Rais Samia: Nawapa kongole Simba Sc

Rais Samia: Nawapa kongole Simba Sc

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
df84a3660df44607a248c4575a93f1c8_311766513_177615438148498_5939113244897591192_n.jpg
 
Mara ya mwisho Yanga kutajwa na Raisi nakumbuka ile siku walicheza mechi ya GSM foundation kwa ajili ya kumchangia yule dogo

Na kama sikosei ile mechi iliisha kwa droo, Mayele hakupiga hata on target

Manara alimkatisha Raisi kwenye simu

Nafikiria sijui kosa la Yanga lilianzia hapo?
 
Kesho Wazee wa Utopolo wataitisha Press kuilalamikia Ikulu kwa Upendeleo wa waz waz. Kwanin Mhe.Rais awapongeze Simba tu
 
Wale wengine watumwe kuliwakilisha taifa kwenye lile kombe la mbuzi.
 
Asante mama ila kuna vituko vinakuja si mda mrefu wana utopolo wanakwenda kutuzalilisha ....[emoji26]
 
maaza,maaza maazaa maaza huyoo,,,maazaa maaza huyo maza maza huyoo mazaa[emoji444].

Alafu picha kaweka ile ya ushungi wa Simba,dadeki.
 
Back
Top Bottom