Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania hadi wanamichezo

Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania hadi wanamichezo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia Suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi sana nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante Yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
 
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi saanaa nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana Sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
Njaa mbaya sana hasa ikihamia kichwani..nakushauri mleta mada katafute kazi halali ya kufanya..kushinda kwenye makorido ya ofisi za lumumba itakukost..ipo siku utaombwa goti wala usishangae.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Uchawa at work hata Magu watu walimsifu sana na kumnyeyeke na hii ndio kawaida ya wabongo kujipendekeza hovyo.
Hapana siyo uchawa Ila mh Rais amekuwa na mvuto mkubwa Sanaa kwa watanzania kutokanaa na uchapa kazi wake unaogusa maisha ya watanzania, Kama angekuwa hapendwi Basi usingeyaona hayo mabango uwanjani yakumsifu na kumpongeza
 
Njaa mbaya sana hasa ikihamia kichwani..nakushauri mleta mada katafute kazi halali ya kufanya..kushinda kwenye makorido ya ofisi za lumumba itakukost..ipo siku utaombwa goti wala usishangae.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama kumpongeza mtu Anaye fanya vyema Ni njaa Basi acha niwe na njaa ya kumfariji Rais wangu zidi ya wale wamkatishao tamaa kwa maslahi binafsi, mtu hawezi akafanya vyema halafu asipongezwe et kwa kuhofia kuwa nitaonekana Nina njaa, sitaogopa Kuendelea kumpongeza mh Rais pale anapofanya vizuri hata Kama nitatukanwa, Najuwa siyo wote mtampenda kwa kazi nzuri anayoifanya lakini wenye kuona tutaendelea kumtia moyo ili aendelee kuchapa kazi
 
Hapana siyo uchawa Ila mh Rais amekuwa na mvuto mkubwa Sanaa kwa watanzania kutokanaa na uchapa kazi wake unaogusa maisha ya watanzania, Kama angekuwa hapendwi Basi usingeyaona hayo mabango uwanjani yakumsifu na kumpongeza

Mabango yatakosekanaje wakati chawa kama wewe mpo wa kutosha?
 
Kama kumpongeza mtu Anaye fanya vyema Ni njaa Basi acha niwe na njaa ya kumfariji Rais wangu zidi ya wale wamkatishao tamaa kwa maslahi binafsi, mtu hawezi akafanya vyema halafu asipongezwe et kwa kuhofia kuwa nitaonekana Nina njaa, sitaogopa Kuendelea kumpongeza mh Rais pale anapofanya vizuri hata Kama nitatukanwa, Najuwa siyo wote mtampenda kwa kazi nzuri anayoifanya lakini wenye kuona tutaendelea kumtia moyo ili aendelee kuchapa kazi
Wenzako walikua waandika na namba za simu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wewe zezeta kweli,ni huyu huyu samia au mwingine? Anatuchanganya tu kila siku na machawa yake
Basi ungekuwa nchi Kama Uganda ungekuwa umezimia, jioni Hadi Rais wa Zambia amekuja kujifunza kwa mh Rais wetu kipenzi, mama anaupiga mwingi Hadi majirani wanakuja kujifunza kwetu
 
Mkuu unatafuta teuzi
Hapana sitafuti uteuzi maana uongozi unatoka kwa Mungu na siyo mwanadamu, mungu alitaka kukuinua hasubiri umsifie mtu ndio akupe Bali atakupa tu maana yeye ndio mtoa njia na maarifa, Na Kama haikupangwa kuwa kiongozi utakufa siyo kiongozi, uongozi Ni utumishi na napoona watu Kama mh Rais Samia anatoa utumishi uliotukuka Sina budi kumpongeza na kumtia moyo kwa kazi anazofanya, maana siyo wote wanaoweza wakakupongeza kwa kuwa wengine wanasubiri anguko lako au ukosee ili wapate pakukushambulia, hivyo Sina budi kumpongeza mh Rais wangu kwa kazi ngumu ya kuwatumikia watanzania
 
Hapana sitafuti uteuzi maana uongozi unatoka kwa Mungu na siyo mwanadamu, mungu alitaka kukuinua hasubiri umsifie mtu ndio akupe Bali atakupa tu maana yeye ndio mtoa njia na maarifa, Na Kama haikupangwa kuwa kiongozi utakufa siyo kiongozi, uongozi Ni utumishi na napoona watu Kama mh Rais Samia anatoa utumishi uliotukuka Sina budi kumpongeza na kumtia moyo kwa kazi anazofanya, maana siyo wote wanaoweza wakakupongeza kwa kuwa wengine wanasubiri anguko lako au ukosee ili wapate pakukushambulia, hivyo Sina budi kumpongeza mh Rais wangu kwa kazi ngumu ya kuwatumikia watanzania
Uzuri walikuwepo wengi sana kama wewe humu jf..endelea kupambana tuone mwisho wako

Ushauri punguza kuherehere na njaa..mwisho wa toilet pepa nadhani unajua vzr.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mwashambwa Rudi Zambia
Mimi ni mtanzania kwa kuzaliwa, wazazi wangu Ni watanzania kwa kuzaliwa, babu na bibi zangu Ni watanzania kwa kuzaliwa, hivyo Mimi ni mtanzania na Sina ubaguzi Kama unavyotaka kunibagua na kunibatiza uraia usio wangu
 
Uzuri walikuwepo wengi sana kama wewe humu jf..endelea kupambana tuone mwisho wako

Ushauri punguza kuherehere na njaa..mwisho wa toilet pepa nadhani unajua vzr.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapana simpongezi mh Rais kwa kujipendekeza Bali kwa kazi nzuri anazozifanya za kulitumikia Taifa hili, Tatizo letu sisi Ni kuwa kila Anaye pongeza Basi anaitwa chawa mtafuta vyeo, lakini lazima tujuwe kuwa uongozi unatoka kwa Mungu na siyo kwa mwanadamu, hivyo tumpe moyo na faraja kiongozi anapofanya vyema, hata wenzetu huko ulaya na hata marekani Wana utamaduni huu wa kupongezana na kukosoana kwa hoja na Sera, hawapingi kila kitu na hawasifii kila kitu, hawakosoi kila kitu na hawakatai kila kitu, Bali hupongeza na kukubaliana pale penye ukweli unapokuwa upo wazi machoni pa wote, Na lazima tujuwe kuwa hakuna mwanadamu aliyekamilika na ndio maana tunajifunza kila siku na kujisahihisha kila siku huku tukiomba busara na hekima za mwenyezi Mungu katika kutuongoza kwenye maamuzi yetu
 
Umesema kweli tupu.Huo ndio ukweli.
Kama kumpongeza mtu Anaye fanya vyema Ni njaa Basi acha niwe na njaa ya kumfariji Rais wangu zidi ya wale wamkatishao tamaa kwa maslahi binafsi, mtu hawezi akafanya vyema halafu asipongezwe et kwa kuhofia kuwa nitaonekana Nina njaa, sitaogopa Kuendelea kumpongeza mh Rais pale anapofanya vizuri hata Kama nitatukanwa, Najuwa siyo wote mtampenda kwa kazi nzuri anayoifanya lakini wenye kuona tutaendelea kumtia moyo ili aendelee kuchapa kazi
 
Back
Top Bottom