Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YAANI IMEPAA JUU"Ikulu kuwa hewani" maana yake nini?
MARAIS WA NCHI NYINGINE MPAKA UKISIKIA ANATOA HOTUBA BASI KUNA JAMBO NA KILA MTU ANATAFUTA NAFASI YA KUMSIKILIZA.Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!
Hakika sikumbuki!
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe hewani ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo hewani kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika!
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Sifa anapenda na ndoto zake za kuwajaza chawa wake pesa wamsifie,anachoweza ni kubuni vitu vya hovyo mara uchifu,kukiuka haki za binadamu kwa wamasai...kuteua kila uchwao na mipasho jukwaaniNi lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!
Hakika sikumbuki!
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe hewani ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo hewani kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika!
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!
Hakika sikumbuki!
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe mbashara kwenye Tv ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo mbashara kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika!
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau!
Hakika sikumbuki!
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe mbashara kwenye Tv ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo mbashara kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika.Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika!
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko...!!!
Me nadhani tukubaliane tu, hao wote watch100 na stone ni wapenda misifa.Matukio haya yalionyesha Magufuli alipenda sifa kuliko kitu chochote.
Viumbe wazito
mmesahau Magufuli hata akiwa Chato likizo amebeba wajukuu mmlikuwa mnapost picha…?
Magufuli alipost picha akiwa amelala juu ya mawe.
Magufuli alipiga picha ameenda kununua samaki na mapapai mmesahau..?
Magufuli Ali rekodi video ya simu akishangilia ushindi wa Stars kufuzu Mataifa ya Afrika!
Haya yote machache yalikuwa hayana tija kwa Taifa hakuna mahali watu walilalamika. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
ungehama tu Nchi kuepuka hizo kero bibieNi lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau.
Hakika sikumbuki.
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe mbashara kwenye Tv ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo mbashara kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika. Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika.
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko.
wanafiki hawaMatukio haya yalionyesha Magufuli alipenda sifa kuliko kitu chochote.
Viumbe wazito
mmesahau Magufuli hata akiwa Chato likizo amebeba wajukuu mmlikuwa mnapost picha…?
Magufuli alipost picha akiwa amelala juu ya mawe.
Magufuli alipiga picha ameenda kununua samaki na mapapai mmesahau..?
Magufuli Ali rekodi video ya simu akishangilia ushindi wa Stars kufuzu Mataifa ya Afrika!
Haya yote machache yalikuwa hayana tija kwa Taifa hakuna mahali watu walilalamika. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
ExactlyKupasuliwa ndiyo demokrasia na ndiyo ukomavu. Siyo yule mwendakuzimu wa Chato, ukimsema anakupiga risasi
Tumfanyeje sasa?Anakera!
Hiyo tabia kama anayo basi atakuwa alifundishwa na mwendazake.
Hizi ndio nongwa zenyewe, akikaa kimya mtaanza mbona rais wetu yupo kimya hivi ni mzima kweli?. akiongea mara kwa mara mnadai anapenda sifa!.Ni lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau.
Hakika sikumbuki.
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe mbashara kwenye Tv ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo mbashara kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika. Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika.
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko.
Lini ulimsema huyo unayemsemaNi lini Samia awapo Tanzania Ikulu haikuwa hewani?Nikumbushwe huenda nimesahau.
Hakika sikumbuki.
Toka awe Rais kwa bahati mbaya dada huyo kila uchwao awapo Tanzania ni lazima Ikulu iwe mbashara kwenye Tv ama yeye mwenyewe akihudhuria jambo fulani hata kama halina sifa za uwepo wake ama Ikulu ipo mbashara kuelezea sifa ambazo zingine hazina hata tija kwa Watanganyika. Ndiyo, namaanisha kwa Watanganyika.
Binafsi, sipendezwi na hali hiyo.
Tulimsema Magufuli kwa upenda sifa wake kumbe yupo awaye mpenda kuliko.