NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 660
- 456
Acha wasiwasi mkuu...tumpe mama ushirikiano wa kutosha atatufikisha mbali..Mama tangu ameanza kuongoza nchi yetu ameonesha uwezo mkubwa kuwaongoza serikali na ninaamini atatupeleka kule wengi tunatamani..kufika..kila la kheri mama Sasa..tupo nyuma yako tunakuunga mkono kwa dhati..tukifanya kazi kwa bidii na uaminifu mkubwa..Mungu ibariki Tanzania