Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Yule ibilisi aliharibu sana hii nchi, ww baki huko chattle unalinda kaburi, acha sisi tuendelee na maisha ya upendo.
niko dsm,kaburi haliwezi kwenda popote.

alikuwa ibilisi,tunataka tushuhudie watakatifu mnaipeleka wapi hii nchi.
 
Huyu mama nae mwanasiasa km Nyalandu tu, mkae mkijua huyo mama yupo chini ya mwavuli wa ccm kwaio hataweza kufanya kitu kisicho na baraka ya chama chake.

Km ccm watavadili mtazamo wa upigaji na kuamua kulijenga taifa basi mama nae atabadilika lkn vinginevyo ni yaleyale na ahadi zisizitekelezeka huku masikini wakiendelea kuzaliana wakiamini kila mtoto anakuja na ridhiki yake.
 
niko dsm,kaburi haliwezi kwenda popote.

alikuwa ibilisi,tunataka tushuhudie watakatifu mnaipeleka wapi hii nchi.
Ww mwagilia maua hapo kwenye kaburi la dhalimu, nchi tunaipeleka kwenye upendo baada ya yule muovu kuelekea motoni.
 
Huyu mama nae mwanasiasa km Nyalandu tu, mkae mkijua huyo mama yupo chini ya mwavuli wa ccm kwaio hataweza kufanya kitu kisicho na baraka ya chama chake.

Km ccm watavadili mtazamo wa upigaji na kuamua kulijenga taifa basi mama nae atabadilika lkn vinginevyo ni yaleyale na ahadi zisizitekelezeka huku masikini wakiendelea kuzaliana wakiamini kila mtoto anakuja na ridhiki yake.

Kwa taarifa yako rais ana maamuzi ya nchi iweje kwa 70%. Hayo makundi mengine ikiwemo ccm ndio hupanga nchi iendeje kwa 30% tu. Ndio maana unaona nchi hii inaendeshwa kwa utashi wa rais anayekuwa madarakani muda huo. Hao ccm ni wafaidika wa karibu wa madaraka ya urais, lakini hawana uwezo wowote wa kwenda kinyume na atakacho rais, kwani uwepo wa ccm hutegemea madaraka ya urais tu.
 
Ww mwagilia maua hapo kwenye kaburi la dhalimu, nchi tunaipeleka kwenye upendo baada ya yule muovu kuelekea motoni.
chuki zimekula kabisa akili zenu.

eti yuko motoni[emoji23][emoji23]
 
Kwa taarifa yako rais ana maamuzi ya nchi iweje kwa 70%. Hayo makundi mengine ikiwemo ccm ndio hupanga nchi iendeje kwa 30% tu. Ndio maana unaona nchi hii inaendeshwa kwa utashi wa rais anayekuwa madarakani muda huo. Hao ccm ni wafaidika wa karibu wa madaraka ya urais, lakini hawana uwezo wowote wa kwenda kinyume na atakacho rais, kwani uwepo wa ccm hutegemea madaraka ya urais tu.
Ila mimi kwa mtazamo wangu nahisi kundi la ccm lina nguvu kuliko icho kiti cha u-rais.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anakwenda kufungua Nchi akisema, "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao! Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"

Akizungumza na Wafanyabiashara wa Tanzania Nchini Kenya Mei 05, 2021 Rais amesema anaamini hakuna Nchi inayoendelea ikiwa peke yake

Ameeleza, anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi kuzungumzia kero mbalimbali zikiwemo za Kodi, Vibali vya Kazi (Work Permits), kuchelewa kupata ardhi kwenye Uwekezaji ili kuona namna ya kuziondoa

Rais amesema maeneo ya kujenga Uchumi yapo lakini mchakato umekuwa ukienda polepole, akitolea mfano eneo la "Industrial Parks" alilosema haoni sababu kwanini zinazuiwa

Msikilize hapa:



Mama Pole Sana kwa kazi, Mungu amekuleta ili ututoe kwenye haya mateso ya umasikini kwa miaka 60 sasa babu zetu walifilisiwa baada ya uhuru, Mpaka wajukuu ni masikini, Tunakuombea Hekima,Ulinzi,Afya Njema na Miaka mingi sana ya kuishi, Kweli unayajua matatizo ya hii nchi na watu wake na jinsi ya kuyaondoa, na Mkombozi ni wewe, Wasame wanaokutukana ni wachache sana na sisi Tunawaombea kwa Mungu awasahe, kinachowasumbua ni ukosefu wa kazi na njaa, usiwachukie wala kuwaazibu kwani suluhisho ni kuwapa kazi za kufanya. Mungu akubariki sana ujue Watanzania Wengi wanakuunga mkono na wako pamoja na wewe.
 
Huwezi endelea kwa kuwa kisiwa.Ni lazima ushirikiano na wengine uwepo.Huwezi endelea pasipo kuliwa.Maendeleo ni sawa na draft,kula uliwe.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anakwenda kufungua Nchi akisema, "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao! Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"

Akizungumza na Wafanyabiashara wa Tanzania Nchini Kenya Mei 05, 2021 Rais amesema anaamini hakuna Nchi inayoendelea ikiwa peke yake

Ameeleza, anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi kuzungumzia kero mbalimbali zikiwemo za Kodi, Vibali vya Kazi (Work Permits), kuchelewa kupata ardhi kwenye Uwekezaji ili kuona namna ya kuziondoa

Rais amesema maeneo ya kujenga Uchumi yapo lakini mchakato umekuwa ukienda polepole, akitolea mfano eneo la "Industrial Parks" alilosema haoni sababu kwanini zinazuiwa

Msikilize hapa:


Wanaomtukana ni hayo makapi ya mwendazake a.k.a MATAGA
 
Kuboost uchumi kutoka 4.9% lazima afanye hivyo anavyofanya la sivyo hali itakuwa mbaya, watu watashindwa kufanya purchasing ya product zinazozalishwa na hivyo kuathiri viwanda na uchumi kwa ujumla

Sera za mwendazake zilikuwa ngumu sana kutoboa maana zilikuwa za kukusanya tu hii inaitwa Contractionary fiscal policy mama bila shaka atatembea na expansionary
Sijui hata kama amewahi soma uchumi popote.
Huwezi somesha watu namba utegemee makusanyo, sasa matajiri wakiwa mashetani hio kodi na michango ya nsssf utapata wapi.
 
Na hiyo ni furaha yetu kwamba, mzame kwa kina kabisa, msiinuke tena, mtuachie Tanzania yetu! #sukumagang kabisa!
furaha yenu ni dhaifu maana haitamaliza hata mwezi.

muulize kigogo,fatma na sarungi.hawaelewi mpaka sasa walikuwa wanashangilia nini wakati wa kifo.
 
furaha yenu ni dhaifu maana haitamaliza hata mwezi.

muulize kigogo,fatma na sarungi.hawaelewi mpaka sasa walikuwa wanashangilia nini wakati wa kifo.
Ni kweli tupu, hakuna jipya, ni furaha ya nyie kukosa furaha tu! Yaani, ni kweli tufungwa 2 lakini tumefurahi nyie mmepigwa 7, wiki nzima! pushgang ndo imelala milele hivyo!
 
Lakini kumtendea haki, bwana yule, alikua tu mnunua ndege, hakuwa mpanda ndege kabisa! Sijui chattel International Airport tunaiganyeje, bangosha!
Jamii ile wakizifuma pesa ununua chochote hata wasichokitumia Ili kuwaringishia wengine
 
Back
Top Bottom