Rais Samia ni Best of the Best Tumlinde

Tatizo liko hapa, hizo pesa za biashara unazosema zinapatikana zinaishia mfuko gani maana taifa ni mikopo tu kila kukicha na hata miradi mingi tu huko vijijini imesimama. Mfano barabara kutoka Mto wa mbu hadi Wasso-Ngorongoro na nyingine nyingi tu.
 
Hivi wewe
 
Usimtukuze binadamu mwenzio namna hyo,nae ana mwisho wake ambao hakuna anaeweza kuuzuia.
 
Kwasasa ni rahis kujua kama mtu hana akili, we mwambie atoe mtazamo wake kuhusu uongozi wa samia ndo utajua wagonjwa wengi wanatembea, so wale wa hospitali, bomboclattttttttttt!!!!
 
Huyo makonda anayesema uchumi ulikuwa umekufa aliyeuwa alikuwa ni nani?
Hii tabia ya kusifia sifia na unafiki ndiyo ina jaribu taifa
 
Kwasasa ni rahis kujua kama mtu hana akili, we mwambie atoe mtazamo wake kuhusu uongozi wa samia ndo utajua wagonjwa wengi wanatembea, so wale wa hospitali, bomboclattttttttttt!!!!
Kwa poor choice yako ya maneno kama bombocalat hustahili hata kutia maoni hapa, subiri tufungue uzi wa kwanini Harmonize anapenda wanawake wenye maumbile makubwa tutakuita uweke bomboclat zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…