Rais Samia ni lini Katiba ikakoma kuwa kitabu tu?

Rais Samia ni lini Katiba ikakoma kuwa kitabu tu?

Hapana.

Rais akivunja katiba halafu nchi nzima isimuwajibishe, hapo kutoheshimu katiba ni tatizo la nchi nzima.

Kwa sababu aliyevunja katiba ni rais wa nchi.
Wananchi kutokuchukua hatua mara moja Rais anapovunja katiba siyo kuwa na wenyewe hawaheshimu katiba. Kuna sababu nyingi za wananchi kutokuchukua hatua na miongoni mwa hizo ni Rais kutumia nguvu za dola kujihami na wananchi kukosa uongozi wa kuwaunganisha lakini pia kupigwa na butwaa kuwa hawakutegemea kilichotokea!
 
Wananchi kutokuchukua hatua mara moja Rais anapovunja katiba siyo kuwa na wenyewe hawaheshimu katiba. Kuna sababu nyingi za wananchi kutokuchukua hatua na miongoni mwa hizo ni Rais kutumia nguvu za dola kujihami na wananchi kukosa uongozi wa kuwaunganisha lakini pia kupigwa na butwaa kuwa hawakutegemea kilichotokea!
Rais kuweza kutumia nguvu za dola kinyume cha katiba ndiyo uthibitisho kwamba katiba ni kijitabu tu.

Maana yake, licha ya katiba kuweka misingi ya sheria, rais kaweza kuivunja kwa kutumia nguvu.

Mbona hapo unaiongezea nguvu point kwamba katiba ni kijitabu tu.
 
Katiba ni kitabu tu, na bila ya watu kujenga utamaduni wa ukatiba, hata mkipewa katiba nzuri tu, itavunjwa bila tatizo. Kwa sababu ni kitabu tu.

Ndiyo maana Magufuli kavunja katiba na hakuna mtu yeyote aliyemfanya lolote.

Katiba ni kitabu tu, kinachoipa katiba uhai ni utamaduni wa watu kuishi kikatiba.


Katiba ni kitabu tu. Kitu muhimu zaidi ya katiba ni utamaduni wa kuheshimu katiba.
Na consequences za kutokuheshimu katiba.

Bila enforcement katiba ni kitabu tu
 
Naam,

Na hiyo ndiyo maana ya "katiba ni kijitabu tu".

Kama watu hawawezi kutetea misingi ya katiba, katiba yenyewe haiwezi kutetea misingi hiyo, kwa sababu katiba ni kijitabu tu.

Watu ndio wanaoipa uhai katiba kwa kuisimamia.

Watu hawaelewi nini hapo?
Anayetuongoza hajui katiba wala umuhimu wake ndio maana akasema ni kijitabu tu kufikia hapo tu unakuwa tumesha elewa mnaongozwa na mtu wa aina gani. Vilevile wanao ongozwa yawezekana wachache wanaelewa katiba ni nini na wengi hawaelewi katiba na umuhimu wake kwa mustakabali mwema wa nchi.Tanzania ina wasomi wengi sana mpaka sasa lkn bahati mbaya sana usomi wetu haujatafsiri tunataka nini kama watanzania,anayetuamulia kila kitu ni CCM aliyeoza ktk kila kona na hataki kubadilika na sasa limebaki ni genge la wahuni watupu ambalo kazi yake ni kuuana kupitia sumu ,najaribu kujiuliza maswali Hv inawezekana wahuni hawa wakawa wameshateka mpaka jeshi letu la wananchi wa Tanzania ambalo ni ndio kiongozi wa majeshi mengine tuliyonayo,ni maswali ninayojiuliza ingawa sina majibu.
 
Anayetuongoza hajui katiba wala umuhimu wake ndio maana akasema ni kijitabu tu kufikia hapo tu unakuwa tumesha elewa mnaongozwa na mtu wa aina gani. Vilevile wanao ongozwa yawezekana wachache wanaelewa katiba ni nini na wengi hawaelewi katiba na umuhimu wake kwa mustakabali mwema wa nchi.Tanzania ina wasomi wengi sana mpaka sasa lkn bahati mbaya sana usomi wetu haujatafsiri tunataka nini kama watanzania,anayetuamulia kila kitu ni CCM aliyeoza ktk kila kona na hataki kubadilika na sasa limebaki ni genge la wahuni watupu ambalo kazi yake ni kuuana kupitia sumu ,najaribu kujiuliza maswali Hv inawezekana wahuni hawa wakawa wameshateka mpaka jeshi letu la wananchi wa Tanzania ambalo ni ndio kiongozi wa majeshi mengine tuliyonayo,ni maswali ninayojiuliza ingawa sina majibu.
Kusema katiba ni kijitabu tu si lazima iwe kwa sababu hujui umuhimu wake.

Mtu kama mimi naelewa umuhimu wa katiba lakini nakubaliana na kauli ya kusema katiba ni kijitabu tu.

Dhana zilizomo katika katiba, na utamaduni wa kuzilinda hizo dhana, ni muhimu zaidi ya katiba.

Ndiyo maana watu hata wakiwa na katiba nzuri vipi, kama hawana utamaduni wa ukatiba, utamaduni wa kuisimamia misingi ya katiba, hiyo katiba nzuri sana inakosa maana, inakuwa haina manufaa yoyote.

Kwa sababu, katiba ni kijitabu tu, kitu muhimu ni utamaduni wa kusimamia ukatiba.
 
Kusema katiba ni kijitabu tu si lazima iwe kwa sababu hujui umuhimu wake.

Mtu kama mimi naelewa umuhimu wa katiba lakini nakubaliana na kauli ya kusema katiba ni kijitabu tu.

Dhana zilizomo katika katiba, na utamaduni wa kuzilinda hizo dhana, ni muhimu zaidi ya katiba.

Ndiyo maana watu hata wakiwa na katiba nzuri vipi, kama hawana utamaduni wa ukatiba, utamaduni wa kuisimamia misingi ya katiba, hiyo katiba nzuri sana inakosa maana, inakuwa haina manufaa yoyote.

Kwa sababu, katiba ni kijitabu tu, kitu muhimu ni utamaduni wa kusimamia ukatiba.
Kwa maandiko haya yawezekana hata hii katiba tuliyonayo ni nzuri ila imekumbana na utamaduni mbaya wa kutoheshimu hicho tulichojiwekea ili kutusimamia na kutudhibiti.Hivyo katiba mpya haina muujiza hata kama itakuja kama utamaduni utabaki vilevile.exactly.
 
Kwa maandiko haya yawezekana hata hii katiba tuliyonayo ni nzuri ila imekumbana na utamaduni mbaya wa kutoheshimu hicho tulichojiwekea ili kutusimamia na kutudhibiti.Hivyo katiba mpya haina muujiza hata kama itakuja kama utamaduni utabaki vilevile.exactly.
Katiba ya sasa ina mapungufu mengi. Kwa mfano, inampa madaraka makubwa sana rais, ina vipengele vingi vinavyotoa haki na vingine kama zinachukua haki hizo na kujipinga.

Lakini, kimsingi, inatoa haki nyingi za kibinadamu zinazotokana na Universal Declaration of Human Rights. Kwa mfano, kama haki za watu kukutana (freedom of assembly). Haki hizi, ambazo ni za kikatiba na kibinadamu, zilivunjwa na rais Magufuli alipokataza mikutano ya hadhara ya kisiasa.

Magufuli alivunja katiba waziwazi, hii hii tuliyo nayo sasa.

Na kwa sababu nchi yetu haina utamaduni mzuri sana wa kuheshimu katiba, Magufuli hakuwajibishwa.

Kwa hivyo, point yako ina mantiki, kwamba, hata mazuri ya katiba hii ya sasa tunaweza tusiyatumie, kwa sababu, hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba. Tuna utamaduni wa kuendeshwa kwa amri kutoka juu.

Ndipo hapo habari ya katiba ni kijitabu tu inapokuwa na mantiki.
 
Katiba ya sasa ina mapungufu mengi. Kwa mfano, inampa madaraka makubwa sana rais, ina vipengele vingi vinavyotoa haki na vingine kama zinachukua haki hizo na kujipinga.

Lakini, kimsingi, inatoa haki nyingi za kibinadamu zinazotokana na Universal Declaration of Human Rights. Kwa mfano, kama haki za watu kukutana (freedom of assembly). Haki hizi, ambazo ni za kikatiba na kibinadamu, zilivunjwa na rais Magufuli alipokataza mikutano ya hadhara ya kisiasa.

Magufuli alivunja katiba waziwazi, hii hii tuliyo nayo sasa.

Na kwa sababu nchi yetu haina utamaduni mzuri sana wa kuheshimu katiba, Magufuli hakuwajibishwa.

Kwa hivyo, point yako ina mantiki, kwamba, hata mazuri ya katiba hii ya sasa tunaweza tusiyatumie, kwa sababu, hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba. Tuna utamaduni wa kuendeshwa kwa amri kutoka juu.

Ndipo hapo habari ya katiba ni kijitabu tu inapokuwa na mantiki.
Point yako kubwa niliyokuelewa ni kwamba hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba hilo ndio kubwa kumbe kinabaki ni kijitabu tu hata kikiwa na mazuri kiasi gani kikubwa utamaduni wa kuheshimu tuliyojiwekea haupo na mamlaka za kulinda hilo hazipo.
 
Point yako kubwa niliyokuelewa ni kwamba hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba hilo ndio kubwa kumbe kinabaki ni kijitabu tu hata kikiwa na mazuri kiasi gani kikubwa utamaduni wa kuheshimu tuliyojiwekea haupo na mamlaka za kulinda hilo hazipo.
Naam.

Hii ndiyo point kubwa.

Na watu wengi wanaomlaumu Samia kwa kusema "katiba ni kijitabu tu" hawaioni pointi hii.

Wanaona ile kauli ni kama kauli ya mtawala asiyeheshimu katiba anayetaka kuidogosha tu.

Mimi si mshabiki wa Samia, na ninampinga kwa mengi, lakini kwenye hili, kuna point ya kifalsafa yenye mantiki.
 
Katiba sio kijitabu ni mfumo wa wananchi mahalia kujitawala wenyewe katika mfumo waliokubaliana.
Huu mfumo unatakiwa ufundishwe tangu shule ya msingi ili wananchi wajielewe mapema jinsi ya kupata haki zao na jinsi ya kuhudumiana.
 
Naam.

Hii ndiyo point kubwa.

Na watu wengi wanaomlaumu Samia kwa kusema "katiba ni kijitabu tu" hawaioni pointi hii.

Wanaona ile kauli ni kama kauli ya mtawala asiyeheshimu katiba anayetaka kuidogosha tu.

Mimi si mshabiki wa Samia, na ninampinga kwa mengi, lakini kwenye hili, kuna point ya kifalsafa yenye mantiki.

Mimi naamini Samia alisema tu hivyo kwa bahati na si kwamba alisema hivyo kutokana na kulifikiria kwa kina, mapana, na marefu yake hilo suala la katiba.

Kuna nyakati hata mtu mwenye akili za chini ya wastani anaweza akasema kitu cha kifalsafa kwa bahati tu.

Nadhani hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Samia.

She is not a philosopher queen. Not by a long shot 😀.
 
Katiba ni kitabu tu. Muhimu zaidi ni utamaduni wa ukatiba.
Hapa nakubaliana na ww na ndio maana kuna nchi wala hazina katiba ila ni utamaduni tu ndo unatumika.

Sadly hatujawa civilized kiwango hicho
 

Mimi naamini Samia alisema tu hivyo kwa bahati na si kwamba alisema hivyo kutokana na kulifikiria kwa kina, mapana, na marefu yake hilo suala la katiba.

Kuna nyakati hata mtu mwenye akili za chini ya wastani anaweza akasema kitu cha kifalsafa kwa bahati tu.

Nadhani hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Samia.

She is not a philosopher queen. Not by a long shot 😀.
Sijasema ni philosopher queen. And she does not need to be to see this.

It is a basic observation, why are we elevating it to some lofty Hegelian dialectic?

Na hata kama kasema kwa bahati, mimi siko interested sana na Samia na uwezo wake, najua huyu ni rais aliyesema " flat chested athletes", basically a country bumpkin, hata Zanzibar anatoka Kizimkazi, si Malindi wala Kikwajuni.

Ila, najadili hoja ya kifalsafa.
 
Sijasema ni philosopher queen. And she does not need to be to see this.

It is a basic observation, why are we elevating it to some lofty Hegelian dialectic?

Na hata kama kasema kwa bahati, mimi siko interested sana na Samia na uwezo wake, najua huyu ni rais aliyesema " flat chested athletes", basically a country bumpkin, hata Zanzibar anatoka Kizimkazi, si Malindi wala Kikwajuni.

Ila, najadili hoja ya kifalsafa.
Jamani jamani hizi lugha zina wenyewe, vinginevyo ni viroja!
 
Wenyewe ni wazawa wa lugha wengine wanarojoa!
Si kweli.

Kuna Waingereza wa London wanaongea Cockney English mbaya sana, wanakosea grammar, spelling mpaka matamshi.

Na kuna wageni wanaongea na kuandika Kiingereza kizuri zaidi yao.
 
Si kweli.

Kuna Waingereza wa London wanaongea Cockney English mbaya sana, wanakosea grammar, spelling mpaka matamshi.

Na kuna wageni wanaongea na kuandika Kiingereza kizuri zaidi yao.
Kwa hiyo na wewe umeiga Cockney English?

Unatakiwa kuandika kwa usahihi ili wasomaji wako waelewe lakini unaweza kuongea kwa mkato kwa kuwa unakuwa uso kwa uso na wasikilizaji wako!
 
Back
Top Bottom