Mimi kuiga Cockney English kunatoka wapi? Mimi na Cockney English wapi na wapi?Kwa hiyo na wewe umeiga Cockney English?
Unatakiwa kuandika kwa usahihi ili wasomaji wako waelewe lakini unaweza kuongea kwa mkato kwa kuwa unakuwa uso kwa uso na wasikilizaji wako!
Dunia ipo kwa hao wasema cockney?Mimi kuiga Cockney English kunatoka wapi? Mimi na Cockney English wapi na wapi?
Unatakiwa kuandika na kusema kwa usahihi.
Na hao wanaoongea Cockney mbaya, wakiandika wanaandika vibaya zaidi, na hao ni wazawa.
Huijui dunia wewe!
Siyo tu huijui dunia, hujui hata dunia ni nini.Dunia ipo kwa hao wasema cockney?
Kweli mbwa wa Samia wamewehuka!Siyo tu huijui dunia, hujui hata dunia ni nini.
Kwahiyo hataki katiba kwakuwa wengi hawaielewiWatanzania tuna jambo letu! 2025 tusifanye makosa.View attachment 3125780
Inaelekea yeye ndiye asiyeielewa katiba, kwa hiyo HAFAI!Kwahiyo hataki katiba kwakuwa wengi hawaielewi
Jana wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ ulitutaka wananchi kulinda na kuheshimu katiba katika kulinda nchi.
Kilichonishangaza ni kuwa ni wewe mwenyewe uliwahi kusema katiba ni kitabu tu wakati viongozi wa vyama vya siasa walipokuwa wakijadili umuhimu wa kupata Katiba mpya ili kuendeleza demokrasia na ustawi wa jamii.
Sasa je kwako katiba ni muhimu pale unapotaka kulinda maslahi yako lakini wengine wakihitaji Katiba kwa maslahi mapana ya nchi kinakuwa ni kitabu tu kisicho na umuhimu wo wote?
Ina endana na hii sehemu ya hotuba ya Mwalimu kuhusu Kiongozi kuitetea na kuilinda KatibaWatanzania tuna jambo letu! 2025 tusifanye makosa.View attachment 3125780