai ina sababisha watu kukwepa kodi na ukwepaji kodi upo nchi zote duniani sema tunatofautiana kiwango cha wakwepaji na udhibiti wa mifumo yetu.
Kuna vitu Mwl alivifanya ili kupunguza ukwepaji wa kodi lakini wasio muelewa waliviondoa, na kwa wenzetu wa Ulaya, institution zao zinamfumo imara wa kuweka kumbukumbu hivyo kurahisisha TRA zao kukusanya kodi.
Hapa kwetu wafanya biashara hawataki kuweka hiyo mifumo.
Sasa wakichukuliwa hatua wana lalama task force task force.
Nenda kanunue mfano cement sasa hivi uone huyo muuzaji anakupa risiti?? N.k


Rate ya UK ni hii hapa
Standard rate20%Most goods and services


Kenya ni hii
Additionally, the VAT rate was reinstated to 16% from 14% through a legal notice in accordance with the law. These rate changes became effective on 1 January 2021. This year has been characterized by several major and far-reaching tax changes in Kenya.11 Jan 2021
 
Kwani hizo biashara za mipakani hazipo? Kinacho gomba hapa ni kodi, wewe mahitaji yako ya barabara, hospital, shule yapo Tz lakini hutaki kulipa kodi kwa kuuza kwako huyo ngombe au kahawa sasa hapa naona unataka kuchanganya issue ya biashara as biashara na issue ya kodi na nchi kupata forex na ukichanganya vitu vingi naona utapoteza muelekeo . Ya nini hasa unataka.
 
Kwani hizo biashara za mipakani hazipo? Kinacho gomba hapa ni kodi, wewe mahitaji yako ya barabara, hospital, shule yapo Tz lakini hutaki kulipa kodi kwa kuuza kwako huyo ngombe au kahawa sasa hapa naona unataka kuchanganya issue ya biashara as biashara na issue ya kodi na nchi kupata forex na ukichanganya vitu vingi naona utapoteza muelekeo . Ya nini hasa unataka.
Kulipa kodi wapi? Uki export unalipa kodi wapi? Mfano umepeleka bidhaa kuuza Marekani kodi unalipa wapi? Kahawa ikipelekwa Uganda kodi inatakiwa kulipwa wapi?

Na Kenya wakileta bidhaa zao kwetu kodi wanalipa wapi?
 
Ni kwamba akiifungua nchi na mwekezaji akamilikishwa ardhi na kutokana na economic strength yake , itakuwa shida sana kuipata ardhi hiyo au kwa gharama mara mia ya bei aliyonunulia. Angalia matatizo ya ardhi yalio pelekea mapigano ya kikabila, ambapo Uhuru aliahidi kutoa kiasi lakini sijasikia kutekeleza ahadi hiyo
Unaijuwa sheria ya kumiliki ardhi ya Tanzania?
 
kulipa kodi wapi? uki export unalipa kodi wapi? mfano umepeleka bidhaa kuuza marekani kodi unalipa wapi? Kahawa ikipelekwa Uganda kodi inatakiwa kulipwa wapi?

Na kenya wakileta bidhaa zao kwetu kodi wanalipa wapi?
Hujui kodi ya Mapato na zaidi ya hapo unajua kwanini issue hii ilikuwa ni jambo kubwa ktk brexit to EU ?? Halafu unalauma watu hawajui nini kinatokea mipakani au export inakatazwa

The Irish backstop (formally the Northern Ireland Protocol) is a defunct appendix to a draft Brexit withdrawal agreement developed by the May government and the European Commission in December 2017 and finalised in November 2018, that aimed to prevent an evident border (one with customs controls) between the Republic .
 
She is hopeless and one term president!Badala ya kujishughulisha na kufuta zile sheria kandamizi za uwekezaji za mambo ya task force na kadhalika ambazo alizitunga yeye pamoja na Magufuli anaongea vitu ambavyo ni non-sense.

Hakuna mwekezaji ambae atarudi kuwekeza Tanzania kwa sheria zile!Nchi ilifungwa kwa sheria kandamizi za uwekezaji kwa hiyo inapaswa kufunguliwa kwa kufutwa sheria hizo kandamizi.
Umesikiliza vizuri alichoongea kuhusu mabadiliko ya sheria kandamizi? Sikiliza kwanza hiyo video?
 
Na madawa ya kulevya yameshafunguliwa!

Wauza ngada wataneemeka mno!

Riziwani anakenua sasa hivi....
utawala wa mwendazake hatakama yangekuwepo na wahusika kukamatwa au kuachwa,hakuna ambae angesubutu kusema.
hivyo utawala ule haukua wazi kwa mambo mengi.
maana nakumbuka hata epa ilifanyika kipindi cha mkapa ,lakini hadi alipoingia jk ndio aliweka wazi,na hatahivyo watu walishakula nusu nzima.
hivyo usikute kwa kukosa elimu,uelewa kwa ujinga wetu,hata huyu leo ataonekana hafai kwa kuamua kuwaacha muongee na kuruhusu kuweka mambo wazi.
 
Hujui kodi ya Mapato
NAJUA nikiuza kenya kodi ya mapato nalipa kenya au ulitaka nilipe mara mbili kenya na Tanzania? Double Taxation hairuhusiwi,Nikiuza Marekni nitalipa kule,Nifungue biashara ya kuuza kahawa uganda halafu nije kukulipa wewe kodi ya mapato?
 
Samia na Magufuli ni kitu kimoja sasa mnapiga kelele za nini nyie MATAGA?
 

Kufungua uchumi Serikali ya Tanzania iruhusu Watanzania kumiliki utajiri wa dunia kwa kuruhusu ununuzi na uuzaji hisa masoko makubwa ya hisa ya kampuni za kigeni duniani​


Kupata Watanzania wengi matajiri sio rahisi tusiporuhusu watu kununua hisa na kuuza kwenye masoko makubwa ya hisa Duniani yaliyoko Ulaya, Marekani na Asia. Huko ndiko matajiri wa dunia huzalishwa kwenye hayo masoko

Pia Kuwezesha nchi kuwa na pesa nyingi za kigeni badala tu ya kutegemea mauzo ya mazao ya korosho sijui dengu na mazao mengine ya mashambani yanayotegemea Hali ya hewa

Kwenye hayo masoko ndiko kwenye mikampuni mikubwa Duniani inayoongoza kupata faida ambayo huuza hisa na kununua

Hizi kelele zote za ohh makampuni ya nje yanayokuja kuwekeza ndani yanatunyonya ni za kijinga.Watanzania tungeweza kuyamiliki kwa kwenda kule yalikosajiliwa masoko ya hisa nchi zao tukanunua hisa faida hizo wanazonyonya kote duniani na sisi tukapata mgao.Makampuni yapo kibao kuanzia ya mafuta,madini ,Computer nk Kinachotakiwa ni kuruhusu tu watanzania wanunue

Bila Tanzania kuwa active kwa Watanzania kushiriki biashara ya hisa za masoko ya hisa ya kimataifa umaskini utaendelea

Soko la ndani la hisa Ni dogo na maskini ndio maana unakuta hata kampuni Kama Vodacom hisa zimedoda sokoni.Impact yake kwenye kuondoa umaskini ni mdogo mno

Soko maskini halizalishi matajiri.Ndio maana impact ya soko la hisa la Tanzania haionekani kwa Mwananchi wa kawaida kubadili maisha yake akinunua hisa!!!

Kuna masoko zamani madogo yalikuwa ya ki lofa yalikuwa yakiitwa soko mjinga.Ukipata meza Hapo ya kuuza ujue utaondoka kapa Kama Ni nyanya zitakuozea kwenye meza,Soko mjinga ni soko mjinga kweli
 
Back
Top Bottom