ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Au siyo? Ongeza FarajaKama Mtu anazungumza na Sisi Wanadamu wenzake ghafla anasema Samaki aliowazoea Kwao huoni kuwa Kadata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au siyo? Ongeza FarajaKama Mtu anazungumza na Sisi Wanadamu wenzake ghafla anasema Samaki aliowazoea Kwao huoni kuwa Kadata?
Kama jana Mtu alikuwa anazungumza na Wanadamu wenzake ghafla akawaona ni Samaki wa Kwao hiyo siyo Kurjuani (Albadiri) ya Wazee wa Mkoani Tanga ambayo huenda taratibu sana ikawa imeshaanza Kumuingia? Mwambieni na hapo bado.....!!mh! hivyo vitu havijawahi kufanya kazi ndugu!
Kwakuwa Wewe ni Mshauri wake Mkuu unaweza kutuambia ilikuwaje Jana akataja Samaki wakati aliokuwa nao Wote pale ni Wanadamu wenzake?Au siyo? Ongeza Faraja
Nina uhakika Madini haya makubwa Washauri wake Wakuu Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mwenzake ChoiceVariable hawawezi Kamwe kukuelewa Mkuu.Mtu unafokea wanaokusaidia matrilioni na kukukopesha matrilioni 🤣
Unawafokea waliokuzidi kila kitu, kijeshi, kiuchumi, kiteknolojia 🤣
Ndio ndoto za sisimizi kuangusha kabati
Albadir at work
🤣Nina uhakika Madini haya makubwa Washauri wake Wakuu Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mwenzake ChoiceVariable hawawezi Kamwe kukuelewa Mkuu.
Acha kujaza shudu jfKama Mtu anazungumza na Sisi Wanadamu wenzake ghafla anasema Samaki aliowazoea Kwao huoni kuwa Kadata?
Halafu niliwaza kama wewe. Kule kuweweseka sio kwa kawaida.Kama Mtu anazungumza na Sisi Wanadamu wenzake ghafla anasema Samaki aliowazoea Kwao huoni kuwa Kadata?
Kisha Kuukweka / Kunya mubashara Ukumbini / Majukwaani.Halafu niliwaza kama wewe. Kule kuweweseka sio kwa kawaida.
Majibu yameanza kupatikana. Sisi wa nje tumeona machache lakini nina hakika wa ndani na karibu wanashuhudia mengi zadi.
Dalili za athari huwa zinaanza taratibu, kwanza ghadhabu (tushaiona), uoga (tumeuona) kuweweseka (tayari) kilichobaki ni kupiga mikelele na kurarua nguo.
go and tell her but she'll never get those things you're expecting!.. definitely she'll continue to top up her pouch with different currencies!..Kama jana Mtu alikuwa anazungumza na Wanadamu wenzake ghafla akawaona ni Samaki wa Kwao hiyo siyo Kurjuani (Albadiri) ya Wazee wa Mkoani Tanga ambayo huenda taratibu sana ikawa imeshaanza Kumuingia? Mwambieni na hapo bado.....!!
Hakuna Msaada wanatupa Bali wanafanya biashara ya mikopo.Kama hawataki waache tuone kama kampuni zao tutazipa leseni za Madini.Mtu unafokea wanaokusaidia matrilioni na kukukopesha matrilioni 🤣
Unawafokea waliokuzidi kila kitu, kijeshi, kiuchumi, kiteknolojia 🤣
Ndio ndoto za sisimizi kuangusha kabati
Albadir at work
Where did you learn this Standard Three kind of English?go and tell her but she'll never get those things you're expecting!.. definitely she'll continue to top up her pouch with different currencies!..
Umeota mkia na sharubu si ndio?Kwakuwa Wewe ni Mshauri wake Mkuu unaweza kutuambia ilikuwaje Jana akataja Samaki wakati aliokuwa nao Wote pale ni Wanadamu wenzake?
Kudadadeki.....!!
Naona kwa sasa ID ya Side a.k.a Lucas Mwashambwa imepumzishwa na hii yako ya Said ndiyo inachanja tu Mbuga.Hakuna Msaada wanatupa Bali wanafanya biashara ya mikopo.Kama hawataki waache tuone kama kampuni zao tutazipa leseni za Madini.
Mwisho hakuna Nchi inaweza ingilia mambo ya ndani ya Nchi zingine ni sheria za Kimataifa so Rais anatetea Sovereignty ya Nchi unless wewe huna akili au hujui unachoongea.
This folder is EMPTYHakuna Msaada wanatupa Bali wanafanya biashara ya mikopo.Kama hawataki waache tuone kama kampuni zao tutazipa leseni za Madini.
Mwisho hakuna Nchi inaweza ingilia mambo ya ndani ya Nchi zingine ni sheria za Kimataifa so Rais anatetea Sovereignty ya Nchi unless wewe huna akili au hujui unachoongea.
Mnanikalia lini Vikao vya kuni Mzee Kibao pia?Umeota mkia na sharubu si ndio?
Sasa ujaze takataka za Chadema za nini?This folder is EMPTY
Oya huogopi Mkuu Kumuita hivyo Mshauri wa Aliyetoa Boko CCP Moshi jana?This folder is EMPTY