Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

37f81b28-be98-4f82-93f1-1e8478b15e04.jpeg

860ad46d-6a8f-4297-a545-e3a1d3d417db.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
28578756-d965-4678-a310-fa7c4e7dd439.jpeg

b75702b0-3929-4639-a383-0424917c85fe.jpeg

357ee021-34ec-468d-8a21-56611b267fd5.jpeg

ccd9cc98-af4d-4461-80d5-4c0b6fa70a40.jpeg

Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

94569a48-78af-4abe-b5f8-06dab043707c.jpeg

0e431ea3-57d0-42bc-8477-5ad1b8e09c05.jpeg

0216312b-60e3-4b23-8313-00be440ed053.jpeg


Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.

Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”
 
Msikilize Rais Samia akisimulia namna alivyogundua mipango ya kihalifu iliyokuwa ikipangwa na baadhi ya vyama vya siasa dhidi ya serikali, huku akitoa onyo kwa wale wote wanaojiandaa kufanya uhalifu huo.

Rais Samia amesema nilikuwa nasikiliza kwa makini maelezo yalitolewa na Katibu Mkuu wa CCM nimerushiwa na nimeisikiliza vizuri sana clip ya Mh Slaa wa CHADEMA na clip ya yule ndugu Joseph Yona wa Chalinze wote wakitoa taswira ya mipango ya uvunjivu wa amani inayopangwa na baadhi ya vyama vya siasa.

Soma Pia: Rais Samia Kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yet

 
Wakati vuguvugu la maandamano ya kudai uchunguzi wa alyekuwa kada wa CHADEMA, Ali Kibao yakiendelea, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amejibu kampeni iliyoanzishwa ya kumshawishi kuondoka madarakani iliyopewa jina la Samia Must Go.

Akiwa anahutubia leo kwenye madhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi, Samia ameonya kuhusu kampeni hiyo kwa kusema kuwa, serikali ya Tanzania haiondoshwi kwa kutumia mbinu hiyo.

Soma Pia:

- Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'


Source: Mwananchi
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098792
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098810

View attachment 3098811
View attachment 3098812

Sasa na wao wanaiga maonyesho ya makomandoo wakati Amza aliwatoa jasho mpaka walinyea suruali zao
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
Mahaba niue
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
Wame-beep sasa wanakwenda kupigiwa wawe tayari kupokea simu.
 
Back
Top Bottom