Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Sokoine hakuwahi kunyang'anya,kuvamia,kutukana wala kuua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifika ngazi ya uwaziri atataka uraisi hapo ndipo patakapo anza timbwiri zito!Wadau hamjamboni nyote?
Mheshimiwa Rais nashauri Mteue Paul Makonda awe Wazara ya mambo ya ndani ya nchi
Ni aina ya Kiongozi mjasiri sana, asiye na hofu kutamka ukweli hadharani bila unafiki, anayechukia uonevu, rushwa, ufisadi, kutokuwajibika, uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.
Ni aina ya Kiongozi asiye na hofu na aliyejitoa wa ajili ya kutetea maslahi ya Watanzania na wakati wote yupo tayari kufanya chochote kuhakikisha haki ya mtu inapatikana tena kwa wakati.
Ni aina ya ya Kiongozi aliyevaa ujasiri halisi na mrithi wa hayati Waziri Mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana ya kuongoza Wizara nyeti ya mambo ya ndani basi matokeo chanya kiutendaji yataonekana ndani ya muda mfupi ndani ya Serikali, Chama cha Mapinduzi na kwenye maisha ya Watanzania kwa ujumla
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana husika Watanzania watalala majumbani mwao bila kuhofia majambazi, wanawake kwenye ndoa hawatahofia kunyanyaswa, watoto wa kike hawatahofia kunyanyaswa na makondakta wa daladala,
Traffic wataogopa kuchukua rushwa barabarani, vituo vya polisi havitajaza mahabusu bila sababu za msingi, askari magereza hawatayanyasa wafungwa/ mahabusu, hati za kusafiria zitatolewa kwa wakati bila usumbufu, matapeli wa viwanja watapotea, hakutakuwa na foleni barabarani, mateja watakuwa historia inayosomwa shuleni n.k
Ni aina ya Kiongozi ambaye akiwa ofisini DCI& DPP wataharakisha kupeleka kesi mahakamani/watafuta kesi za mchongo.
Ni aina ya Kiongozi anayejiamini, hodari kufanya maamuzi na kutatua matatizo, msikilizaji kero za watu, mwenye uwezo wa kujihamasisha na mtetezi wa haki na yupo tayari kujifunza.
Matokeo chanya kiutendaji ya Mheshimiwa Makonda yataifanya CCM ikose ulazima wa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Yapo mengi yanayomuhusu Makonda lakini niishie hapo
Hata hapa napoandika najua wazembe nimewatia hofu japokuwa nimetoa tu ushauri kwa mamlaka husika.
Mnakula makande halafu mnavuta bangi na kuja kuandika PUMBA humu.Wadau hamjamboni nyote?
Mheshimiwa Rais nashauri Mteue Paul Makonda awe Wazara ya mambo ya ndani ya nchi
Ni aina ya Kiongozi mjasiri sana, asiye na hofu kutamka ukweli hadharani bila unafiki, anayechukia uonevu, rushwa, ufisadi, kutokuwajibika, uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.
Ni aina ya Kiongozi asiye na hofu na aliyejitoa wa ajili ya kutetea maslahi ya Watanzania na wakati wote yupo tayari kufanya chochote kuhakikisha haki ya mtu inapatikana tena kwa wakati.
Ni aina ya ya Kiongozi aliyevaa ujasiri halisi na mrithi wa hayati Waziri Mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana ya kuongoza Wizara nyeti ya mambo ya ndani basi matokeo chanya kiutendaji yataonekana ndani ya muda mfupi ndani ya Serikali, Chama cha Mapinduzi na kwenye maisha ya Watanzania kwa ujumla
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana husika Watanzania watalala majumbani mwao bila kuhofia majambazi, wanawake kwenye ndoa hawatahofia kunyanyaswa, watoto wa kike hawatahofia kunyanyaswa na makondakta wa daladala,
Traffic wataogopa kuchukua rushwa barabarani, vituo vya polisi havitajaza mahabusu bila sababu za msingi, askari magereza hawatayanyasa wafungwa/ mahabusu, hati za kusafiria zitatolewa kwa wakati bila usumbufu, matapeli wa viwanja watapotea, hakutakuwa na foleni barabarani, mateja watakuwa historia inayosomwa shuleni n.k
Ni aina ya Kiongozi ambaye akiwa ofisini DCI& DPP wataharakisha kupeleka kesi mahakamani/watafuta kesi za mchongo.
Ni aina ya Kiongozi anayejiamini, hodari kufanya maamuzi na kutatua matatizo, msikilizaji kero za watu, mwenye uwezo wa kujihamasisha na mtetezi wa haki na yupo tayari kujifunza.
Matokeo chanya kiutendaji ya Mheshimiwa Makonda yataifanya CCM ikose ulazima wa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Yapo mengi yanayomuhusu Makonda lakini niishie hapo
Hata hapa napoandika najua wazembe nimewatia hofu japokuwa nimetoa tu ushauri kwa mamlaka husika.
Makonda siyo kichaaYani kichaa apewe bunduki sokoni
Hata Makonda hakuwahi kufanya hayoSokoine hakuwahi kunyang'anya,kuvamia,kutukana wala kuua.
Kwetu tanzaniaLabda awe waziri wa mambo ya ndani kwenu.
Usimlinganishe na Sokoine. Sokoine was killed kisa kuna mafisadi alitaka kuwashughulikia.Wadau hamjamboni nyote?
Mheshimiwa Rais nashauri Mteue Paul Makonda awe Wazara ya mambo ya ndani ya nchi
Ni aina ya Kiongozi mjasiri sana, asiye na hofu kutamka ukweli hadharani bila unafiki, anayechukia uonevu, rushwa, ufisadi, kutokuwajibika, uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.
Ni aina ya Kiongozi asiye na hofu na aliyejitoa wa ajili ya kutetea maslahi ya Watanzania na wakati wote yupo tayari kufanya chochote kuhakikisha haki ya mtu inapatikana tena kwa wakati.
Ni aina ya ya Kiongozi aliyevaa ujasiri halisi na mrithi wa hayati Waziri Mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana ya kuongoza Wizara nyeti ya mambo ya ndani basi matokeo chanya kiutendaji yataonekana ndani ya muda mfupi ndani ya Serikali, Chama cha Mapinduzi na kwenye maisha ya Watanzania kwa ujumla
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana husika Watanzania watalala majumbani mwao bila kuhofia majambazi, wanawake kwenye ndoa hawatahofia kunyanyaswa, watoto wa kike hawatahofia kunyanyaswa na makondakta wa daladala,
Traffic wataogopa kuchukua rushwa barabarani, vituo vya polisi havitajaza mahabusu bila sababu za msingi, askari magereza hawatayanyasa wafungwa/ mahabusu, hati za kusafiria zitatolewa kwa wakati bila usumbufu, matapeli wa viwanja watapotea, hakutakuwa na foleni barabarani, mateja watakuwa historia inayosomwa shuleni n.k
Ni aina ya Kiongozi ambaye akiwa ofisini DCI& DPP wataharakisha kupeleka kesi mahakamani/watafuta kesi za mchongo.
Ni aina ya Kiongozi anayejiamini, hodari kufanya maamuzi na kutatua matatizo, msikilizaji kero za watu, mwenye uwezo wa kujihamasisha na mtetezi wa haki na yupo tayari kujifunza.
Matokeo chanya kiutendaji ya Mheshimiwa Makonda yataifanya CCM ikose ulazima wa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Yapo mengi yanayomuhusu Makonda lakini niishie hapo
Hata hapa napoandika najua wazembe nimewatia hofu japokuwa nimetoa tu ushauri kwa mamlaka husika.
Maoni siyo uchawaUchawa sio ajira, acha kupoteza muda
Shida Iko wapi hapo?Akifika ngazi ya uwaziri atataka uraisi hapo ndipo patakapo anza timbwiri zito!
Sojawahi ishi hukoBado anaishi hotelini ya nyota 5
Makonda pia hakuwahi kufanya hayoKwanza Sokoine hakuwahi kupora mali ya mtu, wala kutuhumiwa kumwua binadamu yeyote.
Ni tusi kubwa mtu mwema kulinganishwa na jitu haramia.
SawaHapo Mwiaho umekosea kusema kuwa uteuzi huo uwe ni mmkakati wa kushinda uchaguzi 2025.
Tunafeli sana kwa sababu tunawaza uchaguzi TU badala ya kuwaza nchi yetu hasa Tanganyika ambayo ni wazi kabisa inahunumiwa na hao unaowaomba wamteue Makonda.
Ni Bora ungesema Makonda simama na wanaosai Katiba mpya halafu 2025 uchukue Fomu ya Urais kama Mgombea Binafsi.
Hakika Makonda atashinda kwa Kishindo Kikubwa sana.
Na wezi siku ya kuaoishwa watakiua wamepanga foleni kwenye viwanja vya ndage na mipakani na bandarini kuikimbia nchi kwa hofu ya kutiwa gerezani.
Kwa sasa tuna jambo Moja TU lililopo ni kudai katiba mpya.
Bila katiba mpya Makonda akipewa huo uwaziri watampoteza kisiasa kama Kangi Lugola . Hakuna Wizara yenye watu wajanja kama Wizara ya mambo ya ndani .
Wanauwezo wa kutengeneza filam ya Nightmare na kumvuruga waziri ili aonekane hafai.
Muulize kangi Lugola na Mrema huko aliko(RIP)
Samia umesubili nini kumtumbua huyu makondacta. Anakuaibisha. Au unataka tumtandike risasi huku kwetu chugaWadau hamjamboni nyote?
Mheshimiwa Rais nashauri Mteue Paul Makonda awe Wazara ya mambo ya ndani ya nchi
Ni aina ya Kiongozi mjasiri sana, asiye na hofu kutamka ukweli hadharani bila unafiki, anayechukia uonevu, rushwa, ufisadi, kutokuwajibika, uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.
Ni aina ya Kiongozi asiye na hofu na aliyejitoa wa ajili ya kutetea maslahi ya Watanzania na wakati wote yupo tayari kufanya chochote kuhakikisha haki ya mtu inapatikana tena kwa wakati.
Ni aina ya ya Kiongozi aliyevaa ujasiri halisi na mrithi wa hayati Waziri Mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana ya kuongoza Wizara nyeti ya mambo ya ndani basi matokeo chanya kiutendaji yataonekana ndani ya muda mfupi ndani ya Serikali, Chama cha Mapinduzi na kwenye maisha ya Watanzania kwa ujumla
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana husika Watanzania watalala majumbani mwao bila kuhofia majambazi, wanawake kwenye ndoa hawatahofia kunyanyaswa, watoto wa kike hawatahofia kunyanyaswa na makondakta wa daladala,
Traffic wataogopa kuchukua rushwa barabarani, vituo vya polisi havitajaza mahabusu bila sababu za msingi, askari magereza hawatayanyasa wafungwa/ mahabusu, hati za kusafiria zitatolewa kwa wakati bila usumbufu, matapeli wa viwanja watapotea, hakutakuwa na foleni barabarani, mateja watakuwa historia inayosomwa shuleni n.k
Ni aina ya Kiongozi ambaye akiwa ofisini DCI& DPP wataharakisha kupeleka kesi mahakamani/watafuta kesi za mchongo.
Ni aina ya Kiongozi anayejiamini, hodari kufanya maamuzi na kutatua matatizo, msikilizaji kero za watu, mwenye uwezo wa kujihamasisha na mtetezi wa haki na yupo tayari kujifunza.
Matokeo chanya kiutendaji ya Mheshimiwa Makonda yataifanya CCM ikose ulazima wa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Yapo mengi yanayomuhusu Makonda lakini niishie hapo
Hata hapa napoandika najua wazembe nimewatia hofu japokuwa nimetoa tu ushauri kwa mamlaka husika.
Duh! Lissu awe kichaa?. Wengine watakuwaje?. Maana kapita Ilboru, UDSM na ana distinction ya LLM Warwick chuo Cha magenious. Sasa Kama ni kichaa sijui.Mbona chadema wanapigania kwa nguvu zote yule kichaa wao lisu apewe rungu la urais?
Tofautisha kiki na uongozi. Tatizo mnadhani kujaza watu kwenye mkutano ni uongozi . Pia ni aibu kumlinganisha Sokoinne na Bashite. Sokoinne hakuwa na vyeti feki.Wadau hamjamboni nyote?
Mheshimiwa Rais nashauri Mteue Paul Makonda awe Wazara ya mambo ya ndani ya nchi
Ni aina ya Kiongozi mjasiri sana, asiye na hofu kutamka ukweli hadharani bila unafiki, anayechukia uonevu, rushwa, ufisadi, kutokuwajibika, uzembe na matumizi mabaya ya madaraka.
Ni aina ya Kiongozi asiye na hofu na aliyejitoa wa ajili ya kutetea maslahi ya Watanzania na wakati wote yupo tayari kufanya chochote kuhakikisha haki ya mtu inapatikana tena kwa wakati.
Ni aina ya ya Kiongozi aliyevaa ujasiri halisi na mrithi wa hayati Waziri Mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana ya kuongoza Wizara nyeti ya mambo ya ndani basi matokeo chanya kiutendaji yataonekana ndani ya muda mfupi ndani ya Serikali, Chama cha Mapinduzi na kwenye maisha ya Watanzania kwa ujumla
Ni aina ya Kiongozi ambaye akikabidhiwa dhamana husika Watanzania watalala majumbani mwao bila kuhofia majambazi, wanawake kwenye ndoa hawatahofia kunyanyaswa, watoto wa kike hawatahofia kunyanyaswa na makondakta wa daladala,
Traffic wataogopa kuchukua rushwa barabarani, vituo vya polisi havitajaza mahabusu bila sababu za msingi, askari magereza hawatayanyasa wafungwa/ mahabusu, hati za kusafiria zitatolewa kwa wakati bila usumbufu, matapeli wa viwanja watapotea, hakutakuwa na foleni barabarani, mateja watakuwa historia inayosomwa shuleni n.k
Ni aina ya Kiongozi ambaye akiwa ofisini DCI& DPP wataharakisha kupeleka kesi mahakamani/watafuta kesi za mchongo.
Ni aina ya Kiongozi anayejiamini, hodari kufanya maamuzi na kutatua matatizo, msikilizaji kero za watu, mwenye uwezo wa kujihamasisha na mtetezi wa haki na yupo tayari kujifunza.
Matokeo chanya kiutendaji ya Mheshimiwa Makonda yataifanya CCM ikose ulazima wa kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Yapo mengi yanayomuhusu Makonda lakini niishie hapo
Hata hapa napoandika najua wazembe nimewatia hofu japokuwa nimetoa tu ushauri kwa mamlaka husika.