Rais Samia nashauri mteue Makonda Uwaziri Mambo ya Ndani. Ni jasiri na ndiye mrithi wa Sokoine aliyejitoa sadaka kuwatumikia Watanzania

Kwa hiyo, yeye yuko sehemu gani ambayo Katiba na sheria za nchi hazifanyi kazi kwake au unaishi dunia gani?
Katiba ni kijitabu tu.
Mambo ya msingi hamzumgumzii katiba .
Katiba iliyopo ni mbovu ikisimamiwa kilaini laini. Ita2anufaisha watawalq na mafisadi.

Katiba iliyopo ni katiba ya kijeshi na inapaswa kusimamiwa kijeshi.

Hakuna haki chini ya katiba mbovu inayowabeba watu wa juuu na kuwakandamiza wanyonge.
 
Makonda Leo yupo Arusha, je hata vibaka huko wamekoma? Au unadhani Bado Kila mtu anahadaika na siasa za kiki? Tunataka mifumo inayofanya kazi kwa uhakika, na sio viongozi wanaozunguka mitaani kusaka kiki za bei rahisi.
 
Unataka huyo muuaji apewe Wizala?!🤬🤬🤬
 
Mimi naona mama ajiuzulu na amwachie makonda hiyo nafasi
 
Ungeomba amuachie kiti chake kabisa.
 
Lakini hiyo Katiba mbovu ndiyo inayokufanya uweze kuchangia mawazo yako humu, au hujui?
 
Huna akili ww,huyo bwana ako makonda hana muda anaondolewa hapo alipo
 
Wewe utakuwa nyumba ndogo ya bashite kenge wewe
 
Kwanza Sokoine hakuwahi kupora mali ya mtu, wala kutuhumiwa kumwua binadamu yeyote.

Ni tusi kubwa mtu mwema kulinganishwa na jitu haramia.
Huyo aliyeleta huu upupu hajui kwamba mawaziri wanateuliwa miongoni mwa wabunge.
 
have you considered the dark side of makonda, extortion, Lissu assasination attempt, Ana miaka mingapi kwenye utumishi wa umma na mali zake alizonazo vinaendana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…