Rais Samia, nilikutahadharisha mapema

Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?


Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?

Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Ushauri umetolewa kama mnaona/ataona ni zuga, ni maamuzi yake. Aendelee kishupaza Shingo kama mwendazake halafu Shingo yake.......
 
Kwa hiyo sukuma gang sasa hivi ni kubwa na ina nguvu kuliko usalama wa taifa, jeshi, na hata polisi?

Yani injini zote zinazoicontrol hii nchi zimezidiwa na sukuma gang?

Naomba nitajiwe sukuma gang walau wawili tu tafadhali?!
 
O
Wakati mwingine ujue kilogo kikiswihi si rahisi kuchomoa labda Mungu apende naam Mungu tu ndio akustue kwa neema yake.
 

kwan denmark imefunga ubalozi kwenye nchi ngap?
 
Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?


Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?

Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....

ni atari kutumia makalio badala ya akili
 
Acha majungu ndugu.
Acha majungu ndugu.Inaonekana kwenye ofisi unayofanya au nyumbani kwako,majungu unayaendekeza kweli kweli.Acha uchuro huo.
 
Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?


Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?

Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Namkaribisha sana mi muiza karanga hapa nje ya geti
 
Huna lolote wewe nyumbu! Endelea kuula wa chuya tu!
 
No logical cohesion in your rambling. In other words, the conclusion does not follow from the premises.
 
Huna lolote wewe ni nyumbu tu kama nyumbu wengine.
 
Ushauri umetolewa kama mnaona/ataona ni zuga, ni maamuzi yake. Aendelee kishupaza Shingo kama mwendazake halafu Shingo yake.......
Tatizo ni kutonielewa... swali langu ni hili: Ana uhakika kama Rais aliusoma huo ushauri wake hapa JF ili aufanyie kazi? KAma hakuusoma, anamlaumuje?

Mimempa njia sahihi ya kumfikishia Rais ushauri wake.... sio kuandika vithread JF ukifikiria Rais ana muda wa kusoma threads zote hapa JF

Bado haujaelewa?
 
Shida naona tuliweka matarajio ya juu tofauti na yeye alivyo
Ni lazima tukubali Samia ni CCM, ni ngumu kumtenganisha nao
Pamoja na kwamba Samier ni Ccm , lakini pia she has proven to be incompetent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…