Safi Mama, tumechoka kuaminishwa kwamba kuna vita ya kiuchumi ambayo hatouoni tukishinda. Ni wakati Tanzania ichukue nafasi yake
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga na jiwe wao ni ibilisi hasa. Wao kwa Watanzania kuwa na furaha ni huzuni kwao. Mashetani hasa hawa.... the people's happiness ni indicator mojawapo ya kiongozi bora! Mataga kwao ni visasi tu utafikiri ni jungle life!
Wanapoteza muda.Unakosoa kwa sababu tu JPM hakutaka hilo jambo!!
Yaani nyie watu likifanywa lolote kinyume na kilichokuwa kinafanywa na JPM, basi nongwa!!
Sasa kuna ubaya gani wa kurahisisha ufanyaji biashara Tanzania?!
Kuna ubaya gani kutaka kuongea na Business Community ili kutatua changamoto zinazokwamisha uwekezaji?!
Yaani nyie watu mnatamani sana Samia afeli manake kila anachofanya mnaona anataka ku-challenge aliyokuwa anafanya JPM!
Yaani, kazi mnayo!!!
uchumi unaujadili hapa jukwaa la siasa!!!!na hutaki siasa zijadiliwe hapa.unatumia pombe zilio expire???Ndio nakuambia we ni profesa LIPUMBA vuuu, mie nimejikita kwenye masuala ya uchumi we kumbe upo kwenye siasa, maza akifanya poa kwenye uchumi watz wote tunanufaika bila kujali huyu ni chadema au ccm, hayo ya covid19 ccm imeumiza wanasiasa ambao ni sehemu ndogo ya raia wa tz umeelewa mataga?
sasa tunakwenda chiiini.hapa tulipo tumesimama?
Chunga watoto wako wasile, fundisha familia yako adabu maana Madawa DEA wameshindwa sisi tutaweza wapi kuyakomesha?Na madawa ya kulevya yameshafunguliwa!
Wauza ngada wataneemeka mno!
Riziwani anakenua sasa hivi....
'Industrial parks' ni eneo gani hilo...Rais Samia Suluhu Hassan amesema anakwenda kufungua Nchi akisema, "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao! Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"
Akizungumza na Wafanyabiashara wa Tanzania Nchini Kenya Mei 05, 2021 Rais amesema anaamini hakuna Nchi inayoendelea ikiwa peke yake
Ameeleza, anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi kuzungumzia kero mbalimbali zikiwemo za Kodi, Vibali vya Kazi (Work Permits), kuchelewa kupata ardhi kwenye Uwekezaji ili kuona namna ya kuziondoa
Rais amesema maeneo ya kujenga Uchumi yapo lakini mchakato umekuwa ukienda polepole, akitolea mfano eneo la "Industrial Parks" alilosema haoni sababu kwanini zinazuiwa
Msikilize hapa:
View attachment 1775027
Uingereza wanajiona hawako ulaya na hivyo kujiona si mmoja wao.uingereza ikajitoa baada ya kugundua inajila.
... mashaka ni akili zilizoko Bungeni kama zitaweza kweli kuboresha na kutunga sheria za maana za kutuvusha! Kama mipasho yenyewe ndio ile kuna kazi sana Bungeni.Mama anatufungulia dunia tuwe tunachotaka.....
Kikubwa ni kufuata taratibu na sheria na kuweka maslahi ya taifa mbele
Akifeli au mnaombea afeli?!samia akifeli ni taifa zima limefeli,sawa kijana!!!
usione watu wanapiga kelele ukafungwa na hisia zako za chuki tu kwa jpm wakati wote.
kule kwenye ule uzi nimekuuliza sababu ya mahindi kuzuiwa ilikuwa nini,hujajibu mpaka sasa.kwanini mmeamua kiwa wazembe tu kufikiri???
Sasa unaniuliza habari za makada wa chama wakati post yangu haikuhusiana na habari za makada?najua ni maumivu tu yanakuhangaisha mkuu,wala sio wewe huyu.
jpm anapofanya mnayohisi ni mazuri mtasema kwamba ni utekelezaje wa yale waliyoyaasisi watangulizi wake.ila mabaya yote kwa muono wenu ni ya kwake mwenyewe.
kama ametekeleza ilani ya chama chake,ambacho ndio mipango ya watanguulizi wake,ubays wa jpm kwa makada wa chama ni nini??
Mara ya kwanza nilikuambia wewe ndo wale wanaodhani urais wa JPM ni wa Wasukuma wote kwa sababu ulionekana unawafahamu sana Wasukuma kuliko Wakwere?!nimekwambia mimi ni mhehe wa iringa,najua utabisha ili ku suit hisia zako.nahusiana nini na ukanda wa magufuli???
kwa misimamo,matamko,na hata maamuzi ya jpm,unadhani ni msukuma gani atasimama mbele za watu asijivunie usukuma wake!!!au hukuwepo enzi za hayari sokoine na wamasai???
Hiyo post unaona inakulenga wewe?Sizungumzii kupata shavu, nazungumzia Wasukuma walivyojipanga kutetea ya JPM hadi Askofu Rashid kufikia kuhamasiaha Wasukuma wautetee urais wake!!!
Na asilimia kubwa ya wapiga mapambio hapa wala sio wafuasi wa CCM ambao nawaheshimu kwa sababu wana wajibu wa kutetea kiongozi anayetokana na chama chao lakini wengi wao wanatetea kwa sababu tu ya ukabila na ukanda!!!
Sasa hiyo post ya mahindi ni ipi?!mbona hujiamini ndugu yangu,nafsi inakusuta eh???
nasemajee jpm hakuna akichofanya,vyote ni bure.
Umasikini unaonekana umekita mizizi kwenu.Huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
safari za nje kafanya mbili tu. tyr mnasema nyingi?kabisa,kashapanda ndege km nyingi kuliko miaka yote jpm amehudumu hapo.
Ni akina nani wanaopoteza muda ndugu yangu Phillipo ambae sijakuona kitambo sana!!!Wanapoteza muda.
Tz kila mwenye hela anauza madawa. Hivi hayo madawa watumiaji wakubwa ni akina nani? Maana mimi sioni mtaani hao wauza madawaNa madawa ya kulevya yameshafunguliwa!
Wauza ngada wataneemeka mno!
Riziwani anakenua sasa hivi....