uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,467
- 916
Kweli kazi ya Wizi mwajiri MwiziKwani kuna shida gani katika maneno hayo? Na je reality ni ipi? Kwani hizo tekniki alizozisema hazipo?
Au kwani wewe hufahamu mtu yeyote anayefanya kazi TRA au ndugu au jirani? Kuna unayemuona ni maskini?
Wanaposema wanataka mtu mwenye experience ya miaka kadhaa kwenye kazi na uzoefu fulani unadhani wanamaanisha uzoefu gani?
Nenda interview za madreva wa mabasi ya mikoani, unadnani kama hujawahi kuangusha gari au kugongana ndiyo utapata kazi kirahisi ? Hakuna mwenye biashara ya basi atakayetaka ukajifunzie kwake kuangusha basi.
Yusuf Juma Mwenda atapewa malengo ya kuvuka makusanyo ya kodi zaidi ya alivyofanya Kidata. Na kwa kuwa anajuwa wanavyoiba na kukwepa basi ndiye mtu sahihi. Kama hatatumia uzoefu wake, basi atampisha mtu mwingine
Kazi ya Wizi mpe MwiziKwa maelezo mafupi ya mteule ni kwamba anajua kamishna ni mwizi kamteua ili akazibe mianya yote ya wizi anayoijua. ππ
Mbwa kaachiwa alinde bucha. Hii nchi ngumu sana.
Kuna muda nahisi kuwaelewa wale waliotaka kupindisha katiba 2021
Kazi ya Wizi mpe Mwizi aibe vizuri Tom & Jerry kabisa hiiAnaziba tundu la panya kwa mkate, angeishia kuwa Mrs somebody anatumbukiza taifa shimoni, hana huruma na kizazi chetu alitakiwa apigwe mawe yeye na watu wake mpaka kufa hii ni kufuru
Fisi kakabidhiwa Mifupa yake aendelee kuipukusaWanateuana hata kama wamedata na hata kama wanahusika na michongo watoto wa mjini hawaachani.
Amemrudisha tena huku akimtuhumu kwamba huenda anashiriki kwenye michongo ya watoto wa Mjini.
Ccm ina wenyewe.
Wanaoendelea kupiga makofi na vigelegele endeleeni.
Hivi ilikuwa imefungwa?Si mlitaka nchi ifunguke
Kule kuna pesa za bure hazina auditingKwa hiyo anataka kidata akadate ikulu
Sio kweli,Tatizo la Dr Ruto lipo tofauti kabisa.Mwambieni mama apunguze matumizi serikalini, vinginevyo kuna bomb litalipuka.Achukue hatua kabla,mwenzake Ruto kaanza kupunguza.Hali mbaya mtaani
Ilikuwa imefungwa kuiba sahivi watu wanashindana kuiba pekeeHivi ilikuwa imefungwa?
Subiri uoneSio kweli,Tatizo la Dr Ruto lipo tofauti kabisa.
Nimekuwekea na source mzee hapo #Millard ayoWe acha uongo wewe, Rais hawezi kuongea hayo.., weka video ndio nitaamini
Rais tunayeLipo kundi la Watoto wa Mjini la Amos Makala na Dr Nchimbi na wenzao bila shaka na Rais akiwemo na limetangazwa hadharani.
Je mama leo alikuwa anamsajili Kamishina Mkuu wa TRA kwenye kundi hilo kwa kumuita mtoto wa mjini?
Aisee Kazi ipoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaapisha viongozi wateule Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, leo Julai 5, 2024
Rais Samia amewapongeza wateule wote kwa kupata nafasi mpya. Amemtaka Jafo kurejea Ilani ya chama cha Mapinduzi kwa kuwezesha kukua kwa biashara za watanzania pamoja na kusikiliza na kutatua changamoto za wafanyabiashara. Kariakoo ni eneo muhimu la biashara, akaifanye kariakoo kuwa kitovu cha biashara kwa masaa 24.
Amesema Kariakoo kuna siasa sana na wakati wa mgogoro alituma timu ya siri na amebaini hata huu mgomo baadhi ya wafanyabiashara walikuwa hata hawajui kwanini kuna mgomo zaidi ya kupewa maelezo na viongozi wao. Biashara sasa ni field, Jafo asikae Ofisini.
Akitolea mfano wa Video iliyosambaa mtandaoni ikihusisha mwanamke mtanzania na mwanaume raia wa China, Rais Samia amesema ipo pia migogoro inayotokea kati ya wageni na wenyeji sokoni Kariakoo, amemtaka Jafo kuangalia suala hili kwa undani kwanini inatokea.
Kuhusu uteuzi wa bosi mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda Rais, Samia amesema chini ya Kidata mapato yalikua sana na amemuondoa hapo sababu aliona mwisho atadata maana kafanya kazi kubwa. Hivyo ameteua mtu mpya ili akapambane pia kuongeza mapato na kukusanya zaidi pamoja na kuziba mianya ya upigaji. Amesema Mwenda aisende kufanya kazi kwa kuridhisha watu bali amridhishe yeye aliyemteua.
Aidha, Rais Samia amesema ipo michezo mingi inafanywa na wafanyabiashara na wawekezaji ikiwemo mashine za EFD, msamaha wa kodi, VAT, PAYE n.k hivyo kamishna mpya anapaswa kufuatilia masuala haya kwa undani wake.
Mkuu huna kitu,nyosha maelezo vinginevyo watakuita akina pangu pakavu weka mchuzi.Subiri uone
Yaaan...Kuna nafasi sisi wanawake hazitufaii...acha tupake lipustic na kulea familia..sasa ndio nini hichooo...Enyi wanaume wa Tanzania kazi kwenuuTungekuwa na Gen Z inayojitambua vema mama angefurushwa ikulu kesho asubuhi!
Haiwezekani uendeshe nchi kwa kubahatisha hivi huku mamlaka yote umepewa na katiba!