Rais Samia, nimeukubali msimamo wako. Hongera sana

Rais Samia, nimeukubali msimamo wako. Hongera sana

Maneno Meier

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2013
Posts
2,467
Reaction score
1,697


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


1641065451547.png

Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


1641062679670.png

Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


1641062751037.png

Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.
 


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


View attachment 2065508
Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


View attachment 2065477
Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


View attachment 2065479
Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.

Muwe mnakojoa kabla ya kulala?mkikulupuka usingizini lissu lissu!!
 
Mwendazake ameacha legacy mbaya sana ya viongozi waliopo madarakani pamoja na wapambe wao wa chama kongwe kukumbwa na hofu isiyo kifani kiasi ya kuwa wakisikia mawazo mbadala ya kusaidia nchi wanaingiwa na hofu kuu iliyoambatana kulaani bila sababu ya msingi sauti zenye jumbe kama za Tundu Lissu.
 


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


View attachment 2065508
Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


View attachment 2065477
Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


View attachment 2065479
Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.

Umeandika vizuri ila ni upumbavu kwa dunia ya sasa kupuuza haki za watu. Hutafika kokote hata yule wa kukushauri hatafanya kazi na wewe.
 
Spika wa Bunge Mh. Ndugai kuku-attack wewe na serikali unayoiongoza wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni potufu na ya kimasikini kwa njaa na stress za maisha kutaka kujipendekeza kwako.
Duh...!. Mkuu Maneno Meier , kumbe Bunge ndio linapitisha mikopo ya deni la taifa?!.

Umeleta hoja nzuri, muhimu na mujarab ya Helium, lakini ukaichafua hoja yako kwa kuichanganya na yale makorokocho ya Lissu, na ulipo ingiza na hoja ya deni la taifa ndio ukaharibu kabisa!.
Tangu lini deni la taifa linapitishwa na Bunge?. Mtu imeleta hoja nzuri na muhimu kama hii ya Helium with facts, figures and prospects kitendo cha kuingiza makorokocho, na kuzungumzia deni la taifa kwa kuonyesha ukilaza, kumepelekea ku I contaminate and washdown and undermine your intellect kwenye Helium kuonekana ume cut tuu mahali na ku paste, kwasababu haiwezekani mtu mwenye data na facts za jambo kubwa na muhimu kama hili la Helium linalohitaji akili kubwa kuwa tukichimba tuu Helium, Tanzania hatutahitaji kukopa, halafu hapo hapo ukaonyesha ukilaza kwa hoja ya deni la taifa kuidhinishwa na Bunge!, unakuwa hijaitendea haki hoja muhimu ya Helium.

Ushauri:
Ukiwa na hoja muhimu kama hii, iache hoja isimame yenyewe, usichangaye na makorokocho mengine, na kwa vile Watanzania wengi wanapenda zaidi makorokocho kuliko hoja za msingi, angalia michango ya bandiko hili kati ya watakao changia hoja muhimu ya msingi ya Helium na hayo makorokocho uliyoyaungenishia!.
Heri ya mwaka mpya.
P
 


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


View attachment 2065508
Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


View attachment 2065477
Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


View attachment 2065479
Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.

Wewe umelipwa ngapi, kianika uharo huo. Kapimwe akili pAle Mirembe hospitali
 


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


View attachment 2065508
Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


View attachment 2065477
Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


View attachment 2065479
Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.


Siku hizi ili ionekane una mawazo mazuri, kwanza unapaswa uwaponde wapinzani, kisha unaanza kumwaga sifa zako! Unamwambia mama kuwa Lisu anadanganywa na wazungu, kisha unaweka picha za wazungu wakifanya utafiti.
 
Duh...!. Mkuu Maneno Meier , kumbe Bunge ndio linapitisha mikopo ya deni la taifa?!.

Umeleta hoja nzuri, muhimu na mujarab ya Helium, lakini ukaichafua hoja yako kwa kuichanganya na yale makorokocho ya Lissu, na ulipo ingiza na hoja ya deni la taifa ndio ukaharibu kabisa!.
Tangu lini deni la taifa linapitishwa na Bunge?. Mtu imeleta hoja nzuri na muhimu kama hii ya Helium with facts, figures and prospects kitendo cha kuingiza makorokocho, na kuzungumzia deni la taifa kwa kuonyesha ukilaza, kumepelekea ku I contaminate and washdown and undermine your intellect kwenye Helium kuonekana ume cut tuu mahali na ku paste, kwasababu haiwezekani mtu mwenye data na facts za jambo kubwa na muhimu kama hili la Helium linalohitaji akili kubwa kuwa tukichimba tuu Helium, Tanzania hatutahitaji kukopa, halafu hapo hapo ukaonyesha ukilaza kwa hoja ya deni la taifa kuidhinishwa na Bunge!, unakuwa hijaitendea haki hoja muhimu ya Helium.

Ushauri:
Ukiwa na hoja muhimu kama hii, iache hoja isimame yenyewe, usichangaye na makorokocho mengine, na kwa vile Watanzania wengi wanapenda zaidi makorokocho kuliko hoja za msingi, angalia michango ya bandiko hili kati ya watakao changia hoja muhimu ya msingi ya Helium na hayo makorokocho uliyoyaungenishia!.
Heri ya mwaka mpya.
P

Ukimfuatilia vizuri huyu jamaa, ni kama mtu aliyechanganyikiwa. Namfananisha na wale watu waliosoma kisha wakaanza kuwa ombaomba, lakini ukikutana naye ana mawazo mazuri. Sasa usishangae kumkuta amevaa suti na Malapa ya kuogea na kutembea na mavitabu makubwa yenye mitazamo ya kijamaa.
 


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


View attachment 2065508
Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


View attachment 2065477
Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


View attachment 2065479
Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.
Maneno mengi, upuuzi mwingi, uelewa mdogo.

Inaonekana unachojua zaidi kusoma na kuandika, lakini uelewa wa mambo mengi, ni zero. Eti wachina wamewapiga wazungu na Waamerika, wakati viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kutafuta wawekezaji.

1. Yaani mpaka leo hujui kuwa China ndiyo inayoongoza kupata wawekezaji wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America.

2) Mpaka leo hujui kuwa bidhaa zote zinazokidhi ubora wa viwango vya Ulaya na America toka China ni zile tu zinazotengenezwa na makampuni ya Wazungu yaliyopo China na siyo makampuni ya wachina, na kwamba makampuni ya wachina ndiyo jayo yanayotengeneza bidhaa duni zinazokuja Afrika. Soko pekee la bidhaa duni za China ni Afrika.

3) Hujui kuwa japo Chija inaoiga hatua, mpaka leo ipo kwenye kundi la nchi zinazoendelea, Dunia ya pili, kutokana na kundinkubwa la watu wake kuwa maskini, na maisha duni.
 
Sycophancy on duty.

Umtetee Ndugai umlaumu Lissu hakuna mtanzania atakusikiliza. Ukitaka kuendelea kubali mawazo mbadala! Mmewanyima watu uhuru wa kufanya siasa karne 21 njia ziko nyingi za kufikisha ujumbe.
Huyu akili iliyobakia ni ya kuandika tu, sidhani kama anaelewa chochote.
 
Mwendazake ameacha legacy mbaya sana ya viongozi waliopo madarakani pamoja na wapambe wao wa chama kongwe kukumbwa na hofu isiyo kifani kiasi ya kuwa wakisikia mawazo mbadala ya kusaidia nchi wanaingiwa na hofu kuu iliyoambatana kulaani bila sababu ya msingi sauti zenye jumbe kama za Tundu Lissu.

Wanasiasa wa Tanzania hawana mawazo mbadala, wengi wao shida yao ni kukosoa wapate popularity ili dola ichukiwe na wao wapate urahisi wa kushika dola.... sikawahi kuona mawazo mbadala ambayo yako supported na data zaidi ya kelele za oyaoya za kuleta taharuki...
 


Asante sana Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wetu mpendwa, kwa msimamo wako thabiti ulio tuonyesha tarehe 28 mwezi Desemba mwaka 2021 huko IKULU Magogoni wakati wa kushuhudia kutia saini mkataba wa kuendeleza SGR yetu kipande cha tatu kati ya Makutupora Singinda na Tabora.

Kusema kweli, hotuba yako uliyo itoa siku ile ya kutia saini imewafanya watanzania wengi wawe na matumani makubwa sana na wewe. Ilikuwa hotuba nzuri sana na iliyo jaa faraja, furaha na msisimko mkubwa kwetu. Watanzania tumefurahishwa sana na hotuba ile. Kwa dhamira ulizo zitoa na ahadi uliyo wapa watanzania kwenye hotuba yako, naona imani na matumaini makubwa yamerejea tena kwa watanzania. Watanzania wanakuona sasa uko nao pamoja. Hivyo ndivyo tunavyo taka viongozi wetu wawe.

Watanzania wanataka kuona viongozi wenye msimamo kama wako, japo kuwa kuna baadhi ya watu kama akina Tundu Lissu ambao siku kama ya juzi tarehe 31.12.2021 anatoa hotuba yake ya kufunga mwaka kwa madhumuni ya kukuvunja moyo wewe na watanzania kwa ujumla. Ni absurd!
Huyu jamaa mimi namwona bado hajitambui na inaelekea aidha amepitwa na wakati au ni limbukeni wa wazungu. Ina maana yeye hivi vita vya maendeleo ya uchumi ambavyo vinatokea kwenye karne yetu hii ya 21 duniani, havioni wala kusikia? Demokrasia na haki gani za binabadam anazo zipigania yeye wakati ulimwengu mzima umejawa na predators?

Inasikitisha sana na ni haibu kubwa kuona mtanzania aliyebobea kisheria na kuiva kisiasa na kiitikadi kama yeye kuweza kuwa zuzu na kukubali kutumiwa na wazungu. Nani anafanya vitu kama hivyo ulimwengu huu wa leo? Jamaa nahisi kakamatwa pabaya sana na wazungu wake mpaka nina mwonea huruma. Ni kweli kwamba huyu mtu ana akili timamu? Maana naona matendo anayo yafanya ni kama ya mtoto wa darasa la tatu vile!



Wito wangu kwako Mama yetu, ningekuomba kwa heshima kubwa hawa watu kuwapuuzia na wala usihangaike kuwasikiliza. Achana nao kabisa kabisa. Na wala usitishike na vitendo vya mabwana zao EU, England na Amerika. Wana nini cha ku-offer? Hawana kitu. Hizi nchi nikuambie Rais wangu haziwezi kufanya chochote. Wachina wamekwisha wamaliza kiuchumi kwa ujinga wao. Hivi sasa wana haha tu na kujaribu kuyatisha mataifa mengine kivita na hasa China. Wathubutu basi kuanzisha vita dhidi ya mchina, nafikiri huo ndiyo utakuwa mwisho wa existence yao. Wanashindwa na nchi masikini kama Afghanistan na Iran sembuse China? Wafie mbali huko!

Nikirudi kwenye mada yangu, kitu ambacho ningependa kukiongeza ni kwamba, pamoja na mipango yote hii ambayo serikali yako imekususdia kuikamilisha, nakuomba chonde chonde Mama yangu jaribu sana kutilia mkazo kwenye madini yetu ya Helium. Mama kama utakuwa hujui au pengine washauri wako hawaja kushauri vizuri, basi ningekuomba fanya haraka sana upate taarifa muhimu juu ya madini haya ya Helium.

Hivi sasa ulimwengu una uhaba mkubwa sana wa haya madini ya Helium. Wataalam na makampuni yanayo tegemea madini ya Helium katika kufanya utafiti na alikadhalika uzalishaji wa mitambo inayo tumia Helium gas , kama MRT/MRI wanaumiza vichwa hivi sasa jinsi ya kupata solution juu ya upatikanaji wa hii inert gas Helium. Tanzania kwa hivi sasa imekuwa ni tegemeo kubwa sana la hii gas duniani, kwani wataalam wanasema deposit ya hii gas iliyogunduliwa nchini ni Cubic meter za ujazo trilioni 1.5, ambayo ni sawa na mara saba ya mahitaji ya dunia kwa mwaka. Mahitaji ya dunia kwa mwaka ni Cubic meter za ujazo trilioni 0.22. Ujazo huu, kwa maana nyingine, ni kwamba unaweza kutumika kwenye idadi ya utegenezaji wa mitambo ya MRT/MRI milioni 1.2. Katika Research na utengenezaji wa hii mitambo Helium gas is inevitable!
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kitu kingine ambacho kimetokea katika ugunduzi huu ni kwamba ni kwa mara ya kwanza Helium gas na Nitrogen zimeonekana zikitoka moja kwa moja zenyewe juu kutoka kwenye miamba ya Rift Valley. Na vile vile ni kwamba Helium gas inayotoka ni asilimia kumi ya ujazo wa gases zote zinazo toka chini, hii ni asilimia kubwa sana, na ni kitu ambacho mpaka sasa katika uvunaji wa Helium gas haijawahi kutokea.


View attachment 2065508
Hii ni picha ya baadhi ya mitambo iitwayo MRT / MRI (Magnetic Resonance Tomography)


View attachment 2065477
Hii picha inaonyesha view ya eneo la Rift Valley nchini Tanzania ambako wataalam Kutoka University of Oxford na Kampuni ya Helium One ya Uingereza wamegundua hiyo Helium Gas.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de


View attachment 2065479
Hii ni picha ya Mr. Tom Abraham-James kutoka Kampuni ya Helium One ya Uingereza akichukua sample ya Heliumgas kutoka kweye dimbwi ambalo Helium gas inatoka yenyewe kutoka chini ya ardhi karibu na ziwa Eyasi nchiniTanzania.
Source: Rettender Fund wendet Heliumkrise ab - Forscher entdecken gigantisches Helium-Reservoir in Tansania - scinexx.de

Kwa hali hii nashangaa sana Rais wetu Mama Samia unavyo weza lala vizuri usingizi na kukwaruzana na watendaji wako na vile vile hata kujiingiza kwenye maneno kuhusu mikopo au deni letu la Taifa na Spika wa Bunge Mh. Ndugai, badala ya kufuatilia uvunaji wa hii Helium gas yetu iliyo gunduliwa nchini na ambayo kwa sasa ni tegemeo kubwa la Dunia.

Spika wa Bunge Mh. Ndugai hakuwa na nia yoyote ile ya kuku-attack wewe wala serikali unayoiongoza. Itakuwaje aku-attack wewe wakati yeye mwenyewe hiyo mikopo ndiyo aliipitisha Bungeni? It makes no sense! Hiyo ni perception potufu na ya kimasikini tuliyo nayo sisi watanzania kwa njaa na stress zetu za maisha. Na wengine kutaka kujipendekeza kwako. Lengo la Spika mbona liko wazi kwa mtu anaye taka kumwelewa? Yeye na lengo la kuelezea maswala ya tozo na katika jitihada hizo akajikuta anagusia mambo ya mikopo kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa sheria ya tozo ambayo Bunge limeipitisha na ambacho, kwa mtazamo wangu, sio kitu kibaya kukizungumzia. Kwani ni siri?

Ni kweli kama nchi itakuwa na deni kubwa la Taifa na kushindwa kulipa, kama majirani zetu wakenya na Zambia ambao wanaweza lazimika ku-default, eh sio kitu cha busara. Kwa rasilimali tulizo nazo kwa kweli hata mimi nashangaa sana kwanini tuendelee kukopa?
Mh. Spika wa Bunge huko nyuma amejaribu sana kuwakumbusha mawaziri kweye sekta nyeti kama za madini na nishati kutumia uwezo wao na madaraka waliyopewa na umma kuchakata madini yetu hasa ya chuma ili yaweze ku-boost uchumi wetu na kuleta ajira kwa vijana wetu. Nina mwelewa vizuri sana anavyosikia uchungu tukiendelea kukopa badala ya kutumia rasilimali zetu.

Mama Samia kulingana na taarifa hii nzuri ya Helium gas ebu jaribu kukaa na watendaji wako ili mjue jinsi gani nchi yetu tunaweza nufaika nayo. Vihimize vyombo vinavyo husika kufanya feasibility study ya haraka haraka tujue faida na hasara tunazo weza pata. Kama faida ni TSH trilioni 10 na uwekezaji ni TSH trilioni tatu, kwa mfano, kwanini sasa tusite kukopa na kuwekeza kwenye uvunaji wa hiyo gas? Kopa tu Mama na tuwekeze haraka ili tuipate hiyo faida ya TSH trilioni saba na kusonga mbele. Usichelewe sana Mama!
Watakao kuchelewesha Mama, naomba usiwe na huruma nao hata kidogo, fukuza tu mama na waweke wengine. Tuna vijana wengi wasomi ambao wana ghadhabu na maendeleo ya nchi yetu.

Naomba kuwasilisha.

Umewezaje kuandika upumbafu mrefu hivi!! Hoja huna ulichoandika kimejawa unafiki,uzandiki,ujinga na ushamba alafu kunadalili umesomasoma sasa ulisomea bachela za upuuzi na uzwazwa?
1. Spika anampinga raisna anataka asimalize miradi,tozo gani na kwamuda gani zitajenga mareli,mamidaraja,manyerere dam etc
Kutetea uovu no ushetani
2. Lissu ameleta hoja gani kuhusu wazungu? Wewe helium iyopicha no mmasai? Lissu kapigania mangapi tunayoona Leo kuanzia sheria mbovu,mikataba yahovyo,kukopa hovyo,ufisadi,haki za watu wachini,binge lenyemeno,uwajibikaji nk.
Kupinga mema ni ushetani
3. Madini yoote tulonayo hayatufaidi vyema we we unakimbilia mengine yaweexploited kabla haya tuliyonayo hatujajipanga?? Gesi tunayo tumefaidije? Mererani pakoje,geita,kahama,chunya koote kumeendelea?
Ujinga no ushetwani
Mengine uloandika sijasoma nimeruka maana nitachafua akili yangu kwa kusoma upuuzi mwingi uloandika.
Sijui unawezaje kuwa na ujinga mwingi hivi na unavuka barabara!! Ulitakiwa uwe umefungiwa pale mirembe chumbachako mwenyewe ukila dawa kali.
 
Duh...!. Mkuu Maneno Meier , kumbe Bunge ndio linapitisha mikopo ya deni la taifa?!.

Umeleta hoja nzuri, muhimu na mujarab ya Helium, lakini ukaichafua hoja yako kwa kuichanganya na yale makorokocho ya Lissu, na ulipo ingiza na hoja ya deni la taifa ndio ukaharibu kabisa!.
Tangu lini deni la taifa linapitishwa na Bunge?. Mtu imeleta hoja nzuri na muhimu kama hii ya Helium with facts, figures and prospects kitendo cha kuingiza makorokocho, na kuzungumzia deni la taifa kwa kuonyesha ukilaza, kumepelekea ku I contaminate and washdown and undermine your intellect kwenye Helium kuonekana ume cut tuu mahali na ku paste, kwasababu haiwezekani mtu mwenye data na facts za jambo kubwa na muhimu kama hili la Helium linalohitaji akili kubwa kuwa tukichimba tuu Helium, Tanzania hatutahitaji kukopa, halafu hapo hapo ukaonyesha ukilaza kwa hoja ya deni la taifa kuidhinishwa na Bunge!, unakuwa hijaitendea haki hoja muhimu ya Helium.

Ushauri:
Ukiwa na hoja muhimu kama hii, iache hoja isimame yenyewe, usichangaye na makorokocho mengine, na kwa vile Watanzania wengi wanapenda zaidi makorokocho kuliko hoja za msingi, angalia michango ya bandiko hili kati ya watakao changia hoja muhimu ya msingi ya Helium na hayo makorokocho uliyoyaungenishia!.
Heri ya mwaka mpya.
P
Nasikia umewahi kuaga humu kwamba unaachana na siasa za mitandaoni ?
 
Nasikia umewahi kuaga humu kwamba unaachana na siasa za mitandaoni ?
Its true, sio tuu niliaga humu jf, bali niliaga hadi kwenye media.

P
 
Umeandika vizuri ila ni upumbavu kwa dunia ya sasa kupuuza haki za watu. Hutafika kokote hata yule wa kukushauri hatafanya kazi na wewe.
Mpumbavu utakuwa wewe na akili ya kudhani kuwa haki za binadamu matajiri wanao kudananya wanazijali, wakati nchi inayo tumia Media zake kueneza huo uongo kwenu ndiyo nchi ya kwanza kutumia vyombo vyake vya Dola kuwaua viumbe vya aina yako (Nigger) hadharani na bila remorse yeyote. #George Floyd na Black Lives Matter!





Nasikitika pia maswala ya Edward Snowden na Julian Assange kusakwa kama kuku utakuwa umeyafumbia macho bila kusahau uongo kuhusu Weapons of Mass destruction wa Sadam Hussein wa Iraq, Muammar al-Gaddafi, Afghanistan, Iran na sasa wachina wanasakwa.

Amka kutoka kwenye usingizi wa Manipulation na achana kupigana vita ya ukombozi wa kisiasa kwa dhana za kale.
 
Back
Top Bottom