Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwishoni atadata

mambo mengi huwa sikubaliani na Nyerere
 
Mwambieni mama apunguze matumizi serikalini, vinginevyo kuna bomb litalipuka.Achukue hatua kabla,mwenzake Ruto kaanza kupunguza.Hali mbaya mtaani
Hiyo ndo point ya msingi ..huyu mama amekuja kuongeza matumizi ya serikali wanaoumia ni sis walipackodi
 
Anawaaminisha wajinga kwamba Kariako ni sehemu muhimu sana kwa uchumi wa nchi, umuhimu upi wakati asilimia 100 products ni za nje tena lower qualities
Hiyo kodi si aichukue huko bandarini aacha kuwwpa wwtu mianya ya rushwa ya kutembea kukagua risit
 
Lipo kundi la Watoto wa Mjini la Amos Makala na Dr Nchimbi na wenzao bila shaka na Rais akiwemo na limetangazwa hadharani.

Je mama leo alikuwa anamsajili Kamishina Mkuu wa TRA kwenye kundi hilo kwa kumuita mtoto wa mjini?
Hakuna cha mtoto wa mjini wala nn hapo ni upumbavu ndio unaonekana.
 
Amemuelezea Kidata kama Mkuu wa TRA mwenye msimamo imara sana.Akasema hata wao viongozi hawakumpenda kwa sababu wakitaka bidhaa fulani isilipiwe ushuru yeye alikuwa anaweka ngumu.
Kwa namna alivyomuelezea,Kidata ndiyo anafaa kama anataka makusanyo yaongezeke.
 
Ingekuwa mataifa mengine Kwa hotuba hiyo ya raisi wangesha andamana
 
Ila samia anachekesha, Kwa hiyo amemteua mwizi akazibe milango ya wizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…