Rais Samia ni mpenda sifa kuliko hata Hayati Magufuli

Rais Samia ni mpenda sifa kuliko hata Hayati Magufuli

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani? Nikumbushwe huenda nimesahau.

Hakika sikumbuki.

Tangu awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe mbashara kwenye Tv ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo mbashara kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika. Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika.

Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.

Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko.
 
Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!

Hakika sikumbuki!

Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe hewani ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo hewani kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo,namaanisha kwa Watanganyika!

Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.

Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Usipende kulia lia kama mtoto wa kike. Fanya kazi yako kwa manufaa ya familia /ndugu zako. Amini nakwambia usukuma gang hausaidii lolote katika maisha yako. Mwache Rais wetu kipenzi SSH apige kazi
 
Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!

Hakika sikumbuki!

Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe hewani ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo hewani kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika!

Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.

Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Hutaki mwona raisi wako ndugu! Kuna ubaya gani raisi kuonyesha shughuli zake za kila siku kwa maboss wake?
 
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Kwa kawaida wanawake ni wapenda sifa sana, ni watu wanaopenda attention sana na ukitaka uende nae vzr hata akirukiwa na uji wa ugali akipiga kelele jifanye unamkimbilia ukiwa umebeba siraha as ifu umehisi kavamiwa aisee wanapenda khaaa!! ninachotaka kukueleza ni kwamba yeye pia mwache apende tu hizo sifa ni Hulka zao full stop!
 
Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!

Hakika sikumbuki!

Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe hewani ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo hewani kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika!

Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.

Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Utakufa nacho kijiba cha roho
 
Kupenda sifa ni hulka ya mwanadam maana tumeumbwa kwa mfano wa Mungu ambaye anapenda sifa.sidhani kama kuna mtu hatopenda sifiwa kwa jambo lolote zuri alilofanya.
 
Back
Top Bottom