Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
Dah! Watu mna ongea jamani..Utakuja kushangaa kwamba ata kukata umeme hilo jengo ni mchezo umechezwa.
Walioko Marekani watuambie je ni mtaa mzima ulikatika?
January anaraha sanaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Watu mna ongea jamani..Utakuja kushangaa kwamba ata kukata umeme hilo jengo ni mchezo umechezwa.
Walioko Marekani watuambie je ni mtaa mzima ulikatika?
January anaraha sanaa.
Haaaaa umepiga,Ila maza bwana ilibidi akaushe tu,upon ugenini unasema eti hata huku mnakulaga viwaviUmeme hua haukatiki hovyo hovyo huko.
Walimzimia tu umeme ikiwa ni kama ishara ya kumwambia muda wa kukaa huko umepita aondoke.
Asitake kujustify ujinga.
Kwani hafanyi kwa weledi? Unaweza eleza ni wapi hajafanya kwa weledi?Rais Samia alipokuwa kwenye ziara yake ya kikazi huko Marekani[ U.S.A.] alipata wasaa wa kuwahutubia waTanzania wanaoishi huko.
Alipokuwa anatoa hotuba yake palitokea tukio moja lililomfanya akumbuke nyumbani; ingawa alikuwa ughaibuni nalo lilikuwa pale UMEME ulipokatika wakati akitoa hotuba!!
Mheshimiwa Rais ikabidi aweke kibwagizo kuwa kumbe hata huku UMEME unakatika, ingekuwa nyumbani tukio kama hili January angesulubiwa!!
Tukumbuke tu kuwa tatizo la ukatikaji wa Umeme nyumbani sio sawa na ughaibuni; kwanza ule Umeme ulipokatika pale Nadhani Ilikuwa tatizo la switch ambapo Umeme ulirudi baada ya muda mchache tu ili hali sisi nyumbani umeme ukikatika unakatika kweli , kunasehemu watu wanakosa umeme wa kufanyia kazi hata wiki nzima hivyo hatuwezi kufananisha matatizo yetu ya umeme na wenzetu.
January ni lazima afanye kazi yake kwa weledi ingawa mfano ya Samia inaonesha kama vile kumkingia kifua kuwa hata Marekani pia unakatika, lakini umeme wa Marekani unarudi saa hizo hizo kwahiyo asilaze damu kwani atasulubiwa hata kama atakingiwa kifua mpaka hapo watu watakapopata huduma jinsi zinavyostahili!
Mama kasema kuwa yeye huwa hawakemei vijana wake bali husema nao kwa kuwapiga macho basi tunangojea kama January ataelewa mara atakapopigwa jicho!
Ndio hivyo ila ukweli huo..Mama wa porojo
wani hafanyi kwa weledi? Unaweza eleza ni wapi hajafanya kwa weledi?
Mimi sio January,wewe na genge lako ndio mtahangaika kwa sababu hamueleweki mnashindania niniJanuary na genge lako mtahangaika sana kujitetea lakini kazi imekushinda na wewe ni mmoja mtakaochangia kumuangusha Chief Hangaya!!
Mimi sio January,wewe na genge lako ndio mtahangaika kwa sababu hamueleweki mnashindania nini
Huyu mwanamke tumepigwa[emoji28][emoji28][emoji28]
Ataanza kwenda kwenye mabembea kama mentor wake.
#MaendeleoHayanaChama
Una uhakika tukikuteua wewe umeme utakuwa wa uhakika?Wewe kama ni January au Chawa wake utajijua mwenyewe; lakini wananchi wanataka wapate huduma ya umeme ya uhakika, kama kazi imekushinda ni busara kuachia ngazi mtu mwingine aifanye.
Ndiyo Ukweli WenyeweAnamkingia kifua
Una uhakika tukikuteua wewe umeme utakuwa wa uhakika?
Wataalamu ndio mawaziri? Kama wakina nani?Kuna wataalam wa haya mambo wamejaa hapo bongo lakini kwa vile mnateuana kwa vilemba vyenu ndio maana hakuna umeme wa uhakika na kutoa sababu chungu nzima!! Mimi sina utaalam wa Umeme lakini wenyewe wapo bongo!!