Rais Samia ni lini Katiba ikakoma kuwa kitabu tu?

Rais Samia ni lini Katiba ikakoma kuwa kitabu tu?

Kwa hiyo na wewe umeiga Cockney English?

Unatakiwa kuandika kwa usahihi ili wasomaji wako waelewe lakini unaweza kuongea kwa mkato kwa kuwa unakuwa uso kwa uso na wasikilizaji wako!
Mimi kuiga Cockney English kunatoka wapi? Mimi na Cockney English wapi na wapi?

Unatakiwa kuandika na kusema kwa usahihi.

Na hao wanaoongea Cockney mbaya, wakiandika wanaandika vibaya zaidi, na hao ni wazawa.

Huijui dunia wewe!
 
Mimi kuiga Cockney English kunatoka wapi? Mimi na Cockney English wapi na wapi?

Unatakiwa kuandika na kusema kwa usahihi.

Na hao wanaoongea Cockney mbaya, wakiandika wanaandika vibaya zaidi, na hao ni wazawa.

Huijui dunia wewe!
Dunia ipo kwa hao wasema cockney?
 
Katiba ya sasa ndiyo pumzi ya CCM! Sasa ni Rais yupi ambaye yuko tayari Chama kife kwa kutaka Katiba Mpya?
Hilo litabaki ni wimbo wa Demokrasia!
 
Watanzania tuna jambo letu! 2025 tusifanye makosa.
 
Jana wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ ulitutaka wananchi kulinda na kuheshimu katiba katika kulinda nchi.

Kilichonishangaza ni kuwa ni wewe mwenyewe uliwahi kusema katiba ni kitabu tu wakati viongozi wa vyama vya siasa walipokuwa wakijadili umuhimu wa kupata Katiba mpya ili kuendeleza demokrasia na ustawi wa jamii.

Sasa je kwako katiba ni muhimu pale unapotaka kulinda maslahi yako lakini wengine wakihitaji Katiba kwa maslahi mapana ya nchi kinakuwa ni kitabu tu kisicho na umuhimu wo wote?

View: https://youtu.be/N1FqC6dnklo?si=pj9pFFvbvEsQ3X9L

Sikiliza hotuba ya hayati Mwalimu Julius Nyerere kuhusu katiba na wajibu wa Rais katika kuitetea.
 
Back
Top Bottom