Rais Samia ni lini Katiba ikakoma kuwa kitabu tu?

Rais Samia ni lini Katiba ikakoma kuwa kitabu tu?

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Jana wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ ulitutaka wananchi kulinda na kuheshimu katiba katika kulinda nchi.

Kilichonishangaza ni kuwa ni wewe mwenyewe uliwahi kusema katiba ni kitabu tu wakati viongozi wa vyama vya siasa walipokuwa wakijadili umuhimu wa kupata Katiba mpya ili kuendeleza demokrasia na ustawi wa jamii.

Sasa je kwako katiba ni muhimu pale unapotaka kulinda maslahi yako lakini wengine wakihitaji Katiba kwa maslahi mapana ya nchi kinakuwa ni kitabu tu kisicho na umuhimu wo wote?
 
Jana wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ ulitutaka wananchi kulinda na kuheshimu katiba katika kulinda nchi.

Kilichonishangaza ni kuwa ni wewe mwenyewe uliwahi kusema katiba ni kitabu tu wakati viongozi wa vyama vya siasa walipokuwa wakijadili umuhimu wa kupata Katiba mpya ili kuendeleza demokrasia na ustawi wa jamii.

Sasa je kwako katiba ni muhimu pale unapotaka kulinda maslahi yako lakini wengine wakihitaji Katiba kwa maslahi mapana ya nchi kinakuwa ni kitabu tu kisicho na umuhimu wo wote?
Katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ya katiba kinachokipa kitabu hiki uhai ni utamaduni wa ukatiba.

Ndiyo maana katiba iliruhusu na inaruhusu mikutano ya hadhara, halafu akaja rais Magufuli akapiga marufuku mikutano hiyo.

Ukweli kwamba uhuru wa kufanya mikutano hiyo umo katika katiba haukusaidia kitu, kwa sababu katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ni utamaduni wa kuheshinu katiba miongoni mwa wananchi, ambao haupo, na kama haupo, hata katiba iwe nzuri vipi, haiwezi kuwa na nguvu.

Kwa sababu katiba ni kitabu tu.

Katika hili, namuelewa sana Samia.

Katiba ni kitabu tu. Muhimu zaidi ni utamaduni wa ukatiba.

Hamuelewi wapi?
 
Katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ya katiba kinachokipa kitabu hiki uhai ni utamaduni wa ukatiba.

Ndiyo maana katiba iliruhusu na inaruhusu mikutano ya hadhara, halafu akaja rais Magufuli akapiga marufuku mikutano hiyo.

Ukweli kwamba uhuru wa kufanya mikutano hiyo umo katika katiba haukusaidia kitu, kwa sababu katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ni utamaduni wa kuheshinu katiba miongoni mwa wananchi, ambao haupo, na kama haupo, hata katiba iwe nzuri vipi, haiwezi kuwa na nguvu.

Kwa sababu katiba ni kitabu tu.

Katika hili, namuelewa sana Samia.

Katiba ni kitabu tu. Muhimu zaidi ni utamaduni wa ukatiba.

Hamuelewi wapi?
Chawa mnajua sana kumpotosha Samia. Ndo maana mambo yameharibika sana
 
Chawa mnajua sana kumpotosha Samia. Ndo maana mambo yameharibika sana
Tatizo akili yako ndogo ukiwekewa hoja ya kifalsafa huwezi kuijadili kifalsafa, unaishia kwenye kuona uchawa tu.

Samia nishamchana sana hapa, kwa hiyo kwenye uchawa sipo.

Wanaonijua wanajua hilo.

Ila, katiba ni kitabu tu. Hii ni hoja ya kifalsafa. Ilikuwa hivyo kabla hata Samia hajazaliwa.

Katiba ni kitabu tu, na bila ya watu kujenga utamaduni wa ukatiba, hata mkipewa katiba nzuri tu, itavunjwa bila tatizo. Kwa sababu ni kitabu tu.

Ndiyo maana Magufuli kavunja katiba na hakuna mtu yeyote aliyemfanya lolote.

Katiba ni kitabu tu, kinachoipa katiba uhai ni utamaduni wa watu kuishi kikatiba.

Kama huna uwezo wa kufanya fikra dhahania kifalsafa, ni vigumu kuelewa dhana hii.

Katiba ni kitabu tu. Kitu muhimu zaidi ya katiba ni utamaduni wa kuheshimu katiba.

Huelewi wapi?
 
Katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ya katiba kinachokipa kitabu hiki uhai ni utamaduni wa ukatiba.

Ndiyo maana katiba iliruhusu na inaruhusu mikutano ya hadhara, halafu akaja rais Magufuli akapiga marufuku mikutano hiyo.

Ukweli kwamba uhuru wa kufanya mikutano hiyo umo katika katiba haukusaidia kitu, kwa sababu katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ni utamaduni wa kuheshinu katiba miongoni mwa wananchi, ambao haupo, na kama haupo, hata katiba iwe nzuri vipi, haiwezi kuwa na nguvu.

Kwa sababu katiba ni kitabu tu.

Katika hili, namuelewa sana Samia.

Katiba ni kitabu tu. Muhimu zaidi ni utamaduni wa ukatiba.

Hamuelewi wapi?
Kwa hiyo asitulazimishe sisi tuheshimu katiba kwa maslahi yake! Akae kwa kutulia!
 
Jana wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ ulitutaka wananchi kulinda na kuheshimu katiba katika kulinda nchi.

Kilichonishangaza ni kuwa ni wewe mwenyewe uliwahi kusema katiba ni kitabu tu wakati viongozi wa vyama vya siasa walipokuwa wakijadili umuhimu wa kupata Katiba mpya ili kuendeleza demokrasia na ustawi wa jamii.

Sasa je kwako katiba ni muhimu pale unapotaka kulinda maslahi yako lakini wengine wakihitaji Katiba kwa maslahi mapana ya nchi kinakuwa ni kitabu tu kisicho na umuhimu wo wote?

Hadi mtakapogundua kuwa kulia lia hakulipi
 
Tatizo akili yako ndogo ukiwekewa hoja ya kifalsafa huwezi kuijadili kifalsafa, unaishia kwenye kuona uchawa tu.

Samia nishamchana sana hapa, kwa hiyo kwenye uchawa sipo.

Wanaonijua wanajua hilo.

Ila, katiba ni kitabu tu. Hii ni hoja ya kifalsafa. Ilikuwa hivyo kabla hata Samia hajazaliwa.

Katiba ni kitabu tu, na bila ya watu kujenga utamaduni wa ukatiba, hata mkipewa katiba nzuri tu, itavunjwa bila tatizo. Kwa sababu ni kitabu tu.

Ndiyo maana Magufuli kavunja katiba na hakuna mtu yeyote aliyemfanya lolote.

Katiba ni kitabu tu, kinachoipa katiba uhai ni utamaduni wa watu kuishi kikatiba.

Kama huna uwezo wa kufanya fikra dhahania kifalsafa, ni vigumu kuelewa dhana hii.

Katiba ni kitabu tu. Kitu muhimu zaidi ya katiba ni utamaduni wa kuheshimu katiba.

Huelewi wapi?
Nakuelewa. Constitution without constitutionalism is nothing.
 
Jana wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ ulitutaka wananchi kulinda na kuheshimu katiba katika kulinda nchi.

Kilichonishangaza ni kuwa ni wewe mwenyewe uliwahi kusema katiba ni kitabu tu wakati viongozi wa vyama vya siasa walipokuwa wakijadili umuhimu wa kupata Katiba mpya ili kuendeleza demokrasia na ustawi wa jamii.

Sasa je kwako katiba ni muhimu pale unapotaka kulinda maslahi yako lakini wengine wakihitaji Katiba kwa maslahi mapana ya nchi kinakuwa ni kitabu tu kisicho na umuhimu wo wote?
Katiba ni kitabu chenye nia ya kulinda maslahi mapana ya jamii yoyote kisiasa,kijamii,kiutamaduni,kiuchumi na kielimu.Bila elimu ya Katiba basi jamii hiyo ustaarabu wake ni mdogo sana.Tanzania tumepoteza umoja kwa sababu ya sera mbovu za Chama Tawala(CCM).
 
Katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ya katiba kinachokipa kitabu hiki uhai ni utamaduni wa ukatiba.

Ndiyo maana katiba iliruhusu na inaruhusu mikutano ya hadhara, halafu akaja rais Magufuli akapiga marufuku mikutano hiyo.

Ukweli kwamba uhuru wa kufanya mikutano hiyo umo katika katiba haukusaidia kitu, kwa sababu katiba ni kitabu tu, kitu muhimu zaidi ni utamaduni wa kuheshinu katiba miongoni mwa wananchi, ambao haupo, na kama haupo, hata katiba iwe nzuri vipi, haiwezi kuwa na nguvu.

Kwa sababu katiba ni kitabu tu.

Katika hili, namuelewa sana Samia.

Katiba ni kitabu tu. Muhimu zaidi ni utamaduni wa ukatiba.

Hamuelewi wapi?
Mjinga mkubwa! Katiba haiwezi kuwa na utamaduni kwa sababu haina nafsi wala uhai!

Katiba ni sheria kuu inayoongoza jamii na wanajamii wanapaswa kuifuata ili kudumisha umoja. Bila kuwa na katiba madhubuti jamii au Taifa linasambaratika!
 
Mjinga mkubwa! Katiba haiwezi kuwa na utamaduni kwa sababu haina nafsi wala uhai!

Katiba ni sheria kuu inayoongoza jamii na wanajamii wanapaswa kuifuata ili kudumisha umoja. Bila kuwa na katiba madhubuti jamii au Taifa linasambaratika!

Umeshindwa kupinga hoja bila ya kumuita mtu mjinga?

This logical fallacy is called ad hominem.

Hufahamu kwamba kuna nchi zina utamaduni wa kuheshimu katiba, rais akivunja katiba analazimishwa kujiuzulu?

Halafu kuna nchi hazina utamaduni wa kuheshimu katiba, rais anaagiza mikutano ya hadhara (ambayo inaruhusiwa ifanyike na katiba) isifanyike, halafu hakuna kinachompata rais kwa kutoheshimu katiba hivyo?

Hili nalo hulijui?

Hapa nani mjinga sasa?

Hujui neno la Kiingereza "Constitutionalism" maana yake ni nini?

Yani kujua usijue wewe, halafu ujinga unipachike mimi?
 
Umeshindwa kupinga hoja bila ya kumuita mtu mjinga?

This logical fallacy is called ad hominem.

Hufahamu kwamba kuna nchi zina utamaduni wa kuheshimu katiba, rais akivunja katiba analazimishwa kujiuzulu?

Halafu kuna nchi hazina utamaduni wa kuheshimu katiba, rais anaagiza mikutano ya hadhara (ambayo inaruhusiwa ifanyike na katiba) isifanyike, halafu hakuna kinachompata rais kwa kutoheshimu katiba hivyo?

Hili nalo hulijui?

Hapa nani mjinga sasa?

Hujui neno la Kiingereza "Constitutionalism" maana yake ni nini?

Yani kujua usijue wewe, halafu ujinga unipachike mimi?
Bado nasisitiza hakuna utamaduni wa Katiba!

Utamaduni ni mila au desturi na katiba ni sheria! Mpaka hapo huoni tofauti?
 
Bado nasisitiza hakuna utamaduni wa Katiba!

Utamaduni ni mila au desturi na katiba ni sheria! Mpaka hapo huoni tofauti?
Nimekuuliza, unaelewa neno la Kiingereza "Constitutionalism" maana yake nini?

Hujajibu.
 
Hapana.

Alikuwa anakuelimisha kwamba katiba ni kijitabu tu.

Huelewi wapi?
Basi muelimishe huyo mama mbwa kuwa katiba ni sheria kuu na wala siyo lazima iandikwe kwenye kitabu! Kuandika sheria kwenye kitabu au gazeti ni hiari ya watumiaji wa hiyo sheria!
 
Hizi siasa za Tanzania michosho tu. Kila mwaka wa uchaguzi ahadi ni zilezile, maji, barabara, umeme wa uhakika na vituo vya afya.
Tunataka 2025 waje na hoja zenye mashiko
1. Watatengeneza ajira mpya ngapi na kutoa ajira ngapi kwa vijana.
2. Wataikomboa vipi thamani ya shilingi yetu dhidi ya dola.
3. Wataboreshaje mazingira ya sekta binafsi ili tuweze kujiajiri na kutengeneza ajira, mathalani kupunguza utitiri wa kodi na tozo.

Kura yangu sitoi bila majibu ya hayo maswali 2025
 
Back
Top Bottom