Rais Samia ni dereva mzuri, hebu muangalie hapa

Rais Samia ni dereva mzuri, hebu muangalie hapa

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hebu angalia jinsi anavyo control gia, jinsi anavyocheza na sterling ya gari, jinsi anavyoongeza speed bila kuyumbisha gari.

Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa yatakayotokea pindi atapogeuka kuangalia.

Sasa kwa ueledi mkubwa yeye hageuki kuangalia, macho yake ni mbele tu ili kutufikisha salama kule tunapoelekea.

Na abiria twafurahi raisi kutuendesha watanzania, hakika ni dereva mzuri na mwenye uzoefu wa njia.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hebu angalia jinsi anavyo control gia, jinsi anavyocheza na sterling ya gari, jinsi anavyoongeza speed bila kuyumbisha gari.

Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa yatakayotokea pindi atapogeuka kuangalia.

Sasa kwa ueledi mkubwa yeye hageuki kuangalia, macho yake ni mbele tu ili kutufikisha salama kule tunapoelekea.

Na abiria twafurahi raisi kutuendesha watanzania, hakika ni dereva mzuri na mwenye uzoefu wa njia.
Hata kama hataki kugeuka nyuma basi aangalie hata side mirror tu
 
Namba ya simu kaka rudi haraka umesahau
Ukiona mpaka usiku wazee wa bandari hawajakuingizia vocha kwenye PM yako nijulishe nikupe namba zao uwapigie, maana umeshajitolea sana kuwapigania lakini hela zao zinaliwa na watu wenye majina kama vile Dr Slaa, Lisu nk.
 
Kwakweli huu ni mwaka mgumu kiuchumi.... 🤣
 
Shida yake ni ile barabara aliyochagua tupite! inakolongo refu kiasi kwamba kuna msiba wa abaria wote!

Licha kwamba nyinyi mmechagua kufa mbali na kuona kolongo lililoko mbele ya safari

Tupo abiria mamilion kwa mamilion ambao tunataka mpone hata kama nyinyi ni wajinga kiasi gani! Hatutaki mfe na ujinga wenu!
 
Subiria matusi Kwa wafuasi wa Slaa
Ndomaana wenzetu kutoka Kenya, Rwanda, Zambia nk huwa wanatucheka san watanzania.

Fikiria eti kizee kichovu kisichoweza hata kusimamia familia yake, eti kina chawa wake wanaokielewa na kukisikiliza 🤣🤣🤣
 
Breki zishakata mteremko wa mlima kitonga, na Kona ileeeee, ngoja tuone umahiri wa dreva wetu.
Anapangua gia tu bila shaka yoyote. Juzi alielekea malawi, mara arusha.
Ni dereva anajiamini na kuamini kule anapotupeleka.
 
Anapangua gia tu bila shaka yoyote. Juzi alielekea malawi, mara arusha.
Ni dereva anajiamini na kuamini kule anapotupeleka.
Ni Kweli kabisa, anapangua GIA Kwa ustadi mkubwa,

Ni dere mahiri kiasi kwamba usiku hahitaji kuwasha taa yoyote, anaona Kila kitu.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hebu angalia jinsi anavyo control gia, jinsi anavyocheza na sterling ya gari, jinsi anavyoongeza speed bila kuyumbisha gari.

Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa yatakayotokea pindi atapogeuka kuangalia.

Sasa kwa ueledi mkubwa yeye hageuki kuangalia, macho yake ni mbele tu ili kutufikisha salama kule tunapoelekea.

Na abiria twafurahi raisi kutuendesha watanzania, hakika ni dereva mzuri na mwenye uzoefu wa njia.
Ndio mawazo yako yalipofika, dereva huangalia mbele lakini ana vioo vya kuangalia nyuma...muda mwingine kelele ni onyo na huepusha ajali...
USIKARIRI.
 
Back
Top Bottom