Leo ikiwa ni kumbukizi ya Hayati Dkt. Joseph Pombe Magufuri, Rais Samia Suluhu amemtakia pumziko la amani na amesema anaendelea kuendeleza yale yote mazuri yaliyoachwa na uongozi wa Awamu ya tano.
Miaka 2 tangu magufuri aondoke na ikiwa ni miaka 2 tangu Rais Samia Suluhu ashike madaraka tumeona amekamilisha miradi mingi iliyoachwa na mtangulizi wake, lakini pia anaendeleza miradi mikubwa ya kimkakati kwa kasi ya ajabu ikiwemo Daraja la Kigongo-Busisi ambalo litaanza kutumika 2024, ujazaji maji wa katika Bwawa la Nyerere ambalo tunatarajia kuanza majaribio mwakani n.k.
Lakini pia kwa kipindi cha miaka 2 Rais Samia Suluhu amefanikiwa kutoa ajira na kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kujiajiri kupitia kilimo, elimu ya ufundi pamoja na mikopo inayotolewa kwa masharti nafuu.
Miaka 2 tangu magufuri aondoke na ikiwa ni miaka 2 tangu Rais Samia Suluhu ashike madaraka tumeona amekamilisha miradi mingi iliyoachwa na mtangulizi wake, lakini pia anaendeleza miradi mikubwa ya kimkakati kwa kasi ya ajabu ikiwemo Daraja la Kigongo-Busisi ambalo litaanza kutumika 2024, ujazaji maji wa katika Bwawa la Nyerere ambalo tunatarajia kuanza majaribio mwakani n.k.
Lakini pia kwa kipindi cha miaka 2 Rais Samia Suluhu amefanikiwa kutoa ajira na kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kujiajiri kupitia kilimo, elimu ya ufundi pamoja na mikopo inayotolewa kwa masharti nafuu.