Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nitajie mmoja aliyekamatwa kwa kupost jambo hapaMbona ukigusa maslahi yao humu unadakwa? Wanajuaje kama hawaingii humu na kuyasoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie mmoja aliyekamatwa kwa kupost jambo hapaMbona ukigusa maslahi yao humu unadakwa? Wanajuaje kama hawaingii humu na kuyasoma.
Ushauri umetolewa kama mnaona/ataona ni zuga, ni maamuzi yake. Aendelee kishupaza Shingo kama mwendazake halafu Shingo yake.......Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?
Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?
Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Wakati mwingine ujue kilogo kikiswihi si rahisi kuchomoa labda Mungu apende naam Mungu tu ndio akustue kwa neema yake.Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Ipo siku atasema alikua na info za hamzaNyuzi nyingine bwana.....! Eti rais ulimtahadharisha.. Eti unainfo Za denimark kuvunja ubalozi kuliko info alizonazo amiri jeshi mkuu
Kwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?
Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?
Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Acha majungu ndugu.Inaonekana kwenye ofisi unayofanya au nyumbani kwako,majungu unayaendekeza kweli kweli.Acha uchuro huo.Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Namkaribisha sana mi muiza karanga hapa nje ya getiKwa akili zako unadhani ulivyoandika hapa hayo maushauri mama alikuwa na muda wa kuyasoma?
Hivi mnadhani Rais ni kama moderator wa JamiiForums?
Siku nyingine, gonga hodi ikulu pale uombe appointment ya kulonga na mama....
Huna lolote wewe nyumbu! Endelea kuula wa chuya tu!Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Yaani siku hizi mnategemea zaidi mabeberu kuliko watz. Mnafikiri mabeberu ndiyo watapiga kura 2025!?Mwenye masikio na asike.
No logical cohesion in your rambling. In other words, the conclusion does not follow from the premises.Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na wapinzani ili kutengeneza hatima nzuri ya Tanzania, kilichotokea ni sukuma gang kuibuka ghafla na kukushauri kwamba usicheke na Chadema utavuna mabua, walikushauri uhakikishe wapinzani hasa CHADEMA wanatoweka kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Huyo kijana aliyeoa Binti yako, Mkwilima wako huyo aliyeko Bungeni ni hatari sana kwenye uongozi wako, wewe unadhani wanakupenda kumbe wanaangalia maslahi yao na siyo ya Taifa.
Denmark wanavunja Diplomatic ties na Tanzania kwa sababu yako wewe, na ukae ukijua siyo Denmark tu, taarifa tulizonazo na za uhakika ni kwamba, Norway, Sweden, na Netherlands watafuata.
Baada ya hapo, Marekani wanailia timing Tanzania waichape vikwazo.
China ni Taifa katili na tapeli hapa Duniani, mataifa yote yaliyodhani China ni msaada kwao leo yanalia.
Rais Samia, kama unadhani CCM ndo Tanzania endelea kuwasikiliza hao uone kitakachotokea.
Huna lolote wewe ni nyumbu tu kama nyumbu wengine.Mkuu usipende kudharau watu usiowajua, Rais angejua Denmark itavunja uhusiano angefanya jambo kuzuia, hakujua na kuna mengi hayajui,Rais Samuel Doe wa Liberia hakujua kuwa siku aliyokuwa anaenda kuonana na Prince Johnson angetekwa kisha kuteswa kikatili hadi kuuawa.
Rais siyo Mungu eti ajue kila jambo, Dunia ni watu na watu ndo sisi.
Narudia tena, usipende kudharau watu usiowajua.
Mkolomije huyu msamehe tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyuzi nyingine bwana.....! Eti rais ulimtahadharisha.. Eti unainfo Za denimark kuvunja ubalozi kuliko info alizonazo amiri jeshi mkuu
Kwani unapata madhara gani unavyoyatumiani atari kutumia makalio badala ya akili
Tatizo ni kutonielewa... swali langu ni hili: Ana uhakika kama Rais aliusoma huo ushauri wake hapa JF ili aufanyie kazi? KAma hakuusoma, anamlaumuje?Ushauri umetolewa kama mnaona/ataona ni zuga, ni maamuzi yake. Aendelee kishupaza Shingo kama mwendazake halafu Shingo yake.......
Hujaelewa maudhui ya uzi.Kufungu ubalozi siyo kuvunja diplomatic ties na nchi. Kuna nchi nyingi zina diplomatic ties na Tanzania bila kuwa na ofisi za ubalozi Tanzania
Kwani unapata madhara gani unavyoyatumia
Pamoja na kwamba Samier ni Ccm , lakini pia she has proven to be incompetentShida naona tuliweka matarajio ya juu tofauti na yeye alivyo
Ni lazima tukubali Samia ni CCM, ni ngumu kumtenganisha nao