Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia Suluhu Hassan amesema anakwenda kufungua Nchi akisema, "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao! Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu"

Akizungumza na Wafanyabiashara wa Tanzania Nchini Kenya Mei 05, 2021 Rais amesema anaamini hakuna Nchi inayoendelea ikiwa peke yake

Ameeleza, anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi kuzungumzia kero mbalimbali zikiwemo za Kodi, Vibali vya Kazi (Work Permits), kuchelewa kupata ardhi kwenye Uwekezaji ili kuona namna ya kuziondoa

Rais amesema maeneo ya kujenga Uchumi yapo lakini mchakato umekuwa ukienda polepole, akitolea mfano eneo la "Industrial Parks" alilosema haoni sababu kwanini zinazuiwa

Msikilize hapa:

mbona niki click zinakuja heading za forums
 
Ndio tatizo lililopo ni wana siasa kuamua kwenye mambo technical , yeye akiombwa kitu kama alivyo waambia chato kuwa mkoa kuna vigezo, ya Kenya au EA nk kabla ya kwenda kutoa Maneno yake ni vizuri akaka na wataalamu wakamuelimisha akapata vitu vya kuongea vya kukaribisha wawekezaji na pia kuwa sisitizia win win situation.
Mfano suala la Uhuru la wa Tz kufanya kazi biashara nk Kenya litabaki katika kiwango cha chini kwa sababu uwezo wa wa Tz kupeleka bidhaa Kenya ni mdogo mfano nyanya na mboga mboga unahitaji refrigerated Van/Lorry, sio Tenga kwenye basi, lingine ni outlet ambayo MTz kuipata Kenya ni ngumu, lakini wao kwetu zipo tena wanaweza hata kukuondoa wewe mzawa
Wataalmu wetu nao wengine wajinga tu kila kitu wanachuklulia high level tuu ya wafanyabiashara wakubwa wanasahau hao wadogo ambao ndio wengi

Hicho kiwango cha chini wananchi walio wengi wa chini ndio wanakitaka nyie ma mibichwa yenu ya juu bakini hukohuko juu

Sometimes mnakera ndio maana na usomi wenu unakuta hadi akina Msukuma darasa la saba wanawazomea bungeni sababu you dont stand with a common man!!! MNAWAZA JUU WEEEEEEE HADI MNASAHAU KUWA CHINI HUKO KUNA MAJORITY ambao fursa hizo ndogo ndogo alizofungua Kenyatta zingewasaidia hao watu wa chini .Mnawza Macro tu mnasahau Micro
Mtu wa chini naye mwenye tenga moja naye anatakiwa apewe fursa auze tenga lake pia ana familia naye inamtegemea

Usomi wenu tatizo kubwa kwa watu wa kawaida
 
Still ningeiona kwenye notification!

Usimlinganishe na mimi, mlinganishe na wewe kwa sababu yeye anaamini milango haikuwa wazi lakini wewe unaamini kinyume chake, ingawaje umekiri kwamba "haikufungwa rasmi"!

Na kama hiyo legacy ipo kweli, sasa mnatapa tapa nini? And as far as I know, NO ONE, I repeat, NO ONE can destroy someone's true legacy! Na true legacy haipaganiwi kwa sababu hata watu wakijifanya hawaoni, bado itachomoza!!

Pamoja na ukweli huo, bado sie wengine tunabaki kushangaa mnavyoipigani the so-called legacy ya JPM... sounds like haipo lakini mnalazimisha watu waione!!

Halikuwepo hilo swali!

Kwanza, don't take it personal... KE hawakuzuia mahindi ya TZ peke yake bali na ya UG vile vile kwa hoja kwamba mahindi kutoka nchi hizo yana viwango vya sumu amabvyo vina athari kwa maisha ya binadamu!

And remember, "zuio" hilo halikuwa limetolewa na serikali kuu bali na The Agriculture and Food Authority... ni kama TFDA ya Tanzania inapopiga marufuku baadhi ya bidhaa kutoka huku na kule!!

Hata hivyo, takribani wiki moja baadae, Waziri wa Kilimo wa KE akasema KE haijazuia uingizwaji wa mahindi bali inachotaka ni mahindi kutoka nchi hizo yawe yana cheti kinachoonesha mahindi yao yapo free from toxic!!

embu onyesha anayejaribu kuipambania legacy isiyopo ya magufuli[emoji1787][emoji1787][emoji1787],wacha sarakasi bana.

eh vipi cheti cha mahindi kimetolewa au ndio yale ya corona na rushwa ya mafiisa uhamiaji kenya!!!
 
tanzania ni nchi inayohitajika kuliko inavyohitaji muungano huu.

mara zote imeact kama kiunganishi inaposita hakuna nchi inayoendelea na mipango ya kuungana tena.

unlike kwa hao UK unaowazungumzia hapa.
EU: ujerumani ikijitoa EU inakufa.
 
Huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
Ahahahaaaa [emoji16][emoji23][emoji1787]. Wafuasi wa Jiwe jiweni . Tuliposema madaraka ya u Rais yadhibitiwe mlititukana . Acha wote tulie. Kitakuja kizazi chenye akili watarekebisha
 
Yatima wa yule mtu mwenye roho kutu/chuki/wivu/visasi/nk Na masikini wa roho ndio wanaumia kuona mama hana nongwa,anataka tuishi Kwa raha pesa ziwepo mifukoni.
 
Vunjilia mbali masalia ya Jiwe mwovu yule ibilisi.
Sasa hivi mama a deal na masalia ya Jiwe mbona simple hiyo.Pumbavu sana hawa yaani yalikuwa yanajineemesha na jasho letu huku yakituvurugia biashara zetu shenzi sana
 
Terms and conditions zilikuwepo hata wakati wa JK wa 2
... labda unashauri nini Mkuu; tuendelee kujifungia? Tuendelee kujitenga na wengine? Tuendelee kuwa kisiwa? Kama terms and conditions hazikutiliwa mkazo enzi za JK wa 2; let's trust she will act differently.
 
Basi sawa, fungulia kila k2 then tupate mafuriko ya wawekezaji hapa TZ

Acha afungue tupate ajira na hela, Magufuli alifunga nchi kwakuwa alikuwa na uelewa duni wa mambo, lakini yeye na genge lililokuwa linamsujidia lilikuwa linakula na kusaza. Alifikia mahali ananajisi chaguzi za nchi hii ili kuwapa ulaji awatakao.Mama afungue nchi ili wenye uwezo tupate kazi maana hatuhitaji hisani, bali uwezo wetu unatubeba.
 
... wazee wa legacy fake Mkuu! Hawaamini mambo muhimu Mama aliyoyafanya ndani ya muda mfupi tangu akalie kiti. At least furaha imerejea nchini kwao ni uchungu kweli kweli wazee wa visasi!

Wengi wa wasaka legacy walikuwa hawana uwezo, hivyo wakiona mazingira huru ya ushindani wa kisiasa, ajira, biashara na madaraka unarejea, wanaogopa na kuchukia sana kwani wanajua kiama chao kinawadia.
 
Back
Top Bottom