Rais Samia ni Best of the Best Tumlinde

Rais Samia ni Best of the Best Tumlinde

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Kwa Miaka michache aliyotawala Tanzania, hakutatokea Raisi kama Mama Samia tena! kuanzia Ujenzi wa miradi mikubwa, Ajira kwa vijana, kufungua uchumi kwa wakezaji ambao wamesababisha kuvunja rekodi za makusanyo na ajira kwa sekta binafsi!

Hatujagusa utalii, ninavyoandika hotel na mahema kule Arusha na manyara zimejaa! vile vilio vya kukosekana kwa Dola hatuvisikii tena! Dola zinamwagika (Hivi haziwezi kuzidi ? Wadau wa Uchumi semeni)

Ni Raisi gani atakaekuja tena atakaeweza kubalance Uchumi, uwekezaji, demokrasia na kuzingatia haki za binadamu katika utawala wake ?

Hakika haiwezekani tumlinde, na tetesi tulizozisikia juzi kutoka kwa Makonda kwamba watumishi wanamroga mama, hao ni mafisadi tu, waliozuiwa mirija ya kuiba, na wanaona kabisa utawala huu hawatoboi, niwaambie wameshindwa tayari kwani Mama anazo Sala zetu wote kuanzia watoto mpaka wazee, na wote 18 and above tunasema mitano tena kwa Mama tukutane kwenye Sanduku la kura, Mama tuko naye 💯 💯 % ❤️❤️.

1000049585.jpg
 
Hamna mama wa taifa, alikuwa close na hiyo title ni bibititi mohammed, the rest wanatembelea jitahada zao
Lazima wawepo wanaopinga na tunaheshimu mawazo yako mkuu, ila wengi wape, Mama wa Taifa anatosha
 
Lazima wawepo wanaopinga na tunaheshimu mawazo yako mkuu, ila wengi wape, Mama wa Taifa anatosha
Sipingi but stating the fact. How mwalimu J.K.Nyerere aliitwa baba wa taifa? Because he involved with uhuru, huwez kuongelea uhuru without Nyerere. Nyerere ame set bar too high, until akitokea mwanamke akalioifanyia taifa major issue, atastahili. Until then kama ni regular governance ya kila siku hastahili
 
Kwa Miaka michache aliyotawala Tanzania, hakutatokea Raisi kama Mama Samia tena! kuanzia Ujenzi wa miradi mikubwa, Ajira kwa vijana, kufungua uchumi kwa wakezaji ambao wamesababisha kuvunja rekodi za makusanyo na ajira kwa sekta binafsi!

Hatujagusa utalii, ninavyoandika hotel na mahema kule Arusha na manyara zimejaa! vile vilio vya kukosekana kwa Dola hatuvisikii tena! Dola zinamwagika (Hivi haziwezi kuzidi ? Wadau wa Uchumi semeni)

Ni Raisi gani atakaekuja tena atakaeweza kubalance Uchumi, uwekezaji, demokrasia na kuzingatia haki za binadamu katika utawala wake ?

Hakika haiwezekani tumlinde, na tetesi tulizozisikia juzi kutoka kwa Makonda kwamba watumishi wanamroga mama, hao ni mafisadi tu, waliozuiwa mirija ya kuiba, na wanaona kabisa utawala huu hawatoboi, niwaambie wameshindwa tayari kwani Mama anazo Sala zetu wote kuanzia watoto mpaka wazee, na wote 18 and above tunasema mitano tena kwa Mama tukutane kwenye Sanduku la kura, Mama tuko naye ❤️❤️.

View attachment 3173736
Nilimsikia Makonda akielezea jinsi Royal tour ya Samia imefufua na kusisimua Uchumi wa Arusha ambao ulikufa.

Namba za Samia ni nyingi sana karibu Kila sekta ameweka wonders eg 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDPyUMktFWN/?igsh=MTZnM2E4Mmg2Zno5MA==

Unaweza mnanga SSH Kwa mambo mengine ila sio kwenye biashara, Uchumi na uwekezaji
 
Nilimsikia Makonda akielezea jinsi Royal tour ya Samia imefufua na kusisimua Uchumi wa Arusha ambao ulikufa.

Namba za Samia ni nyingi sana karibu Kila sekta ameweka wonders eg 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDPyUMktFWN/?igsh=MTZnM2E4Mmg2Zno5MA==

Unaweza mnanga SSH Kwa mambo mengine ila sio kwenye biashara, Uchumi na uwekezaji

Hakika na sasa hivi demand ya Kahawa imepaa sana kutokana na nchi wazalishaji kama Brazil kukumbwa na Hali mbaya ya hewa, sisi Tanzania chini ya Jemedari samia tayari mikakati iliowekwa mwaka jana imeanza kuleta matunda na muda sasa wa wazalishaji wa Kahawa kule Kilimanjaro na Kagera kuvuna matunda ya kura zao kwa CCM!

 
Lichawa likubwa kama ng'ombe
Mbona wapinzani hamna Fact ni matusi kila kukicha ? Unaijua faida ya ng'ombe wewe ? Ng'ombe ndio zimekufanya usiolewe uitwe lishangazi kwani kila mwanaume aliokuona aliona Bora atunze ng'ombe zake kuliko empty set, hollow head kama wewe
 
Kwa Miaka michache aliyotawala Tanzania, hakutatokea Raisi kama Mama Samia tena! kuanzia Ujenzi wa miradi mikubwa, Ajira kwa vijana, kufungua uchumi kwa wakezaji ambao wamesababisha kuvunja rekodi za makusanyo na ajira kwa sekta binafsi!

Hatujagusa utalii, ninavyoandika hotel na mahema kule Arusha na manyara zimejaa! vile vilio vya kukosekana kwa Dola hatuvisikii tena! Dola zinamwagika (Hivi haziwezi kuzidi ? Wadau wa Uchumi semeni)

Ni Raisi gani atakaekuja tena atakaeweza kubalance Uchumi, uwekezaji, demokrasia na kuzingatia haki za binadamu katika utawala wake ?

Hakika haiwezekani tumlinde, na tetesi tulizozisikia juzi kutoka kwa Makonda kwamba watumishi wanamroga mama, hao ni mafisadi tu, waliozuiwa mirija ya kuiba, na wanaona kabisa utawala huu hawatoboi, niwaambie wameshindwa tayari kwani Mama anazo Sala zetu wote kuanzia watoto mpaka wazee, na wote 18 and above tunasema mitano tena kwa Mama tukutane kwenye Sanduku la kura, Mama tuko naye 💯 💯 % ❤️❤️.

View attachment 3173736
Takataka mpfyuuu! Kazi ya kumlinda muachie mumewe. Huna cha kuandika au ni chawa?
 
Kwaio yote hayo akili yako imeona swala la ulinzi kutoka kwa mume wake ??
Yep. Kwani ana nini ambacho wengine hatuna? Hujui rais anapaswa kuwa mtumishi na si mtumikishaji wetu kama anavyofanya kwa sasa wewe 'mwenye' akili kama yeye?
 
Kwa Miaka michache aliyotawala Tanzania, hakutatokea Raisi kama Mama Samia tena! kuanzia Ujenzi wa miradi mikubwa, Ajira kwa vijana, kufungua uchumi kwa wakezaji ambao wamesababisha kuvunja rekodi za makusanyo na ajira kwa sekta binafsi!

Hatujagusa utalii, ninavyoandika hotel na mahema kule Arusha na manyara zimejaa! vile vilio vya kukosekana kwa Dola hatuvisikii tena! Dola zinamwagika (Hivi haziwezi kuzidi ? Wadau wa Uchumi semeni)

Ni Raisi gani atakaekuja tena atakaeweza kubalance Uchumi, uwekezaji, demokrasia na kuzingatia haki za binadamu katika utawala wake ?

Hakika haiwezekani tumlinde, na tetesi tulizozisikia juzi kutoka kwa Makonda kwamba watumishi wanamroga mama, hao ni mafisadi tu, waliozuiwa mirija ya kuiba, na wanaona kabisa utawala huu hawatoboi, niwaambie wameshindwa tayari kwani Mama anazo Sala zetu wote kuanzia watoto mpaka wazee, na wote 18 and above tunasema mitano tena kwa Mama tukutane kwenye Sanduku la kura, Mama tuko naye 💯 💯 % ❤️❤️.

View attachment 3173736
kwanini tunawaingiza watoto kwenye siasa, tena siasa za maji taka?
 
Pepo mchafu akutoke akili yako irudi mahali pake.
Rais yeyote Tanzania kama hataweza kutumia madini, maji, misitu, hifadhi, bahari na maziwa ili kuleta neema kwa wananchi kwangu ni takataka tu.
Best of the best anakwenda kusaidia misaada na wazungu ambao hawana rasilimali za asili?
 
Sipingi but stating the fact. How mwalimu J.K.Nyerere aliitwa baba wa taifa? Because he involved with uhuru, huwez kuongelea uhuru without Nyerere. Nyerere ame set bar too high, until akitokea mwanamke akalioifanyia taifa major issue, atastahili. Until then kama ni regular governance ya kila siku hastahili

Sababu mtu amepata mchongo anaamua kuongea chochote anachojisikia ili kumdanganya mheshimiwa. laiti kama tungejua wakati ukuta, tungezidi kumuombea hekima na maarifa ya kuliongoza vema Taifa letu.
Hakuna anayeishi milele na uongozi wa nchi yetu sio wa milele. Tunaanza kudanganyana kama vile hatujui historia ya Taifa letu ilivyo, na ilivyo ngumu kujaribu kufanya dola ya kiimla au kifalme
 
  • Thanks
Reactions: apk
Back
Top Bottom