Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania hadi wanamichezo

Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania hadi wanamichezo

Hapana simpongezi mh Rais kwa kujipendekeza Bali kwa kazi nzuri anazozifanya za kulitumikia Taifa hili, Tatizo letu sisi Ni kuwa kila Anaye pongeza Basi anaitwa chawa mtafuta vyeo, lakini lazima tujuwe kuwa uongozi unatoka kwa Mungu na siyo kwa mwanadamu, hivyo tumpe moyo na faraja kiongozi anapofanya vyema, hata wenzetu huko ulaya na hata marekani Wana utamaduni huu wa kupongezana na kukosoana kwa hoja na Sera, hawapingi kila kitu na hawasifii kila kitu, hawakosoi kila kitu na hawakatai kila kitu, Bali hupongeza na kukubaliana pale penye ukweli unapokuwa upo wazi machoni pa wote, Na lazima tujuwe kuwa hakuna mwanadamu aliyekamilika na ndio maana tunajifunza kila siku na kujisahihisha kila siku huku tukiomba busara na hekima za mwenyezi Mungu katika kutuongoza kwenye maamuzi yetu
Andelea kujifariji.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi saanaa nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana Sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
Amekutuma kuja kuleta uzi hapa. Kakulipa buku ngapi??
Chawa Uchawa!!
 
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi saanaa nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana Sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
Mmeanza mapambio.
 
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi saanaa nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana Sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
Mmhh!!
 
Amekutuma kuja kuleta uzi hapa. Kakulipa buku ngapi??
Chawa Uchawa!!
Hapana silipwi ili kuandika mema na mazuri ya mh Rais wetu maana hata nisipoandika bado Mambo mazuri anayoyafanya yatajiandika katika nyoyo za watanzania wanaoona, nisipo sema Mimi atasema hata bubu kwa ishara,
 
Mmeanza mapambio.
Siyo mapambio bila ni ukweli ulio wa wazi na bayana juu ya kazi kubwa na ya kutukuka anayoifanya my Rais wetu Mama Samia suluhu Hassan, kila mpenda maendeleo lazima awe balozi wa kuyasema mazuri ayafanyayo Rais wetu, Nazani umesikia hata Jana kwenye ziara take akisema serikali unakwenda kujenga madarasa Zaid ya elfu name nchi nzima ili kuwa tosheleza wanafunzi watakao kuwa wanakwenda kuanza kidato Cha kwanza mwakani, mama Samia Ni kiongozi mwenye maono na dira, hayumbi Wala kukata tamaaa, Ni mtilivu katika utendaji wake wa kazi, si mtu wa kukurupuka na mihemuko, ndio maana unaona hata kauli zake Ni za hekima na busara, Ni kauli zinazochujwa katika ubongo na ulimi kabla ya kutoka maana anajuwa kauli za Rais hazipaswi kuwa na ukakasi zitokapo, kwa maana yeye Ni Taswira ya nchi na kioo Cha jamii,
 

kanunue petrol 3800 maana amekufanyia kaz ya malipo na 2025 ndo mtaelewa vizur kwa huo ujinga wenu.
Suala la mafuta Ni la kidunia na lilishatolewa ufafanuzi na serikali, mafuta hayazalishwi nchini, siyo kwamba pia ukiona yameshuka Bei leo katika solo la Dunia unataka uone mabadiliko leo, maana Kuna michakato mingi ya uagizaji na usafirishaji mpaka kufika hapa nchini, Tuwe na Subira maana mh Rais wetu anaendelea kupambana kupunguza makali ya Bei, ndio maana ukiona aliamua serikali itoe billioni Mia moja Kama Ruzuku kwenye mafuta, Nakuomba tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu kipenzi Cha watanzania
 
mnafikir kujazana kwenu jf kunawashawishi watanzania hebu angalien mnaocomment kuunga huo ujinga hizo id fake zenu mko wangapi 2025 lazima anye atake asitake ataenda kula urojo zanzibar na nyie uvccm mliojazana mitandaon nitawashughulikia mpaka mtie adabu.
Wewe Ni sample ya vijana wa huko upinzani ambapo sifa yenu kuuu Ni matusi kana kwamba mmekosa malezi Bora ya wazazi, maana utamaduni wa mtanzania aliyefundwa vizuri huwezi ukamkuta anajibu hoja kwa matusi, Ila ninyi Ni Kama hamna hayo malezi na ndio maana watanzania wanawadharau sanaa kwa Sasa, maana zaidi ya matusi hamna Jambo jingine, upende usipende itaendeleaa kuiona CCM madarakani kwa kuwa ndio tumaini la watanzania
 
Suala la mafuta Ni la kidunia na lilishatolewa ufafanuzi na serikali, mafuta hayazalishwi nchini, siyo kwamba pia ukiona yameshuka Bei leo katika solo la Dunia unataka uone mabadiliko leo, maana Kuna michakato mingi ya uagizaji na usafirishaji mpaka kufika hapa nchini, Tuwe na Subira maana mh Rais wetu anaendelea kupambana kupunguza makali ya Bei, ndio maana ukiona aliamua serikali itoe billioni Mia moja Kama Ruzuku kwenye mafuta, Nakuomba tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu kipenzi Cha watanzania
Jamani wakati mwingine itumike akili yaliyotujalia Mungu unaposema mafuta ni swala la kidunia hivi zanzibar iko dunia nyingine niko huku nashangaa mafuta hayajafika hata 3000 yako yanacheza kwenye 2800 na 2900 hebu tuache kusifu tukapitiliza.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Amekutuma kuja kuleta uzi hapa. Kakulipa buku ngapi??
Chawa Uchawa!!
Hapana sijalipwa na sifanyi kazi hii ili nilipwe, Nafanya kazi hii kwa moyo wa dhati kwa kuvutwa na namna Rais wangu anavyofanya kazi za kuleta maendeleo yanayogusa maisha ya watanzania, Nina haki kufanya hivyo maana Rais Ni binadamu na anahitaji faraja juu ya kazi nzuri aifanyayo mh Rais wetu, maana wengine hata waone haya mazuri hawawezi kumpongeza na watakwambia Ni wajibu wake Jana kwamba walizokuwa wameshindwa kufanya Kama yeye haikuwa wajibu wao kufanya, Hata mchezaji akifanya vizuri lazima umfariji na kumtia moyo ili aendelee kufanya vyema zaidi na Zaid katika kuleta mafanikio katki timu, Tanzania Ni nchi yetu hivyo matunda yatakayopatikana tutafaidika sisi site, Tanzania iliyo Bora ni faida kwetu sote na twapaswa kujivunia kwa kumpata Rais mama Samia mzalendo mwenye uchungu na moyo wa huruma kwa watanzania, Tuendelee kumuunga mkono
 
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia Suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi sana nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante Yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
Mgenyi rasimi Abdullahamani Kinana,Makam mwenyekiti wa CCM na Katibu wake Shaka,sasa hapo kuna jipya lipi,kwanza mabango yamekuwa machache Kinana anaweza kukemea uongozi wa yanga kwa kutoingia na mabango Mengi yakumtukuza Ngoja tuone kama CCM hawatatoa tamko kuanzia jmne.
 
Leo ilikuwa kilele Cha siku ya mwananchi, kiukweli ukiangalia namna mabango yalivyokuwa yamepambwa na picha za mh Rais wetu kipenzi mama Samia Suluhu Hassan na namna yalivyokuwa yanaleta shangwe, unagundua kuwa mama Samia anaishi katika mioyo ya watanzania walio wengi sana nikiwemo Mimi ambaye nakubaliana sana na utendaji wake wa kazi, Yote hii Ni kutokanaa na uchapakazi wake uliotukuka, Asante Yanga kwa upendo wenu kwa mh Rais wetu
ujinga ni mzigo.
 
Hapana sijalipwa na sifanyi kazi hii ili nilipwe, Nafanya kazi hii kwa moyo wa dhati kwa kuvutwa na namna Rais wangu anavyofanya kazi za kuleta maendeleo yanayogusa maisha ya watanzania, Nina haki kufanya hivyo maana Rais Ni binadamu na anahitaji faraja juu ya kazi nzuri aifanyayo mh Rais wetu, maana wengine hata waone haya mazuri hawawezi kumpongeza na watakwambia Ni wajibu wake Jana kwamba walizokuwa wameshindwa kufanya Kama yeye haikuwa wajibu wao kufanya, Hata mchezaji akifanya vizuri lazima umfariji na kumtia moyo ili aendelee kufanya vyema zaidi na Zaid katika kuleta mafanikio katki timu, Tanzania Ni nchi yetu hivyo matunda yatakayopatikana tutafaidika sisi site, Tanzania iliyo Bora ni faida kwetu sote na twapaswa kujivunia kwa kumpata Rais mama Samia mzalendo mwenye uchungu na moyo wa huruma kwa watanzania, Tuendelee kumuunga mkono
Wewe ni toilet pepa..ngoja wakuchambie wakimalizana na wewe ni kwenye shithole..endelea kutumika kueneza propaganda uchwara.

Utapitia njia ile ile waliopitia wenzako..

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu raisi wetu bado sana.
Yupo kama hayupo.
Anyway, huwezi mlaumu, kazi ilikua si yake, so wenye kazi wanamsadia kufanya...
 
Wewe ni toilet pepa..ngoja wakuchambie wakimalizana na wewe ni kwenye shithole..endelea kutumika kueneza propaganda uchwara.

Utapitia njia ile ile waliopitia wenzako..

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapana nitaendelea kumpongeza na hata kumshauri mh Rais wangu kupitia jukwaa hili kila inapowezekana, Tusiwe wenye kupinga kila kitu hata palipo na ukweli, maana ukweli Ni ukweli tu hata Kama ukipingwa na watu wote utabaki kuwa ukweli, hivyo utabaki kuwa ukweli kuwa mama Samia suluhu Hassan Ni mchapa kazi, nikiongozi mwenye maono, Nikiongozi mwenye dhamira ya dhati ya kuona Taifa Hilo linasonga mbele na kwamba hakuna anayeachwa nyuma katika maendeleo, hata wewe hutaachwa nyuma Kama utakuwa na dhamira ya kusonga mbelee, utaguswa tu na maendeleo yajayo, usipoguswa katika elimu utaguswa katika afya,miundombinu,kilimo,biashara,uwekezaji, utalii, maana kila secta mama anaendelea kufanya vyema ili kila mtanzania aguswe mahali anapofanya kazi na kupata ridhiki take, amka songa mbele achana na chili maana haijengi na itakumaliza kwa kuwa Mh Rais wetu kipenzi amedhamilia kulijenga Taifa hili,
 
Mkuu raisi wetu bado sana.
Yupo kama hayupo.
Anyway, huwezi mlaumu, kazi ilikua si yake, so wenye kazi wanamsadia kufanya...
Labda Kama hauoni juhudi anazozifanya za kulijenga Taifa Hili,laiti ungekuwa unafuatilia Hali kwa majirani zetu kiuchumi ungesema Asante mungu kwa kutupatia Rais mama Samia Suluhu Hassan
 
Back
Top Bottom