Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Rais Samia: Nakwenda kufungua Nchi, mmekuwa mkinitukana sana mitandaoni

Na wenye ambao wamekuwa wakimtukana mama mitandaoni wanaongozwa na Musiba (Veronica France FB, nigastratact kwa hapa JF)
Huyo niga nini sijui, ndo bure kabisa! Lakini Mazaa ana heshima yake kwa watu wengi, na tunazikubali move zake! Kama hawajui tulifika mahali tukatamani JK arudi, maombi yamejibiwa!
Sasa watukane sana, Lakini ukweli hautaondoka, zama zishabadilika!
 
Mtukanaji mkuu ni Veronica france musiba baada ya kukosa hela za KILA mwezi za mwendazake Ili atumike kuwatukana watu ikiwemo viongozi wa dini.
 
Mi nadhani haya mambo tunachanganya madesa au tunajisumbua bure!!

Mama Samia sio kwamba anabadili sheria bali anahamasisha FDI! Hata hao USA, EU na Uchina bado wanazitafuta FDI! Kuna wakati Canada ukionesha financial ability, na unafanya biashara, fasta wanakupa Resident Permit ili mradi tu kuvutia FDI!

Na watu wanapohamasisha Foreign Direct Investments haimaanishi Watanzania wanatupwa nje ya ulingo wa uwekezaji! Na wenyewe wapo, na ndio maana Samia anataka pia kukutana na local business community!

Sasa kama Mtanzania anataka kumiliki na kuliendesha kibiashara shamba kubwa hakuna atakayemzuia ili mradi tu asifanye mtindo wa akina Mo Dewji wanaomiliki maelfu ya ekari lakini badala ya kuzitumia kwa shughuli kusudiwa, anatumia kwenda kuombea mikopo NJE!

Na hata huko kwenye umiliki wa viwanda, as of now, Samia atatumia sheria zile zile alizokuta! Kama sheria zinasema 51% inabidi imilikiwe na m-TZ basi ndo itakuwa hivyo hadi pale tutakaposikia sheria zimebadilishwa!

Hata hivyo, huwezi kuweka fixed 51% kwa sababu, tuchukulie tu kile kiwanda cha kusindika gas kule Lindi! By 2015, kilitarajiwa kingegharibu USD 30 Billion!

Tajiri namba 1 wa Tanzania HANA hata 10% ya hiyo USD 30 Billion, na ndo maana sehemu kama hiyo ni serikali ndiyo inatakiwa kuingia!
Tanzania, imeisha hamasisha sana FDI, toka wakati wa Mzee Rukhsa, tukipata Sheraton, iliyokuwa inabadilika majina kila baada ya miaka 5, ikajaBet group wakati wa Mkapa na mengineyo, ukaja wakati wa Boys to Men tukafikiria nchi itabadilika kuelekea uamerika amerika hivi na tukapata mikataba ya madini, gas nk,, kwa hiyo suala kwetu si FDI bali uadilifu wa viongozi ndio changamoto, hizi fdi ni njia ya kupitia kufikia malengo, yasiyo ya wananchi
 
'Industrial parks' ni eneo gani hilo...
Nafahamu ni maeneo wanakojenga viwanda, na watu hawaruhusiwi kujenga kwa ajili ya athali za viwandani, nayo fahamu ni moja tu la Mwanza Nyakato Steel ukienda kutafuta kazi viwanda vimeongozana, ila mikoa mingine sijui Kama Wana maeneo ya viwanda maana huwa naona watu wanalalamika viwanda vipo maeneo yao.
 
embu onyesha anayejaribu kuipambania legacy isiyopo ya magufuli[emoji1787][emoji1787][emoji1787],wacha sarakasi bana.
We jifanye tu kwamba hamnazo lakini ukitulia ukiwa peke yako unawaza sina shaka hicho ndicho kinachowafanya muwaye waye!!! Au unadhani tumesahau mlivyokuwa mnamtolea povu CAG kwamba ametumwa ili kuharibu legacy ya JPM!
eh vipi cheti cha mahindi kimetolewa au ndio yale ya corona na rushwa ya mafiisa uhamiaji kenya!!!
Hapa ulikuwa unajaribu kusema nini!! Wewe uliuliza sababu, na nimekupatia! Na nimekuonesha haikuwa Tanzania peke yake bali hata UG!

Kama ungetaka nieleze from trade perception ningekueleza ilichokuwa imefanya KE kwa TZ ni jambo la kawaida kati ya nchi na nchi linapokuja suala la hostility towards one another!!

When it comes to trade hostility, hata Mzee wa Msoga anayeonekana alikuwa ni mtu wa kuruhusu ruhusu hata yeye alikuwa anafanya!

I think 2013 or 2014, Kenya walizuia magari ya Watalii kuingia nchini humo, JK akaagiza Mamlaka ya Anga ipige pini zaidi ya nusu ay safari za Kenya Airways in Tanzania!

Hii hostility ikamalizwa baada ya JK kukutana na Uhuru nchini Namibia... so, kama nilivyokuambia awali, nothing personal, it's trade!

So, kuwa specific uliuliza suala la mahindi ukijaribu kujenga hoja ipi hasa?!
 
Wataalmu wetu nao wengine wajinga tu kila kitu wanachuklulia high level tuu ya wafanyabiashara wakubwa wanasahau hao wadogo ambao ndio wengi

Hicho kiwango cha chini wananchi walio wengi wa chini ndio wanakitaka nyie ma mibichwa yenu ya juu bakini hukohuko juu

Sometimes mnakera ndio maana na usomi wenu unakuta hadi akina Msukuma darasa la saba wanawazomea bungeni sababu you dont stand with a common man!!! MNAWAZA JUU WEEEEEEE HADI MNASAHAU KUWA CHINI HUKO KUNA MAJORITY ambao fursa hizo ndogo ndogo alizofungua Kenyatta zingewasaidia hao watu wa chini .Mnawza Macro tu mnasahau Micro
Mtu wa chini naye mwenye tenga moja naye anatakiwa apewe fursa auze tenga lake pia ana familia naye inamtegemea

Usomi wenu tatizo kubwa kwa watu wa kawaida
Hivi vitu vinatakiwa kwenda pamoja ndio maana kuna Maneno kama urari wa biashara kati ya A na B ni fulani. Nafikiri kwa haya maneno Machache utakuwa umeelewa.
 
Mama anaona mnavyo mtukana mitandaoni, lakini kaachia watu uhuru wao wa kujieleza. Mwenda zake ilikuwa ni kufuta, kuweka waandishi mahabusu na kuua kila anae msema vibaya.. Nanyi msie mpenda Mama kalaleni na jamaa yenu pale Chato.
 
... labda unashauri nini Mkuu; tuendelee kujifungia? Tuendelee kujitenga na wengine? Tuendelee kuwa kisiwa? Kama terms and conditions hazikutiliwa mkazo enzi za JK wa 2; let's trust she will act differently.
Kwani sasa hivi tumejifungia?? mbona kuna mbao na hayo Mahindi yanaenda kenya na waowanaleta bidhaa zao kama blue band , kuna pilsner, na pia tuna nunua na kuuza toka nchi nyingine zaidi ya watani zetu wa jadi. Iwe EU, USA, China, USSR, India, UAE n.k n.k
 
We jifanye tu kwamba hamnazo lakini ukitulia ukiwa peke yako unawaza sina shaka hicho ndicho kinachowafanya muwaye waye!!! Au unadhani tumesahau mlivyokuwa mnamtolea povu CAG kwamba ametumwa ili kuharibu legacy ya JPM!

Hapa ulikuwa unajaribu kusema nini!! Wewe uliuliza sababu, na nimekupatia! Na nimekuonesha haikuwa Tanzania peke yake bali hata UG!

Kama ungetaka nieleze from trade perception ningekueleza ilichokuwa imefanya KE kwa TZ ni jambo la kawaida kati ya nchi na nchi linapokuja suala la hostility towards one another!!

When it comes to trade hostility, hata Mzee wa Msoga anayeonekana alikuwa ni mtu wa kuruhusu ruhusu hata yeye alikuwa anafanya!

I think 2013 or 2014, Kenya walizuia magari ya Watalii kuingia nchini humo, JK akaagiza Mamlaka ya Anga ipige pini zaidi ya nusu ay safari za Kenya Airways in Tanzania!

Hii hostility ikamalizwa baada ya JK kukutana na Uhuru nchini Namibia... so, kama nilivyokuambia awali, nothing personal, it's trade!

So, kuwa specific uliuliza suala la mahindi ukijaribu kujenga hoja ipi hasa?!
una kipaji cha kuandika magazeti.
ni mjinga peke yake ataamini CAG alikuwa anasimamia taratibu za kazi,nikuweke kundi hilo???afadhali asad hakuangalia nagsi yake bali kazi inamtaka afanye nini.

anyway hoja yangu ilikuwa utumie akili.
kama mahindi yalikuwa na sumu,imeondoka baada mama kwenda huko juzi??

hao watu kama ulivyosema hata jk aliishatoshana nao misuli kwa upuuzi wao,sasa nikuulize wewe. mama yenu anakwenda kurekebisha nini ikiwa hata mentor wake aliishavurugana nao!!!unadhani lugha ya jpm walikuwa hawaielewi???

walikuwa wanaielewa sana,ndio sababu walikuwa wa kwanza kuanza vituko na wa kwanza kumaliza pia.
 
una kipaji cha kuandika magazeti.
ni mjinga peke yake ataamini CAG alikuwa anasimamia taratibu za kazi,nikuweke kundi hilo???afadhali asad hakuangalia nagsi yake bali kazi inamtaka afanye nini.
Ukisikia kuwaya waya ndo huku!! Wapi nimemtaja Assad?! Au unajisahalisha na hii ripoti ya karibuni ya CAG?! Au na yenyewe ilitolewa na Assad?!
anyway hoja yangu ilikuwa utumie akili.
kama mahindi yalikuwa na sumu,imeondoka baada mama kwenda huko juzi??
Kwani mara ngapi Tanzania tumewahi kuzuia bidhaa za Kenya?!
hao watu kama ulivyosema hata jk aliishatoshana nao misuli kwa upuuzi wao,sasa nikuulize wewe. mama yenu anakwenda kurekebisha nini ikiwa hata mentor wake aliishavurugana nao!!!unadhani lugha ya jpm walikuwa hawaielewi???

walikuwa wanaielewa sana,ndio sababu walikuwa wa kwanza kuanza vituko na wa kwanza kumaliza pia.
Una safari ndefu ya kufahamu how international trade works!! Narudia, nothing personal, it's business (trade)! Duniani kote yanatokea na kusawazishwa bila kujali nani alianza!!!

Kila mwenye masikio alisikia ambacho alikifanya Trump kwa China, and it's a matter of time kabla hujamsikia Biden na yeye anakuja na misimamo yake!!

Tatizo nyie mnaoona fahari kuitwa Wanyonge ni walalamishi sana dhidi ya KE, na ndo maana hata wakati wa mgogoro wa corona, magari ya Tanzania yalikuwa yanawekewa ngumu kweney mipaka ya nchi karibu zote lakini nyie shida yenu ni KE tu!

To be honest, Mnawakweza Mno na kuwapa hadhi wasiyostahili!!!
 
Ila mimi kwa mtazamo wangu nahisi kundi la ccm lina nguvu kuliko icho kiti cha u-rais.

Thubutu zake, ingekuwa hivyo Magufuli asingeokota wapinzani huko na kuwapa vyeo bila kufuata utaratibu. Nguvu yote ya ccm iko mikononi mwa rais kupitia mamlaka yake ya vyombo vya dola.
 
we mbuzi kweli,hapa jf umekuja leo???
watu wanamtulana mwendazake kila walipojisikia.
Ingekuwa tunatumia majina yetu halisi hapa, am certain angalau watu 100 wangekuwa na kesi za "kumtukana malaika"!!
 
Toa loki... Toa loki... Toa! 🇰🇪 + 🇹🇿 =Prosperity(🐃🐄🌾🍻🏔️🗻🏘️🏥🚝🛣️⛽🛥️🚢✈️)
Watu wamenuna hao... yaani hawataki tushirikiane na Kenya kwa sababu tu JPM hakutaka ushirikiano mwema nao!!
 
Back
Top Bottom