My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
- Thread starter
-
- #21
Anhaa,naona mmeanza kupona ugonjwa wa akili uliokuwa unawatesa,sisi hatupendi chama tunaipenda TanzaniaKwa kweli tuliokuwa na matumaini makubwa na mana sasa yanafifia,
Nasema hivi namanisha, Sasa bahada ya mwezi miwili nitaomba uniambie Kama nilichokwambia ni sawa au la mkuuAmina mkuu
Uwe na hekima mkuu.Nyuzi nyingine bwana.....! Eti rais ulimtahadharisha.. Eti unainfo Za denimark kuvunja ubalozi kuliko info alizonazo amiri jeshi mkuu
Mkuu usilazimishe Barabara kuwa Bahari, mkeo akikuchoka hawezi kukutamkia kuwa hakutaki,ataanza kurudi nyumbani saa 5 usiku bila sababu, halafu utajiongeza mwenyewe.Kufungu ubalozi siyo kuvunja diplomatic ties na nchi. Kuna nchi nyingi zina diplomatic ties na Tanzania bila kuwa na ofisi za ubalozi Tanzania
Wamemtuma Denmark Kama chambo,halafu watafuata wote, Tanzania itakuwa Kama Zimbabwe au zaidi, watch outNiliwaambia kuwa tutegemee nchi za Euro zote kujitoa
Bora umwambie wewe labda atakuelewaUee na hekima mkuu.
Amiri jeshi mkuu aliyepita yuko wapi?
Mzarau mwiba huota matende.
Inauma sana, Dk nidau wetu wa maendeleo mwaminifu sanaWamemtuma Denmark Kama chambo,halafu watafuata wote, Tanzania itakuwa Kama Zimbabwe au zaidi, watch out
Kina nani hao mkuuMafala sana hao kila kitu wanachofanya kwa kutumia akili zao mbovu kikibuma wanamsingizia kamanda MAGUFULI THE GREAT
Unajua ni kwanini zinakuwa na balozi wakilishi ktk kanda? na kwanini zisifungue balozi kila nchi zenye ties nao?Kufungu ubalozi siyo kuvunja diplomatic ties na nchi. Kuna nchi nyingi zina diplomatic ties na Tanzania bila kuwa na ofisi za ubalozi Tanzania
Tafuta hela visirani kama hivi hutokea kwa watu duni. Fanya kazi ingiza pesa uwe na furaha.Nyie kenge si mlisema mama ameondoa sukuma gang na kwamba sasa hivi ushauri unatoka msoga!
Mmesahau?
Oh so sorry, kumbe ni nyumbu!3
Tulivyoanza kwa maneno mazuri tulisubiri vitendo. Kumbe yalikuwa maneno tu.Kwa kweli tuliokuwa na matumaini makubwa na mama sasa yanafifia,
Mbona ukigusa maslahi yao humu unadakwa? Wanajuaje kama hawaingii humu na kuyasoma.Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?
Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?
Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Taarabu ya nini sasa!Tafuta hela visirani kama hivi hutokea kwa watu duni. Fanya kazi ingiza pesa uwe na furaha.
Humu wanaingia sana tu tena kuna askari maalum wapo 24hrs.Mbona ukigusa maslahi yao humu unadakwa? Wanajuaje kama hawaingii humu na kuyasoma.
Unajuaje hapitii humu?Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?
Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?
Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Mkuu na mimi naziomba baraka aisee J pili imekaa hovyo sanaMkuu, nakupa baraka zote za jpili, wewe ni mtu mwema Sana , barikiwa pitia pembe zote za dunia, sio MNAFIKI ,walipenda taifa hili , nami nasema barikiwa anzia unyayo wako mpaka utosi wa kichwa Chako na imekua
Amiri jeshi mkuu alishindwa kujua polisi wamempora Hamza na Hamza amejiapiza kisasiNyuzi nyingine bwana.....! Eti rais ulimtahadharisha.. Eti unainfo Za denimark kuvunja ubalozi kuliko info alizonazo amiri jeshi mkuu
Kama unataka kujua, sogea hapa karibu na Jumba Tai