Rais Samia: Nitaendelea kuteua Majaji Wanawake maana ni wazuri zaidi na wanaogopa Dhambi

Rais Samia: Nitaendelea kuteua Majaji Wanawake maana ni wazuri zaidi na wanaogopa Dhambi

"Kila nikitengeneza jopo nitakuletea na wanawake ili nifikie 50/50 jambo ambalo hatukulizoea huko nyuma. Lakini sasa kwa sababu wapo na wana qualify, na nina hakika majaji wanawake ni wazuri zaidi, huwa wanaogopa dhambi zaidi...." Amesema Rais Samia.

Ooh kumbe mahakamani kuna dhambi sana!
 
Back
Top Bottom