Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ana nguvu ya kipekee sana ya kiuongozi ndani yake kuanzia kwenye kauli zake za kuunganisha taifa, kwenye mipango mikakati yake ya maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi..

Mathalani falsafa yake ya 4rs imeleta pumzi mpya kwenye siasa za Tanzania, lakini pia inazungumzwa sana, inatumika sana, inaponya na kukwamua mikwamo ya kisasa Africa Mashariki na kwingineko duniani..

Dhamira ya dhati, nia na maono yake yana aminika mno Tanzania na katika ukanda wote wa Africa Mashariki kwa ujumla, kiasi kwamba hali ya kuaminiana na kupendana kwa wananchi imejengeka haraka sana ndani ya mioyo ya waTanzania...

Maneno yake ya kutia moyo yamehuisha mioyo ya waTanzania wengi sana waliokata tamaa na kuwapa faraja na matumaini mapya ya kusonga mbele...

Mara zote maneno na kauli zake maeneo mbalimbali, zime liunganisha Taifa na Africa Mashariki kwa kiasi kikubwa na kuimarisha umoja, amani na utulivu eneo lote hilo. Utangamano miongoni mwa wananchi ni mkubwa na Imara sana...

Ana aminika kiasi kwamba hakuna mwananchi mwenye mashaka na maamuzi yake wala uelekeo wake..

Anayemchukia au kumpinga anaonekana ni mpinga maendeleo kituko, au mwenye matatizo ya afya ya fikra licha ya kua hiyo ni haki na uhuru wake.

Una mpingaje mtu mwema, mwenye dhamira njema na kipenzi cha wengi?

Dkt. Samia Suluhu Hassan, rais ni reference ama kielelezo cha upatanisho na kiuanganisha cha wasioelewana na faraja kwa waliokata tamaa Africa Mashariki..

Ni kichocheo cha uadilifu, uaminifu, uwazi bidii na kuheshimiana makazini na hata majumbani..

Kama Taifa, lakini pia Africa Mashariki, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu kiongozi wetu ambae sote kama Taifa tuna mpenda sana na tuna Imani nae sana...

Tumuombee kwa Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu ili kusudi tuendelee kufurahia matunda ya mipango yake madhubuti ya maendeleo kwa waTanzania na wana Africa Mashariki wote.

Mungu Ibariki Tanzania
 
ana nguvu ya kipekee sana ya kiuongozi ndani yake kuanzia kwenye kauli zake za kuunganisha taifa, kwenye mipango mikakati yake ya maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi..

mathalani falsafa yake ya 4rs imeleta pumzi mpya kwenye siasa za Tanzania, lakini pia inazungumzwa sana, inatumika sana, inaponya na kukwamua mikwamo ya kisasa Africa Mashariki na kwingineko duniani..

dhamira ya dhati, nia na maono yake yana aminika mno Tanzania na katika ukanda wote wa Africa Mashariki kwa ujumla, kiasi kwamba hali ya kuaminiana na kupendana kwa wananchi imejengeka haraka sana ndani ya mioyo ya waTanzania...

maneno yake ya kutia moyo yamehuisha mioyo ya waTanzania wengi sana waliokata tamaa na kuwapa faraja na matumaini mapya ya kusonga mbele...

mara zote maneno na kauli zake maeneo mbalimbali, zime liunganisha Taifa na Africa Mashariki kwa kiasi kikubwa na kuimarisha umoja, amani na utulivu eneo lote hilo..
utangamano miongoni mwa wananchi ni mkubwa na Imara sana...

ana aminika kiasi kwamba hakuna mwananchi mwenye mashaka na maamuzi yake wala uelekeo wake..

anae mchukia au kumpinga anaonekana ni mpinga maendeleo kituko, au mwenye matatizo ya afya ya fikra licha ya kua hiyo ni haki na uhuru wake...
una mpingaje mtu mwema, mwenye dhamira njema na kipenzi cha wengi?

Dr Samia Suluhu Hassan, rais ni reference ama kielelezo cha upatanisho na kiuanganisha cha wasioelewana na faraja kwa waliokata tamaa Africa Mashariki..

ni kichocheo cha uadilifu, uaminifu, uwazi bidii na kuheshimiana makazini na hata majumbani..

kama Taifa, lakini pia Africa Mashariki, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu kiongozi wetu ambae sote kama Taifa tuna mpenda sana na tuna Imani nae sana...

Tumuombee kwa Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu ili kusudi tuendelee kufurahia matunda ya mipango yake madhubuti ya maendeleo kwa waTanzania na wana Africa Mashariki wote..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mvulie chupi akuweke chapu nyuma
 
1724153078053.jpg
 
Weka data hapo Acha Maneno.GDP imepanda Kwa Kiasi gani?
Per capita income imepanda Kiasi gani?
Unafuu wa maisha ikoje Kwa wananchi?Nepotism imeshuka Kiasi gani?
unafuu wa maisha ni wa kiwango cha juu sana Tanzania na Africa Mashariki hata kwa macho tu na wala hakuna haja kubabaika kwa data, na hata hivyo kazi kubwa bado inaendelea 🐒
 
Alfajiri yote hii tumeanza KUFOKEANA?

Mkanywe hata chai basi, mashairi ya kumsifu samia tutaimba tukishashiba.

Kutuimbisha mashairi wakati hata chai hatujanywa ni usaliti mkubwa.

Cc: Lucas Mwashambwa
gentleman,
hapa ni Ukweli mtupu na uhakika wa maendeleo endelevu....

sifa na utukufu ni kwa Mungu mwenyezi kwa kutupatia zawaidi ya uongozi madhubuti sana wa huyu mama mazalendo na mchapakazi hodari Dr Samia Suluhu Hassan...

kwa Neema na Baraka za Mungu 2030 tutafika tukiwa na maendeleo makubwa sana kama Taifa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa bosi wenu amewageuka kule Ngorongoro, hivi hamuoni aibu? Au mnachojali ni buku saba tu?
ni muhimu kuzingatia maelekezo ya mkuu wa nchi, na usichanganye mambo kwasabb utaathirika mwenyewe. hata hivyo, kwa mujibu wa sheria, maeneo ya hifadhi za Taifa, shughuli za kibinadamu hazirusiwi..
ni muhimu zaidi kufahamu hilo..

hivi sasa,
maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanaendelea vizuri na sote inafaa kuelekeza jitihada huko 🐒
 
Kuna watu huwa wanaleta mada hapa jf kama kupima upepo waone watu watakavyo react. Mmoja wao ni lucas na huyu mleta mada
sasa,
kama wewe umekuja kupimwa huo upepo, hiyo ni hiyari na uamuzi wako...

but kama kiongozi wa wananchi, ninao wajibu wa kusema Ukweli tena Ukweli mtupu kwa maslahi mapana ya waTanzania wote, upende, usipende 🐒
 
ni muhimu kuzingatia maelekezo ya mkuu wa nchi, na usichanganye mambo kwasabb utaathirika mwenyewe. hata hivyo, kwa mujibu wa sheria, maeneo ya hifadhi za Taifa, shughuli za kibinadamu hazirusiwi..
ni muhimu zaidi kufahamu hilo..

hivi sasa,
maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanaendelea vizuri na sote inafaa kuelekeza jitihada huko 🐒
Nimekusoma mkuu
 
Ana nguvu ya kipekee sana ya kiuongozi ndani yake kuanzia kwenye kauli zake za kuunganisha taifa, kwenye mipango mikakati yake ya maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi..

Mathalani falsafa yake ya 4rs imeleta pumzi mpya kwenye siasa za Tanzania, lakini pia inazungumzwa sana, inatumika sana, inaponya na kukwamua mikwamo ya kisasa Africa Mashariki na kwingineko duniani..

Dhamira ya dhati, nia na maono yake yana aminika mno Tanzania na katika ukanda wote wa Africa Mashariki kwa ujumla, kiasi kwamba hali ya kuaminiana na kupendana kwa wananchi imejengeka haraka sana ndani ya mioyo ya waTanzania...

Maneno yake ya kutia moyo yamehuisha mioyo ya waTanzania wengi sana waliokata tamaa na kuwapa faraja na matumaini mapya ya kusonga mbele...

Mara zote maneno na kauli zake maeneo mbalimbali, zime liunganisha Taifa na Africa Mashariki kwa kiasi kikubwa na kuimarisha umoja, amani na utulivu eneo lote hilo. Utangamano miongoni mwa wananchi ni mkubwa na Imara sana...

Ana aminika kiasi kwamba hakuna mwananchi mwenye mashaka na maamuzi yake wala uelekeo wake..

Anayemchukia au kumpinga anaonekana ni mpinga maendeleo kituko, au mwenye matatizo ya afya ya fikra licha ya kua hiyo ni haki na uhuru wake.

Una mpingaje mtu mwema, mwenye dhamira njema na kipenzi cha wengi?

Dkt. Samia Suluhu Hassan, rais ni reference ama kielelezo cha upatanisho na kiuanganisha cha wasioelewana na faraja kwa waliokata tamaa Africa Mashariki..

Ni kichocheo cha uadilifu, uaminifu, uwazi bidii na kuheshimiana makazini na hata majumbani..

Kama Taifa, lakini pia Africa Mashariki, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu kiongozi wetu ambae sote kama Taifa tuna mpenda sana na tuna Imani nae sana...

Tumuombee kwa Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu ili kusudi tuendelee kufurahia matunda ya mipango yake madhubuti ya maendeleo kwa waTanzania na wana Africa Mashariki wote.

Mungu Ibariki Tanzania
Ungemalizia kwa kusema kuwa aya ni Maoni yako, lakini ata kama ni Maoni yako kufikiri huwezi ata kuona pia huoni pole Sana kwa Hali hii ili Taifa haliwezi kukombolewa ata siku moja
 
Ungemalizia kwa kusema kuwa aya ni Maoni yako, lakini ata kama ni Maoni yako kufikiri huwezi ata kuona pia huoni pole Sana kwa Hali hii ili Taifa haliwezi kukombolewa ata siku moja
actually,
ni maoni ya waTanzania wote na wana Africa Mashariki kwa ujumla..

hili liko wazi sana unless hutembei au kuchungulia mitandao ya kijamii hususani ya ukanda wa Africa Mashariki 🐒
 
Back
Top Bottom