Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

mh! hivyo vitu havijawahi kufanya kazi ndugu!
Kama jana Mtu alikuwa anazungumza na Wanadamu wenzake ghafla akawaona ni Samaki wa Kwao hiyo siyo Kurjuani (Albadiri) ya Wazee wa Mkoani Tanga ambayo huenda taratibu sana ikawa imeshaanza Kumuingia? Mwambieni na hapo bado.....!!
 
Mtu unafokea wanaokusaidia matrilioni na kukukopesha matrilioni 🤣

Unawafokea waliokuzidi kila kitu, kijeshi, kiuchumi, kiteknolojia 🤣


Ndio ndoto za sisimizi kuangusha kabati



Albadir at work
Nina uhakika Madini haya makubwa Washauri wake Wakuu Mwanafunzi wangu Lucas Mwashambwa na Mwenzake ChoiceVariable hawawezi Kamwe kukuelewa Mkuu.
 
Kama Mtu anazungumza na Sisi Wanadamu wenzake ghafla anasema Samaki aliowazoea Kwao huoni kuwa Kadata?
Halafu niliwaza kama wewe. Kule kuweweseka sio kwa kawaida.

Majibu yameanza kupatikana. Sisi wa nje tumeona machache lakini nina hakika wa ndani na karibu wanashuhudia mengi zadi.

Dalili za athari huwa zinaanza taratibu, kwanza ghadhabu (tushaiona), uoga (tumeuona) kuweweseka (tayari) kilichobaki ni kupiga mikelele na kurarua nguo.

1726663883408.png
 
Halafu niliwaza kama wewe. Kule kuweweseka sio kwa kawaida.

Majibu yameanza kupatikana. Sisi wa nje tumeona machache lakini nina hakika wa ndani na karibu wanashuhudia mengi zadi.

Dalili za athari huwa zinaanza taratibu, kwanza ghadhabu (tushaiona), uoga (tumeuona) kuweweseka (tayari) kilichobaki ni kupiga mikelele na kurarua nguo.
Kisha Kuukweka / Kunya mubashara Ukumbini / Majukwaani.
 
Kama jana Mtu alikuwa anazungumza na Wanadamu wenzake ghafla akawaona ni Samaki wa Kwao hiyo siyo Kurjuani (Albadiri) ya Wazee wa Mkoani Tanga ambayo huenda taratibu sana ikawa imeshaanza Kumuingia? Mwambieni na hapo bado.....!!
go and tell her but she'll never get those things you're expecting!.. definitely she'll continue to top up her pouch with different currencies!..
 
Mtu unafokea wanaokusaidia matrilioni na kukukopesha matrilioni 🤣

Unawafokea waliokuzidi kila kitu, kijeshi, kiuchumi, kiteknolojia 🤣


Ndio ndoto za sisimizi kuangusha kabati



Albadir at work
Hakuna Msaada wanatupa Bali wanafanya biashara ya mikopo.Kama hawataki waache tuone kama kampuni zao tutazipa leseni za Madini.

Mwisho hakuna Nchi inaweza ingilia mambo ya ndani ya Nchi zingine ni sheria za Kimataifa so Rais anatetea Sovereignty ya Nchi unless wewe huna akili au hujui unachoongea.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DADyan6tF0N/?igsh=dmhlYnV3YTllbGRk
 
Hakuna Msaada wanatupa Bali wanafanya biashara ya mikopo.Kama hawataki waache tuone kama kampuni zao tutazipa leseni za Madini.

Mwisho hakuna Nchi inaweza ingilia mambo ya ndani ya Nchi zingine ni sheria za Kimataifa so Rais anatetea Sovereignty ya Nchi unless wewe huna akili au hujui unachoongea.
Naona kwa sasa ID ya Side a.k.a Lucas Mwashambwa imepumzishwa na hii yako ya Said ndiyo inachanja tu Mbuga.
 
Hakuna Msaada wanatupa Bali wanafanya biashara ya mikopo.Kama hawataki waache tuone kama kampuni zao tutazipa leseni za Madini.

Mwisho hakuna Nchi inaweza ingilia mambo ya ndani ya Nchi zingine ni sheria za Kimataifa so Rais anatetea Sovereignty ya Nchi unless wewe huna akili au hujui unachoongea.
This folder is EMPTY
 
Back
Top Bottom