Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

Rais Samia ni kiongozi wa mioyo ya watanzania na wana Afrika Mashariki kwa ujumla

Unazungumzia Maoni ya wapumbavu na machawa waliolipwa kupush # ili ionekane Samia anafanya kazi hakuna mtu anauejielewa anayeweza kukubaliana na ujinga huu
actually,
ni uhuru na haki yako kikatiba kua na maoni na mtazamo kama ulio nao,

but ukweli utabaki kama nilivyoeleza kinagaubaga kwenye hoja ya msingi kwamba huyi mama Dr.Samia Suluhu Hassan no kiongozi anaeishi na kuongoza nchi mioyo ya waTanzania kwa pamoja...

anakubalika sana na kuamainika sana Tanzania na Africa Mashariki :pulpTRAVOLTA:
 
actually,
ni uhuru na haki yako kikatiba kua na maoni na mtazamo kama ulio nao,

but ukweli utabaki kama nilivyoeleza kinagaubaga kwenye hoja ya msingi kwamba huyi mama Dr.Samia Suluhu Hassan no kiongozi anaeishi na kuongoza nchi mioyo ya waTanzania kwa pamoja...

anakubalika sana na kuamainika sana Tanzania na Africa Mashariki :pulpTRAVOLTA:
Watu kama awa ndo mnatufanya tujute Kuzaliwa kwenye nchi hii,
 
uyu ndiye Faustine Jackson Mafwele na namba zake za Simu ni +255 755 855 743 na +255 787 922 913Huyu ameua watu wengi sana Mwanza , sasa ni kiongozi wa utekaji Dar na Tanzania nzima kupitia kituo cha Polisi Chang’ombe Temeka ambapo wana jengo la mateso kwa Watanzania

GVvhRc-XgAAvdew.jpg
 
Ahueni mimi ni Mtanganyika. Hivyo sipo kwenye moyo wa mtu yeyote yule.
kwahivyo unamkubali kiaina Dr Samia suluhu Hassan, right?🐒

huku unaskiza ile ngoma ya Hussein Machozi utapenda, right?🐒
 
Ana nguvu ya kipekee sana ya kiuongozi ndani yake kuanzia kwenye kauli zake za kuunganisha taifa, kwenye mipango mikakati yake ya maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi..

Mathalani falsafa yake ya 4rs imeleta pumzi mpya kwenye siasa za Tanzania, lakini pia inazungumzwa sana, inatumika sana, inaponya na kukwamua mikwamo ya kisasa Africa Mashariki na kwingineko duniani..

Dhamira ya dhati, nia na maono yake yana aminika mno Tanzania na katika ukanda wote wa Africa Mashariki kwa ujumla, kiasi kwamba hali ya kuaminiana na kupendana kwa wananchi imejengeka haraka sana ndani ya mioyo ya waTanzania...

Maneno yake ya kutia moyo yamehuisha mioyo ya waTanzania wengi sana waliokata tamaa na kuwapa faraja na matumaini mapya ya kusonga mbele...

Mara zote maneno na kauli zake maeneo mbalimbali, zime liunganisha Taifa na Africa Mashariki kwa kiasi kikubwa na kuimarisha umoja, amani na utulivu eneo lote hilo. Utangamano miongoni mwa wananchi ni mkubwa na Imara sana...

Ana aminika kiasi kwamba hakuna mwananchi mwenye mashaka na maamuzi yake wala uelekeo wake..

Anayemchukia au kumpinga anaonekana ni mpinga maendeleo kituko, au mwenye matatizo ya afya ya fikra licha ya kua hiyo ni haki na uhuru wake.

Una mpingaje mtu mwema, mwenye dhamira njema na kipenzi cha wengi?

Dkt. Samia Suluhu Hassan, rais ni reference ama kielelezo cha upatanisho na kiuanganisha cha wasioelewana na faraja kwa waliokata tamaa Africa Mashariki..

Ni kichocheo cha uadilifu, uaminifu, uwazi bidii na kuheshimiana makazini na hata majumbani..

Kama Taifa, lakini pia Africa Mashariki, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu kiongozi wetu ambae sote kama Taifa tuna mpenda sana na tuna Imani nae sana...

Tumuombee kwa Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu ili kusudi tuendelee kufurahia matunda ya mipango yake madhubuti ya maendeleo kwa waTanzania na wana Africa Mashariki wote.

Mungu Ibariki Tanzania
🤣🤣🤣🤣

Wamaasai kiboko!! Wamepindua juu chini akili za CHAWA.

Chawa mna kazi wallah 🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣

Wamaasai kiboko!! Wamepindua juu chini akili za CHAWA.

Chawa mna kazi wallah 🤣🤣🤣
huna mawazo mapya wala fikra mbadala dhidi ya hoja mezani, right?🐒

pumzika tu sasa maana huna hoja ama?
 
sasa,
kama wewe umekuja kupimwa huo upepo, hiyo ni hiyari na uamuzi wako...

but kama kiongozi wa wananchi, ninao wajibu wa kusema Ukweli tena Ukweli mtupu kwa maslahi mapana ya waTanzania wote, upende, usipende 🐒
najua ukweli unaujua kwa hiyo unaamua kujizhma data. Kama uko serikalini utakuwa unaona yanayoenelea na kama unapendezwa nayo basi wewe si mzalendo wa Tanganyika.
 
najua ukweli unaujua kwa hiyo unaamua kujizhma data. Kama uko serikalini utakuwa unaona yanayoenelea na kama unapendezwa nayo basi wewe si mzalendo wa Tanganyika.
ndiyo,
ukweli naujua kwasababu uwezo na ufahamu wangu juu ya mambo haya ni mkubwa zaidi na ndio maana nimekuja hapa kuwathibitishia ukweli huu ninyi ndrugu zangua wa heshima saba hapa JF, kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan ni kiongoz anaishi na kutawala nfani ya mioyo ya waTanzania :pulpTRAVOLTA:
 
sasa,
kama wewe umekuja kupimwa huo upepo, hiyo ni hiyari na uamuzi wako...

but kama kiongozi wa wananchi, ninao wajibu wa kusema Ukweli tena Ukweli mtupu kwa maslahi mapana ya waTanzania wote, upende, usipende 🐒
Wewe ni kiongozi wa wananchi? If yes basi nimepata jibu kwanini tanzania ni maskini.
 
Ana nguvu ya kipekee sana ya kiuongozi ndani yake kuanzia kwenye kauli zake za kuunganisha taifa, kwenye mipango mikakati yake ya maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi..

Mathalani falsafa yake ya 4rs imeleta pumzi mpya kwenye siasa za Tanzania, lakini pia inazungumzwa sana, inatumika sana, inaponya na kukwamua mikwamo ya kisasa Africa Mashariki na kwingineko duniani..

Dhamira ya dhati, nia na maono yake yana aminika mno Tanzania na katika ukanda wote wa Africa Mashariki kwa ujumla, kiasi kwamba hali ya kuaminiana na kupendana kwa wananchi imejengeka haraka sana ndani ya mioyo ya waTanzania...

Maneno yake ya kutia moyo yamehuisha mioyo ya waTanzania wengi sana waliokata tamaa na kuwapa faraja na matumaini mapya ya kusonga mbele...

Mara zote maneno na kauli zake maeneo mbalimbali, zime liunganisha Taifa na Africa Mashariki kwa kiasi kikubwa na kuimarisha umoja, amani na utulivu eneo lote hilo. Utangamano miongoni mwa wananchi ni mkubwa na Imara sana...

Ana aminika kiasi kwamba hakuna mwananchi mwenye mashaka na maamuzi yake wala uelekeo wake..

Anayemchukia au kumpinga anaonekana ni mpinga maendeleo kituko, au mwenye matatizo ya afya ya fikra licha ya kua hiyo ni haki na uhuru wake.

Una mpingaje mtu mwema, mwenye dhamira njema na kipenzi cha wengi?

Dkt. Samia Suluhu Hassan, rais ni reference ama kielelezo cha upatanisho na kiuanganisha cha wasioelewana na faraja kwa waliokata tamaa Africa Mashariki..

Ni kichocheo cha uadilifu, uaminifu, uwazi bidii na kuheshimiana makazini na hata majumbani..

Kama Taifa, lakini pia Africa Mashariki, tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu kiongozi wetu ambae sote kama Taifa tuna mpenda sana na tuna Imani nae sana...

Tumuombee kwa Mungu aendelee kumjalia afya njema na maisha marefu ili kusudi tuendelee kufurahia matunda ya mipango yake madhubuti ya maendeleo kwa waTanzania na wana Africa Mashariki wote.

Mungu Ibariki Tanzania
👆
Chawa wawezeshwe na pia wazidi kujengewa uwezo tuelekeapo katika chaguzi mbili zijazo.
 
Wewe ni kiongozi wa wananchi? If yes basi nimepata jibu kwanini tanzania ni maskini.
si tu wa wananchi,
bali pia ni kiongozi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote. umaskini ni dhana ya wavivu tu but Tanzania kama taifa ni tajiri sana:pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom