Sie tunaojua principle za uchumi tunaona kabisa maza anatupeleka nchi ya ahadi.woga wetu ni,dalili ya kazi kumchapa ni kubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie tunaojua principle za uchumi tunaona kabisa maza anatupeleka nchi ya ahadi.woga wetu ni,dalili ya kazi kumchapa ni kubwa sana.
Kwahiyo ulikuwa unatakaje kwa mfano?!Ni kwamba akiifungua nchi na mwekezaji akamilikishwa ardhi na kutokana na economic strength yake , itakuwa shida sana kuipata ardhi hiyo au kwa gharama mara mia ya bei aliyonunulia. Angalia matatizo ya ardhi yalio pelekea mapigano ya kikabila, ambapo Uhuru aliahidi kutoa kiasi lakini sijasikia kutekeleza ahadi hiyo
samia akifeli ni taifa zima limefeli,sawa kijana!!!Unakosoa kwa sababu tu JPM hakutaka hilo jambo!!
Yaani nyie watu likifanywa lolote kinyume na kilichokuwa kinafanywa na JPM, basi nongwa!!
Sasa kuna ubaya gani wa kurahisisha ufanyaji biashara Tanzania?!
Kuna ubaya gani kutaka kuongea na Business Community ili kutatua changamoto zinazokwamisha uwekezaji?!
Yaani nyie watu mnatamani sana Samia afeli manake kila anachofanya mnaona anataka ku-challenge aliyokuwa anafanya JPM!
Yaani, kazi mnayo!!!
Baelezege hao!!Sie tunaojua principle za uchumi tunaona kabisa maza anatupeleka nchi ya ahadi.
We ni profesa LIPUMBA vuuu tunapigwa kiaje sasa?au sio!!!!
ndio maana mnapigwa,sababu akili hamna.
hujui hata umepigwaje,mmepigwa kwenye majimbo.mpaka wengine wamekimbia madeni maana hawajui watalipaje.We ni profesa LIPUMBA vuuu tunapigwa kiaje sasa?
Sio uwoga kuna watu wanaroho mbaya za uhasidi fanya kazi dunia ya sasa uwazi na ushindani.uwoga ulipitiliza tu
... aliyapatia kweli kwa "slogan" hiyo! Ha ha ha!Ukitaka mataga wafurahi we waambie maza na marehemu dikiteta magufuli ni kitu kimoja
Mashamba makubwa yamilikiwe na wa Tz na yale yenye kuhitaji foreign input basi yawe asilimia 51% wa tz .Kwahiyo ulikuwa unatakaje kwa mfano?!
uingereza ikajitoa baada ya kugundua inajila.Umoja wa Ulaya wamefunguliana mipaka namna hii ambayo Tz na Kenya wanafanya.
Sioni ubaya wowote kama ni kuzidiwa na Kenya tulizidiwa hata tulipokuwa tumejifungia.
Chalange haikwepwi bali kuikabili.
... sikiliza vizuri speech ya mama; terms and conditions shall apply.Ni kwamba akiifungua nchi na mwekezaji akamilikishwa ardhi na kutokana na economic strength yake , itakuwa shida sana kuipata ardhi hiyo au kwa gharama mara mia ya bei aliyonunulia. Angalia matatizo ya ardhi yalio pelekea mapigano ya kikabila, ambapo Uhuru aliahidi kutoa kiasi lakini sijasikia kutekeleza ahadi hiyo
Dikteta aliharibu sn nchi... mwendazake aliifunga nchi haswa! Mama fungua (unlock) nchi taifa lisonge mbele.
Ndio nakuambia we ni profesa LIPUMBA vuuu, mie nimejikita kwenye masuala ya uchumi we kumbe upo kwenye siasa, maza akifanya poa kwenye uchumi watz wote tunanufaika bila kujali huyu ni chadema au ccm, hayo ya covid19 ccm imeumiza wanasiasa ambao ni sehemu ndogo ya raia wa tz umeelewa mataga?hujui hata umepigwaje,mmepigwa kwenye majimbo.mpaka wengine wamekimbia madeni maana hawajui watalipaje.
halafu wale mademu 19 ni wabunge[emoji23][emoji23][emoji23].
hakuna ccm anayekemea hilo.
hapa tulipo tumesimama?Huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.