Rais Samia ni dereva mzuri, hebu muangalie hapa

Rais Samia ni dereva mzuri, hebu muangalie hapa

Tatizo CCM Wana kiburi kwa sababu jeshi lipo upande wao. Ndio maana wananchi wakiongea wanaitwa wachochezi. Ila CCM ikishiwa pesa inawakamuwa wananchi na tozo.
 
Ila keshasema ameziba masikio ndio maana hasikii na kwa kutosikia kwake ataliingiza gari mtaroni kwani kuna baadhi ya abiria wanaona yale ambayo dereva hayaoni na kutoa tahadhari.

Kuwa kiongozi haimaanishi kuwa una akili kuliko wengine zile ni dhamana za muda tu zinakuja na kuondoka muda ukifika hata yeye atakua abiria kama wengine.

Hizi nafasi sio za kudumu tuzitumie vizuri.
 
20141018_MAP004_0.jpg

Kataa Ukoloni mamboleo. Kataa DPW
 
Hao wanaopiga miiluzi washapita barabara hiyo. Wanajua korongo lipo wapi wanajua pale kwenye chaka huwa kuna gogo barabarani!
Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa yatakayotokea pindi atapogeuka kuangalia.

Hatahivyo ni Dereva gani huyo anaye waachia abiria mbele nyuma kushoto na kulia wapige makelele? wakati yeye anaendesha.... ni yule asiye makini na huo ni uzoefu 101 What you are describing is Dystopian a Chaos in Utopian!
Sijawahi kusikia sehemu yeyote ile Mkuu wa nchi au hata wale watu wanaomtetea kuwaita wananchi wake ni wapuuzi. Hizi na sababu zingine zinawafanya watu kurudisha matusi kama wanavyotukanwa. Kuna dharau nyingo sana.
 
Yaani dereva kasainishwa mkataba bila kusoma kama mwanakijiji aliyekuja mjini kufungua akaunti bank...anaambiwa tu na banker 'saini hapa' naye anasaini tu bila kujielewa
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hebu angalia jinsi anavyo control gia, jinsi anavyocheza na sterling ya gari, jinsi anavyoongeza speed bila kuyumbisha gari.

Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa yatakayotokea pindi atapogeuka kuangalia.

Sasa kwa ueledi mkubwa yeye hageuki kuangalia, macho yake ni mbele tu ili kutufikisha salama kule tunapoelekea.

Na abiria twafurahi raisi kutuendesha watanzania, hakika ni dereva mzuri na mwenye uzoefu wa njia.
Tuna namna 5 za kukifahamu kitu;
1. Kwa kunusa
2. Kwa kuona
3. Kwa kusikia
4. Kwa kulamba
5. Kwa kugusa

Kugeuka, ni kwamba unataka afahamu kinachoendelea kwa kuona, kitu ambacho ni asilimia 20 tu ya hivyo vitano. Kutokugeuka hakumaanishi kwamba hajui, vinne vilivyobaki vinampa taarifa kamili ya kinachoendelea.
 
Ila keshasema ameziba masikio ndio maana hasikii na kwa kutosikia kwake ataliingiza gari mtaroni kwani kuna baadhi ya abiria wanaona yale ambayo dereva hayaoni na kutoa tahadhari.

Kuwa kiongozi haimaanishi kuwa una akili kuliko wengine zile ni dhamana za muda tu zinakuja na kuondoka muda ukifika hata yeye atakua abiria kama wengine.

Hizi nafasi sio za kudumu tuzitumie vizuri.
Wapiga kelele wengi wanataka kumtafutia ajali ya kutengeneza kupitia kelele zao. Ndio maana akaona bora asigeuka ili kulinda usalama wao wanaopiga kelele na wasiopiga kelele.
 
Hao wanaopiga miiluzi washapita barabara hiyo. Wanajua korongo lipo wapi wanajua pale kwenye chaka huwa kuna gogo barabarani!


Hatahivyo ni Dereva gani huyo anaye waachia abiria mbele nyuma kushoto na kulia wapige makelele? wakati yeye anaendesha.... ni yule asiye makini na huo ni uzoefu 101 What you are describing is Dystopian a Chaos in Utopian!
Sijawahi kusikia sehemu yeyote ile Mkuu wa nchi au hata wale watu wanaomtetea kuwaita wananchi wake ni wapuuzi. Hizi na sababu zingine zinawafanya watu kurudisha matusi kama wanavyotukanwa. Kuna dharau nyingo sana.
Kaishashtuka kwamba wapiga kelele ni wale wale wanaomtafutia ajali ya njia kwa malengo yao binafsi.
So ana haki ya kuwapuuza kwa usalama wa maisha ya watu wengine waliopo kwenye gari.
 
Tuna namna 5 za kukifahamu kitu;
1. Kwa kunusa
Peteroli hiyoooo Simama mama tuangalie tanki kunani?
2. Kwa kuona
Given, mimacho ipombele tu;Wanasayansi wanasema ajali nyingi hutokea kwenye blind spot isitoshe unatakiwa uwe unatizama vioo vyote kila baada ya takriban sekunde 15!
3. Kwa kusikia
Dereva kesha sema kaziba masikio....miluzi anayosikia wanampigia kumwambia tairi lisha basti nje
4. Kwa kulamba
Unalamba lamba nini ukiwa unaendesha?
5. Kwa kugusa
??
Kugeuka, ni kwamba unataka afahamu kinachoendelea kwa kuona, kitu ambacho ni asilimia 20 tu ya hivyo vitano. Kutokugeuka hakumaanishi kwamba hajui, vinne vilivyobaki vinampa taarifa kamili ya kinachoendelea.

Hilo gari lishapinduka...hiyo taarifa anayoapata kichwani ni zile taarifa za kuamkia Hospitalini
 
Kaishashtuka kwamba wapiga kelele ni wale wale wanaomtafutia ajali ya njia kwa malengo yao binafsi.
So ana haki ya kuwapuuza kwa usalama wa maisha ya watu wengine waliopo kwenye gari.
Hawa wapiga kelele ni hawa waliokuwa karibu naye, na makele anayosikia yanamziba masikio kusikia wale wanaopiga miluzi tena walio nje ya gari...kumtaadharisha 'Tairi lishapasuka'
'Tanki la mafuta' 'linatoa moshi: 'Mbele kuna gogo mti ulisha dondoka'
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hebu angalia jinsi anavyo control gia, jinsi anavyocheza na sterling ya gari, jinsi anavyoongeza speed bila kuyumbisha gari.

Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa yatakayotokea pindi atapogeuka kuangalia.

Sasa kwa ueledi mkubwa yeye hageuki kuangalia, macho yake ni mbele tu ili kutufikisha salama kule tunapoelekea.

Na abiria twafurahi raisi kutuendesha watanzania, hakika ni dereva mzuri na mwenye uzoefu wa njia.
Huyu Rais ni Kiongozi sio mtawala kawashinda wengi wakunja ndita 🤣🤣
 
Back
Top Bottom