KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
hiyo inatwa "here here"..😂Where did you learn this Standard Three kind of English?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo inatwa "here here"..😂Where did you learn this Standard Three kind of English?
Hata nikifa, angalau nimekufa nishamwambia folder lake liko tupu 🤣Oya huogopi Mkuu Kumuita hivyo Mshauri wa Aliyetoa Boko CCP Moshi jana?
Kwa Ras Simba Mwenge Mapambano hii au?hiyo inatwa "here here"..😂
Your folder is EMPTYSasa ujaze takataka za Chadema za nini?
hapo sijasoma nimezaliwanacho...Kwa Ras Simba Mwenge Mapambano hii au?
Yaani mimi ni sasha....Huyu sasha ni Poor Brain
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.
View attachment 3098792Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.
View attachment 3098810
View attachment 3098811
View attachment 3098812
View attachment 3098834
Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”
Come on, a single isolated incident!Mahakama zilizompa ushindi Mwabukusi!
Weka hapa huo ushahidi wa kikao cha Arusha.. CHADEMA sio ndezi kiasi hicho weweMmeshapata ujumbe kuwa mnadukuliwa na ndio maana kikao cha huko Arusha zilivuja.
Simu za rununu zinadukuliwa kirahisi na mbaya zaidi zinaonyesha coordinates za mahala mtumiaji alipo.
Pagers hazinaapungufu hayo. Kwa mantiki hiyo hamtaweza kudukuliwa.
Acha uongo aliamua nanikwenye Biblia kuna mwamuzi wa kike aliyeitwa Debora. Anatajwa katika kitabu cha Waamuzi, sura ya 4 na 5. Debora alikuwa siyo tu mwamuzi bali pia nabii. Aliwaongoza Waisraeli na kuchukua nafasi muhimu katika kuwasaidia kushinda jeshi la Wakanaani lililoongozwa na Sisera. Alifanya kazi kwa ushirikiano na Baraka, kiongozi wa kijeshi, lakini ilikuwa ni hekima na uongozi wa Debora uliowasaidia Waisraeli kupata ushindi. Debora ni kielelezo cha uongozi wa kike katika Biblia.
Utakereka mno, sio jukumu langu kukufurahisha duniani.Wee nshomile na umarekani wako wa ngara vijijini unakera sasa!
Shomire wanakuwaga na sifaWee nshomile na umarekani wako wa ngara vijijini unakera sasa!