Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Mashamba makubwa yamilikiwe na wa Tz na yale yenye kuhitaji foreign input basi yawe asilimia 51% wa tz .
Na kwenye viwanda iwepo component ya local kuwemo au shirika la umma liwe mbia
Mkuu August ,kongole kwa mchango wako. Tanzania ni yetu sote,na Mh. Rais Samia S.H ni rais wetu sote. Tumshauri vyema ili nnchi iende vyema.
Mwendazake kaenda zake,sisi tuliobaki, tuenende na wakat uliopo.
 
Asante

Kutatua tatizo la ajira Paypal Tanzania iruhusiwe kama ilivyo kenya

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.

Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.

Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.

Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.




Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.

Tumepiga kelele mno humu

Source:Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal
Kabisa mkuu, hasa sisi wana forex mama atakuwa ametupa zawadi murua kabisa
 
Kuboost uchumi kutoka 4.9% lazima afanye hivyo anavyofanya la sivyo hali itakuwa mbaya, watu watashindwa kufanya purchasing ya product zinazozalishwa na hivyo kuathiri viwanda na uchumi kwa ujumla

Sera za mwendazake zilikuwa ngumu sana kutoboa maana zilikuwa za kukusanya tu hii inaitwa Contractionary fiscal policy mama bila shaka atatembea na expansionary
Kuboost Uchumi kwa hali ya Corona hii huwezi fanikiwa
 
uchumi unaujadili hapa jukwaa la siasa!!!!na hutaki siasa zijadiliwe hapa.unatumia pombe zilio expire???

kama hujui kupigwa na ccm kukoje,huna uwezo wa kujua wanapokupa faida ccm.
Jamaa unachanganya mafile, nahisi huna mb umeingia jf kwa kutumia freebasics, kwenye clip maza kazungumza kufungua nchi(free market) hayo ni mambo ya uchumi sio siasa babu, maza hajaongelea mambo ya chadema au ccm wala covid19 Sawa? Kama uchumi umeletwa kwenye jukwaa sio kosa letu, tujadili contents zilizomo hata kama zingefunguliwa jukwaa la michezo.
 
kwani wasukuma wanaishi burundi???
au ndio hujanjwa chai mpaka saa hizi!!!
Kwani mlipokua na Nduli Magufuli mkawa mnatufanyia mateso ya kila aina , kutesa na kuua watanzania , mlijiuliza hili.?!
SUKUMA GANG mrudi tu Burundi kwenu.
 
Kikubwa tu aangalie tunu za taifa

JPM was better on that, siku jamii ikigundua anatupeleka shimoni

Epushia mbali, mama atatukanwa sana
Amani, haki, furaha, uhuru, hizi sio tunu za taifa? JPM was never better on any of them.
 
Kama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.

Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
Kwanini unahisi na kukariri, tufanye kazi na tuwashirikishe wawekezaji wenye mitaji mikubwa tukijifungia ndani hatuwezi kufika popote.
 
Kuboost Uchumi kwa hali ya Corona hii huwezi fanikiwa
Inawezekana mkuu maana kiasi sasa hivi masharti yameanza kulegezwa hasa kwa upatikanaji wa chanjo kuliko awali, lakini la pili kuna sheria ambazo zilikuwa kikwazo sana kwa wawekezaji plus uncertainity ya viongozi hivyo wengi hawakuwa wanajua wakiwekeza kesho itakuaje na mengineyo haya yalipelekea kwa kiasi kushusha uwekezaji na capital outflow kwa mama kuanza kuonyesha matumaini let's hope so
 
Mungu atupe uhai, tutakuja imba wimbo mmoja siku hizo.
... kama tulivyoimbishwa na Jiwe!
1620287719062.png
 
Nilipo kuwa naanza ufugaji akaja jamaa mmoja akaniambia kuku hawafai kabisaa wanakufa hovyo nikamwambia kaa mbali na mimi, uoga ni ugonjwa mbaya sana acha Mama alete wawekezaji tusonge mbele kikubwa ni usimamizi madhubuti kwa sheria za nchi.
 
Awamu imebadilika sasa wapo wanaoshindwa kukubaliana na hali halisi.
Hapana Phillipo,

Sio kwamba awamu imebadilika!

Tangu wakati JPM yupo hai nilishawahi kusema hapa sio chini ya mara 3!!

Tatizo letu kuna Wafuasi wa Watu na Wafuasi wa Chama/Itikadi!!

Wengi nilikuwa nawaambia hapa kwamba "wewe sio mwana-CCM" kwa sababu mwana-CCM/mtu anayeongozwa na itikadi, hawezi kusifia kiongozi A halafu akawa anamkashifu kiongozi B wakati wote wanatoka chama kile kile!!

Sasa hao unaodhani wanashindwa kubadilika ni kwa sababu tangu hapo hawakuwa wana-CCM bali walikuwa Wafuasi wa JPM! And I hate to say this but to be honest, wengine walikuwa wana-CHADEMA kabla ya 2015!!

Mimi binafsi, nilikuwa nawaheshimu na bado nawaheshimu watu wanaongozwa na itikadi/CCM kwa sababu nafahamu haiwezekani wote wawe upinzani, na ndo maana nimeshawahi kusema vilevile, siwezi kufurahia kuona chama chochote, let alone CCM kiwe eti ndo kimejaza wabunge kwa asilimia ya kupindukia kwa sababu hatutaona tofauti!!
 
1326.gif


Fungua Nchi Mama tuko pamoja, na hao Mataga wakileta Fyoko Fyoko tutawashughulikia
 
Back
Top Bottom