Rais Samia ni miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Rais Samia ni miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi Afrika

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametajwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi zaidi Barani Afrika. Rais Samia ametajwa na Jarida la Most Influecial African Women (MOAW) miongoni mwa wanawake mwenye ushawishi Barani Afrika katika kipengele cha Uongozi (Governance).

Jarida la AvanceMedia100 kila mwaka limekuwa likichapisha majina ya wanawake wenye ushawshi zaidi barani Afrika waliopigiwa kura/kuchaguliwa katika nyanja mbalimbali ikiwemo biashara, mabadiliko ya tabia Nchi, huduma kwa jamii, diplomasia, burudani, uongozi, habari (media) pamoja na michezo.

Capture Samia.PNG

TwendePamoja
Samia
Afrika
WanawakeWenyeUshawishi
KwaMatokeoYaHaraka
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametajwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi zaidi Barani Afrika. Rais Samia ametajwa na Jarida la Most Influecial African Women (MOAW) miongoni mwa wanawake mwenye ushawishi Barani Afrika katika kipengele cha Uongozi (Governance).

Jarida la AvanceMedia100 kila mwaka limekuwa likichapisha majina ya wanawake wenye ushawshi zaidi barani Afrika waliopigiwa kura/kuchaguliwa katika nyanja mbalimbali ikiwemo biashara, mabadiliko ya tabia Nchi, huduma kwa jamii, diplomasia, burudani, uongozi, habari (media) pamoja na michezo.


TwendePamoja
Samia
Afrika
WanawakeWenyeUshawishi
KwaMatokeoYaHaraka
Safi sana mama anapiga kazi kweli kweli kati ya hao mia mama ni namba moja
 
Huyo aliyekataa kupandishwa kwenye Basi kama Mfugo, Bi Sahile-Work, ni namba moja, halafu anafuatia Raisi wangu mpendwa Bi Samia Suluhu Hassan.

Huu ni mtizamo wangu tu.
 
Back
Top Bottom