Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Mashamba makubwa yamilikiwe na wa Tz na yale yenye kuhitaji foreign input basi yawe asilimia 51% wa tz .
Na kwenye viwanda iwepo component ya local kuwemo au shirika la umma liwe mbia
Mi nadhani haya mambo tunachanganya madesa au tunajisumbua bure!!

Mama Samia sio kwamba anabadili sheria bali anahamasisha FDI! Hata hao USA, EU na Uchina bado wanazitafuta FDI! Kuna wakati Canada ukionesha financial ability, na unafanya biashara, fasta wanakupa Resident Permit ili mradi tu kuvutia FDI!

Na watu wanapohamasisha Foreign Direct Investments haimaanishi Watanzania wanatupwa nje ya ulingo wa uwekezaji! Na wenyewe wapo, na ndio maana Samia anataka pia kukutana na local business community!

Sasa kama Mtanzania anataka kumiliki na kuliendesha kibiashara shamba kubwa hakuna atakayemzuia ili mradi tu asifanye mtindo wa akina Mo Dewji wanaomiliki maelfu ya ekari lakini badala ya kuzitumia kwa shughuli kusudiwa, anatumia kwenda kuombea mikopo NJE!

Na hata huko kwenye umiliki wa viwanda, as of now, Samia atatumia sheria zile zile alizokuta! Kama sheria zinasema 51% inabidi imilikiwe na m-TZ basi ndo itakuwa hivyo hadi pale tutakaposikia sheria zimebadilishwa!

Hata hivyo, huwezi kuweka fixed 51% kwa sababu, tuchukulie tu kile kiwanda cha kusindika gas kule Lindi! By 2015, kilitarajiwa kingegharibu USD 30 Billion!

Tajiri namba 1 wa Tanzania HANA hata 10% ya hiyo USD 30 Billion, na ndo maana sehemu kama hiyo ni serikali ndiyo inatakiwa kuingia!
 
Anaongea ukweli ila mama anaonekana anasoma mitandao sana na kusikiliza hoja za ovyo ovyo zisizo na ushahidi.

Moja ya kazi kubwa iliyofanywa na hayati ni kufungua nchi.

Hatua ya kwanza kwenye kufungua nchi ni access rahisi ya kufikia malighafi na kutoa bidhaa nje kwa urahisi kuelekea sokoni.

Uwezi kufungua nchi bila ya miundombinu ya barabara na reli, uwezi kualika wawekezaji kama nishati yako sio ya uhakika, watanzania awawezi pata ajira kama sio skilled, urasimu serikalini unachelewesha mambo.

Na hakuna rahisi aliyewahi pigania hizo area kama Magufuli. Build it and they will come. Ndio maana wengine tulikuwa tunaona kuna watu awamuelewi Hayati.

Kufungua nchi sio maneno ni vitendo kwenye uwekezaji unaovutia unachotaka mwekezaji asione shida kwenda kufungua kiwanda cha nafaka Rukwa kwa sababu ana easy access ya masoko makubwa kwakuwa kuna barabara ya kumpeleka mwanza, Dodoma, Dar, Arusha na nje ya nchi kirahisi.

Mama alikuwa makamu wa raisi miaka sita na akumuelewa Magufuli waswahili wanasema kusoma hujui basi ata picha uoni. Hata hiyo miradi ya Bandari sio kwamba Magufuli aliikata ni terms zake ndio shida.

Binafsi nina rafiki mganda anafanya biashara ya kusafirisha mizigo anakwambia katika ma lorry kumi ya chakula yanayoenda South Sudan basi kama saba hivi yana plate number za Tanzania.

Tumeona hivi karibuni Rwanda na Kenya wakifunga mipaka baada ya siku malorry ya Tanzania ya mizigo foleni lake ni kilometre mbili, watu walikuwa wanafanya biashara zama za Magufuli aache kusikiliza huu upuuzi wa mitandaoni na kuongea maneno matumu badala ya kufanya kazi.
 
Ninachoona ni kundi la Awali bado halijakubali kwamba kuna mabadiliko..Ndg zangu badilikeni huyu Mama atatusaidia mengi..wale mliokua na madaraka na kweli mmeumiza watu sana huo ni ukweli...Sasa yameisha bora utubu uanze upya uende mbele...Bado wapo watu hawaamini kabisa kwamba zama zimepita, acheni huyu MAMA WA WATU afanye kazi..

WATU waliolia sio wafanyabiashara tu, watumishi wa Umma wamelia wamumizwa na baadhi ya watu waliokua na madaraka wametesa watu sana, wamewadhalilisha sana bado mnazo chembe na mitandao yenu ya utesi, mama waondoe hao.
 
Mama wacha achape kazi, hao watoto wa marehemu wanaosumbuliwa na jinamizi LA baba yao asiwasikilize awapuuze ajue sisi wanae tuna matumaini makubwa sana na yeye. Hao lengo lao wanataka kumtoa kwenye reli ili asitufikishe nchi ya ahadi.
Tumekuelewa mtoto wa Rais
 
Ninachoona ni kundi la Awali bado halijakubali kwamba kuna mabadiliko..Ndg zangu badilikeni huyu Mama atatusaidia mengi..wale mliokua na madaraka na kweli mmeumiza watu sana huo ni ukweli...Sasa yameisha bora utubu uanze upya uende mbele...Bado wapo watu hawaamini kabisa kwamba zama zimepita, acheni huyu MAMA WA WATU afanye kazi..

WATU waliolia sio wafanyabiashara tu, watumishi wa Umma wamelia wamumizwa na baadhi ya watu waliokua na madaraka wametesa watu sana, wamewadhalilisha sana bado mnazo chembe na mitandao yenu ya utesi, mama waondoe hao.
Kuna ka uzibe kawekewa siyo?
 
mzee wa balimi.

zezeta anayekuzidi akili anakuweka kundi lisilo na jina.
Let it go...ameshakufa huyo, sasa ni Zama mpya za Mama Samia Suluhu

Fungua Nchi Mama
1326.gif
 
Ninachoona ni kundi la Awali bado halijakubali kwamba kuna mabadiliko..Ndg zangu badilikeni huyu Mama atatusaidia mengi..wale mliokua na madaraka na kweli mmeumiza watu sana huo ni ukweli...Sasa yameisha bora utubu uanze upya uende mbele...Bado wapo watu hawaamini kabisa kwamba zama zimepita, acheni huyu MAMA WA WATU afanye kazi..

WATU waliolia sio wafanyabiashara tu, watumishi wa Umma wamelia wamumizwa na baadhi ya watu waliokua na madaraka wametesa watu sana, wamewadhalilisha sana bado mnazo chembe na mitandao yenu ya utesi, mama waondoe hao.
 
Kikwakwazo kikngine ambacho Raisi anapofungua uchumi kwa watu wa nje awakumbuke na watu wa ndani wanaoenda nje kutafuta fursa.Kitengo cha Passport ni kikwazo kikubwa kwa waenda kutafuta fursa nje ya nchi

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa.kila Mtanzania anayetaka Passport mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele ubalozini akiomba Visa

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofauti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport


Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari Tu kama enzi za Mwalimu !!! ni kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba

Asilmia kubwa ya scholarship za Tanzania asilimia tisini na Tisa ni wahindi wa Tanzania ndio huzipata
Nenda kaangalie siku mitihani ya British council ikifanywa ambacho ndicho kigezo.muhimu.cha kupata scholarship.wanaofanya Ni watoto wa wahindi watupu huoni mswahili sababu hawana Passport
Ajira nje Ziko kibao Hadi za kulima nje Kama kanada nk issue vijana hawawezi omba online sababu passport hawana.Passport asilimia kubwa unakuta wanazo maafisa wa Serikali na familia zao, wahindi na waarabu

Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibitisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani?

Haya masharti yaliyopo ndio yanazalisha rushwa ingekuwa mfano sharti Ni kitambulisho Cha taifa au cheti Cha kuzaliwa tu Nani akuombe rushwa kwa sababu ipi wakati umempa hati zote

Tatizo lingine hayo masharti yanazalisha wahamiaji haramu vijana wengi wanaoshikwa nje bila passport hasa Afrika ya Kusini.Unakuta kijana yuko kule kutafuta fursa ana mwaka anadakwa hana kosa lingine lolote lile anaambiwa tu anaishi nchini humo bila passport!!! Ukiwauliza wanaomrejesha nchini kakosa nini wanasema ni mtanzania hana passport.Ukiwauliza hawa vijana tatizo nini mbona mko wengi wanasema tulienda kuomba tukaambiwa tulete barua za mialiko na sisi hatuna tukazamia kuja kutafuta fursa! Fursa haina barua ya Mwaliko!! Kitengo cha Passport wanataka barua ya mwaliko!!!

Lakini mara ingine utasikia ohh lazima tujue unaenda huko kufanya nini waweza kwenda kufanya uhalifu!!!! Hilo swali anatakiwa Balozi wa nchi husika mtu ukienda kuomba Visa!!! Ni kujibebesha jukumu.la Polisi na mahakama ya dunia Hamuamini nchi zingine kuwa Ziko vizuri kupambana na wahalifu? Kule pia kuna Polisi pia kuna mahakama ukifanya uhalifu kule watakudaka kama sisi tunavyowadaka wageni wafanya uhalifu kwetu

Mambo ya kimataifa yanatakiwa kuaminiana Mfano wewe umempa mtu passport anaenda marekani.Wewe hujampa Visa ya kuingia Marekani unaogopa Nini?

Wao ndio waliompa Viza baada ya kujiridhisha wenyewe kuwa Ni mtu Safi.Sasa akiuza bangi kule wewe yanakuhusu Nini wewe hukumpa visa .Hata ukihojiwa unasema Mimi nilitoa passport sio visa
Lakini ukijitia ohhh mimi najua aliniambia anakuja huko na ushahidi fomu hii hapa aliyojaza Ina maana akidakwa na madawa ya kulevya wewe ndio mbeba lawama Kama facilitator kwa kukiri Mwenyewe
Nchi nyingi Wana avoid Hilo kuepuka
Hilo.Wewe toa passport usiulize anaenda nchi gani kufanya Nini sukumia Risk ubalozi unaotoa Visa

Nchi za wenetu za jumuiya ya Africa mashariki ikiwemo Kenya maswali ya unaenda wapi kufanya nini ili watoe passport hayapo ndio maana wanajaa wamejaa mataifa mengi duniani na hawasumbuliwi kule ikiwemo Afrika ya kusini kila mkenya akidakwa Passport anayo mkononi

Mtu ajira hamna anataka kwenda nje kutafuta fursa au kuomba kazi online passport humpi hivi lengo ni nini vijana wajiue au? Anakuambia live mimi nipe passport naenda kuangalia fursa simjui mtu wala sina barua ya mwaliko naomba Passport unaanza ohh sisi miaka yote toka Nyerere hatujawahi toa Passport kwa mtu eti anaenda kutafuta fursa au kuomba kazi online hatujawahi!!! AISEEEEEEEEEEEEE
 
Mkuu August ,kongole kwa mchango wako. Tanzania ni yetu sote,na Mh. Rais Samia S.H ni rais wetu sote. Tumshauri vyema ili nnchi iende vyema.
Mwendazake kaenda zake,sisi tuliobaki, tuenende na wakat uliopo.
Ndio tatizo lililopo ni wana siasa kuamua kwenye mambo technical , yeye akiombwa kitu kama alivyo waambia chato kuwa mkoa kuna vigezo, ya Kenya au EA nk kabla ya kwenda kutoa Maneno yake ni vizuri akaka na wataalamu wakamuelimisha akapata vitu vya kuongea vya kukaribisha wawekezaji na pia kuwa sisitizia win win situation.
Mfano suala la Uhuru la wa Tz kufanya kazi biashara nk Kenya litabaki katika kiwango cha chini kwa sababu uwezo wa wa Tz kupeleka bidhaa Kenya ni mdogo mfano nyanya na mboga mboga unahitaji refrigerated Van/Lorry, sio Tenga kwenye basi, lingine ni outlet ambayo MTz kuipata Kenya ni ngumu, lakini wao kwetu zipo tena wanaweza hata kukuondoa wewe mzawa
 
Wawekezaji wangapi watakubali tena kurudi wakijua mikataba mtakayokubaliana nao sasa hivi inaweza kuvunjwa na serikali ya awamu nyingine? Watakuwa ni wachache maana wanajua nchi hii ni high risk investment.
 
Laabda hujui kitu kimoja hapa Tanzania kupata mwekezaji wa kilimo kikubwa kutoka NJE ni ngumu sn haiwezi kutokea hata siku mmoja kutokana na sheria zetu za Ardhi sababu ARDHI sio mali ya mtu mali ya serikali hivyohivyo hata wewe unaijita MTANZANIA sio yakwako wakati wowote inaweza rudi serikalini.
Kurudi inaweza kurudi lakini kuwe za sababu za kutosheleza sio kwamba Raisi kaamua tu. Hilo uliweke akilini mwako .
Na ndio maana unaona kilimo Tz kimebadilika na uzalishaji umeongezeka
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anakwenda kufungua Nchi akisema, "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao! Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"

Akizungumza na Wafanyabiashara wa Tanzania Nchini Kenya Mei 05, 2021 Rais amesema anaamini hakuna Nchi inayoendelea ikiwa peke yake

Ameeleza, anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi kuzungumzia kero mbalimbali zikiwemo za Kodi, Vibali vya Kazi (Work Permits), kuchelewa kupata ardhi kwenye Uwekezaji ili kuona namna ya kuziondoa

Rais amesema maeneo ya kujenga Uchumi yapo lakini mchakato umekuwa ukienda polepole, akitolea mfano eneo la "Industrial Parks" alilosema haoni sababu kwanini zinazuiwa

Msikilize hapa:

Naona tumerudi serikal ya awamu ya nne, ama nakosea?
 
post ya swali la mahindi haikuwa uzi huo.
Still ningeiona kwenye notification!
sijasema najua kuliko bi samia,lakini yule ni mtu kama wewe.
Usimlinganishe na mimi, mlinganishe na wewe kwa sababu yeye anaamini milango haikuwa wazi lakini wewe unaamini kinyume chake, ingawaje umekiri kwamba "haikufungwa rasmi"!
hawezi haribu legacy ya jpm,hilo hata wewe unajua hilo.
Na kama hiyo legacy ipo kweli, sasa mnatapa tapa nini? And as far as I know, NO ONE, I repeat, NO ONE can destroy someone's true legacy! Na true legacy haipaganiwi kwa sababu hata watu wakijifanya hawaoni, bado itachomoza!!

Pamoja na ukweli huo, bado sie wengine tunabaki kushangaa mnavyoipigani the so-called legacy ya JPM... sounds like haipo lakini mnalazimisha watu waione!!
swali langu lilikuwa hivi??
Halikuwepo hilo swali!
kwanini mahindi yalizuiwa kuuzwa kenya??naomba ujibu hapa kama hutojali.
Kwanza, don't take it personal... KE hawakuzuia mahindi ya TZ peke yake bali na ya UG vile vile kwa hoja kwamba mahindi kutoka nchi hizo yana viwango vya sumu amabvyo vina athari kwa maisha ya binadamu!

And remember, "zuio" hilo halikuwa limetolewa na serikali kuu bali na The Agriculture and Food Authority... ni kama TFDA ya Tanzania inapopiga marufuku baadhi ya bidhaa kutoka huku na kule!!

Hata hivyo, takribani wiki moja baadae, Waziri wa Kilimo wa KE akasema KE haijazuia uingizwaji wa mahindi bali inachotaka ni mahindi kutoka nchi hizo yawe yana cheti kinachoonesha mahindi yao yapo free from toxic!!
 
Back
Top Bottom