Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nchi imejawa na simanzi kwa mauaji ya kikatili. Kitendi kiovu kilichopindukia mauaji haya ni muendekezo wa vitendo vya kikatili, utekaji na kupotezana.
Imesimuliwa kuwa mzee Kibao alitekwa hivi karibuni ajishushwa ndani ya basi na watu wenye silaha wakijitambulisha ni askari polisi tena wakiwa na pingu.
Baada ya utekaji huu, katibu wa CHADEMA John Mnyika alipaza sauti kuwa mmoja kiongozi wao ametekwa.
Polisi kana kawaida yao walijitokeza kutoa kauli kama tulivyowazoea. Leo hii nchi imepigwa butwa kwa kutaarifiwa kuwa mzee Kibao ameokotwa akiwa mfu.
Sakata hili limenuibua Mwenezi wa ccm kukemea, kutoa pole na kutoa wito kwa polisi kufiatilia.
Mbali na Makalla, Rais Samia naye amekemea na kutoa pole na wito kwa Polisi kumpa taarifa yamauaji haya.
Ni jambo jema Rais kuagiza hivyo lakini; Je polisi watatia taarifa sahihi?
Je kwanini hata kitendo cha uchunguzi leo hospitalini hawakutaka mawakili washiriki?
Soma Pia:
Ninashauri iundwe tume huru kuchunguza na sio polisi
Imesimuliwa kuwa mzee Kibao alitekwa hivi karibuni ajishushwa ndani ya basi na watu wenye silaha wakijitambulisha ni askari polisi tena wakiwa na pingu.
Baada ya utekaji huu, katibu wa CHADEMA John Mnyika alipaza sauti kuwa mmoja kiongozi wao ametekwa.
Polisi kana kawaida yao walijitokeza kutoa kauli kama tulivyowazoea. Leo hii nchi imepigwa butwa kwa kutaarifiwa kuwa mzee Kibao ameokotwa akiwa mfu.
Sakata hili limenuibua Mwenezi wa ccm kukemea, kutoa pole na kutoa wito kwa polisi kufiatilia.
Mbali na Makalla, Rais Samia naye amekemea na kutoa pole na wito kwa Polisi kumpa taarifa yamauaji haya.
Ni jambo jema Rais kuagiza hivyo lakini; Je polisi watatia taarifa sahihi?
Je kwanini hata kitendo cha uchunguzi leo hospitalini hawakutaka mawakili washiriki?
Soma Pia:
Ninashauri iundwe tume huru kuchunguza na sio polisi