Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
mambo mengi huwa sikubaliani na NyerereMkuu huna kitu,nyosha maelezo vinginevyo watakuita akina pangu pakavu weka mchuzi.
Mwl.Nyerere pamoja na mambo mengi ya kuikomboa Africa lakini alitugeuza watu baki kisa English communications language. Akijua knowledge is power,
Wabongo wako vizuri lakini hawafahamiki kimataifa.
Ila watoto wao .......
Yametukutaa Mambo jamani mpk tunajionea huruma...Tunaumia tu ndani kwa ndani...Na Kuna hao wanasema mitanoo tena..hii kauli nikisikiaaa natamani kulia aisee..basi tuu hii nchiHuyo Maza hakufaa Kuwa Rais wa hii nchi,ni basi tu
Nimesoma mara 2, 3 nikawa siamini kilichoandikwa.Kumbe sio kufuata sheria bali kumridhisha aliyemteua? Duuh kazi ipo
Hiyo ndo point ya msingi ..huyu mama amekuja kuongeza matumizi ya serikali wanaoumia ni sis walipackodiMwambieni mama apunguze matumizi serikalini, vinginevyo kuna bomb litalipuka.Achukue hatua kabla,mwenzake Ruto kaanza kupunguza.Hali mbaya mtaani
Mbona ametolewa na wizara yake kuchuliwa na Jafo.Mbona hajamtoa Kijaji? maza ni mdini sn angekuwa mkristo angetengua uteuzi wake
😂😂Hiyo timu ya siri kama ya mchongo hiviTimu ya siri na yenyewe inamuambia anayotaka kusikia...issue ni madai yao wafanyabiashara kama yana mashiko au la...
Taifa la watu wasio jua haki zao.Kwa Taifa la wajinga kama Bongo unategemea nini? kumbuka Raisi anaongoza wajinga wengi sana
Hiyo kodi si aichukue huko bandarini aacha kuwwpa wwtu mianya ya rushwa ya kutembea kukagua risitAnawaaminisha wajinga kwamba Kariako ni sehemu muhimu sana kwa uchumi wa nchi, umuhimu upi wakati asilimia 100 products ni za nje tena lower qualities
Hakuna cha mtoto wa mjini wala nn hapo ni upumbavu ndio unaonekana.Lipo kundi la Watoto wa Mjini la Amos Makala na Dr Nchimbi na wenzao bila shaka na Rais akiwemo na limetangazwa hadharani.
Je mama leo alikuwa anamsajili Kamishina Mkuu wa TRA kwenye kundi hilo kwa kumuita mtoto wa mjini?
Ingekuwa mataifa mengine Kwa hotuba hiyo ya raisi wangesha andamanaRais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amemuondoa aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Alphayo Kidata kwenye nafasi yake kwakuwa aliona atadata kwa jinsi anavyoandamwa lakini amekiri kuwa TRA chini ya Kidata imefanya vizuri na kuongeza mapato hadi kufikia Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30 katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24 ambalo ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23.
Akiongea leo July 05,2024, Ikulu ya Tunguu, Zanzibar wakati akiwaapisha Viongozi Wateule, Rais Samia amesema “Yusuph Mwenda kwanza hongera kwa kazi nzuri uliyofanya Zanzibar, tunakupeleka TRA (kuwa Kamishna mpya), TRA chini ya Kidata imefanya vizuri sana, mapato yamekua sana, sitegemei kama utashuka, kwanini nimemuondoa Kidata?, Kidata nimemuondoa niliona mwisho atadata, kazi kafanya nzuri sana lakini niliona atadata jinsi anavyoandamwa , sasa nakupeleka wewe Kijana wa Dar es salaam
Mtoto wa Mjini, uhuni wote ulioko TRA kule umefanywa na wewe ukiwa mulemule pengine uli-participate”
“Mipango yote mule ya kupenya, ya kufanyaje na Bandari mnatoa wapi mnapenyeza wapi unaijua Yusuph nenda kaizibe, nenda kaizibe, tunachohitaji ni mapato, tunachohitaji ni kupungua kukopa, tunakopa tunajichetua kila anayekuja akija European Bank yes yes, akija huyu Yes, World Bank wanatunyanyasa tumo tu, nini?, tuna miradi ya maendeleo inataka pesa, pesa hatuna tunakopa, tunakopa tunanyanyasika, je tukiwaomba itakuwaje?, kwahiyo twende tukanyanyue za kwetu”
“Serikali imefanya yote, tumeweka mazingira mazuri ya kufanya biashara, mazingira mazuri ya kufanya uwekezaji, Wawekezaji wanakuja, biashara zinafanyika kodi hazilipwi, Kariakoo pale tatizo ni kulipa kodi ukienda leo wanakuambia hiki kesho wanakuambia hiki, Kariakoo pekee yake kuna mapato kama yatakusanywa vizuri kwa mwaka yanaendesha Wizara tatu lakini hamkusanyi kuingia Serikalini, inawezekana mnakusanya kuingia mfukoni lakini hamkusanyi kuingiza Serikalini nenda kazibe hilo”
“Mwenda unaijua vizuri TRA ulikuwa sijui Mkurugenzi wa kodi zipi lakini ulikuwa unajua mnaibia vipi na wenzio kwahiyo yale mliokuwa mkiiba vichochoro vile nenda kazibe tunahitaji fedha, nimekuamini na najua utakwenda kufanya kazi”
#MillardAyoUPDATES
NB: Kiukweli 2025 tugangamale vingine tutakuja kuwa Zimbambwe iliyochangamka.
Nina shaka kama hata ubalozi wa nyumba 10 unaweza kuumudu.Hapa hatuna rais.madhara ya kurithisha wacheza mdundiko ndiyo haya Sasa.
Ila samia anachekesha, Kwa hiyo amemteua mwizi akazibe milango ya wizi?Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amemuondoa aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Alphayo Kidata kwenye nafasi yake kwakuwa aliona atadata kwa jinsi anavyoandamwa lakini amekiri kuwa TRA chini ya Kidata imefanya vizuri na kuongeza mapato hadi kufikia Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30 katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24 ambalo ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23.
Akiongea leo July 05,2024, Ikulu ya Tunguu, Zanzibar wakati akiwaapisha Viongozi Wateule, Rais Samia amesema “Yusuph Mwenda kwanza hongera kwa kazi nzuri uliyofanya Zanzibar, tunakupeleka TRA (kuwa Kamishna mpya), TRA chini ya Kidata imefanya vizuri sana, mapato yamekua sana, sitegemei kama utashuka, kwanini nimemuondoa Kidata?, Kidata nimemuondoa niliona mwisho atadata, kazi kafanya nzuri sana lakini niliona atadata jinsi anavyoandamwa , sasa nakupeleka wewe Kijana wa Dar es salaam
Mtoto wa Mjini, uhuni wote ulioko TRA kule umefanywa na wewe ukiwa mulemule pengine uli-participate”
“Mipango yote mule ya kupenya, ya kufanyaje na Bandari mnatoa wapi mnapenyeza wapi unaijua Yusuph nenda kaizibe, nenda kaizibe, tunachohitaji ni mapato, tunachohitaji ni kupungua kukopa, tunakopa tunajichetua kila anayekuja akija European Bank yes yes, akija huyu Yes, World Bank wanatunyanyasa tumo tu, nini?, tuna miradi ya maendeleo inataka pesa, pesa hatuna tunakopa, tunakopa tunanyanyasika, je tukiwaomba itakuwaje?, kwahiyo twende tukanyanyue za kwetu”
“Serikali imefanya yote, tumeweka mazingira mazuri ya kufanya biashara, mazingira mazuri ya kufanya uwekezaji, Wawekezaji wanakuja, biashara zinafanyika kodi hazilipwi, Kariakoo pale tatizo ni kulipa kodi ukienda leo wanakuambia hiki kesho wanakuambia hiki, Kariakoo pekee yake kuna mapato kama yatakusanywa vizuri kwa mwaka yanaendesha Wizara tatu lakini hamkusanyi kuingia Serikalini, inawezekana mnakusanya kuingia mfukoni lakini hamkusanyi kuingiza Serikalini nenda kazibe hilo”
“Mwenda unaijua vizuri TRA ulikuwa sijui Mkurugenzi wa kodi zipi lakini ulikuwa unajua mnaibia vipi na wenzio kwahiyo yale mliokuwa mkiiba vichochoro vile nenda kazibe tunahitaji fedha, nimekuamini na najua utakwenda kufanya kazi”
#MillardAyoUPDATES
NB: Kiukweli 2025 tugangamale vingine tutakuja kuwa Zimbambwe iliyochangamka.
Mkubwa hakosei
Hii ni mchawi mpe mtoto.......Mmh kwahiyo Mwenda ni mwizi? Sasa wizi si tabia, ataacha kweli