Rais Samia: Polisi angalieni upya taratibu zenu za upelelezi, kuwaweka watu mahabusu muda mrefu ni gharama kwa Serikali

Rais Samia: Polisi angalieni upya taratibu zenu za upelelezi, kuwaweka watu mahabusu muda mrefu ni gharama kwa Serikali

Alipokuitana nao mara ya mwisho akawaambia ooh mnabamkikiza kesi na kesi zooote mlizobambika futeni, kesho yake tu Sirro akamjibu tunataka miaka miwili ndio tufute sasa leo ngonjera zinaendelea ooh sijui mahabusu sijui nini, we dont have a president hapa tumepigwa sana hapa, alitakiwa atoe maagizo na asimamie kama hayatekelezeki atumbue watu , sasa yeye anadhani wanampenda sana kwa kujichetua na kujichekesha, mwenzie jiwe alikua ikiwezekana anakuua kama hutaki maagizo yake ila bahati nzuri naye kafwa
Hakusema wanataka miaka miwili kesho yake usipotoshe, sirro alianza kuhutubia siku hiyo hiyo akasema wanahitaji miaka miwili, baadae Rais akahutubia na kusema wafute kesi ... USIPOTOSHE ndugu yangu ata kama una chuki
 
Hakusema wanataka miaka miwili kesho yake usipotoshe, sirro alianza kuhutubia siku hiyo hiyo akasema wanahitaji miaka miwili, baadae Rais akahutubia na kusema wafute kesi ... USIPOTOSHE ndugu yangu ata kama una chuki
Hiyo chuki umesema wewe hivi inachukua miaka miwili kufuta kesi ambayo hata wewe mwenyewe unajua ni Feki? na kwa taarifa yako maneno ya amiri jeshi mkuu hayajibiwi kwa maneno ni utekelezaji tu Period, Mbona mwendazake walikua hawamfanyii hivi? mission yenu imetimia ya kumfanya mama aonekane hafai
 
Hiyo chuki umesema wewe hivi inachukua miaka miwili kufuta kesi ambayo hata wewe mwenyewe unajua ni Feki? na kwa taarifa yako maneno ya amiri jeshi mkuu hayajibiwi kwa maneno ni utekelezaji tu Period, Mbona mwendazake walikua hawamfanyii hivi? mission yenu imetimia ya kumfanya mama aonekane hafai
Sirro alianza kuhutubia na kusema wanaomba miaka miwili na baadae samia akahutubia ndio akasema wafute hizo kesi za kubambikia
.
Wewe umesema sirro alimjibu kesho yake ndio maana nikasema unapotosha sirro hakujibu kesho yake alizungumza ata kabla rais hajazungumza siku hiyo ya uzinduzi wa kiwanda cha jeshi la polisi
 
Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.

Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.

Chanzo: TBC

=======

Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie

Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"

Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Amiri Jeshi Ameshaongea....WATEKELEZE!!

#NchiKwanza
#SiempreJMT
#KaziIendelee
 
Bunge liko wapi kubadilisha hizi sheria za kuwaweka watu ndani bila utaratibu wa ushahidi uliokamilika? ndio kazi yake hasa kurekebisha huu uonezi kwa kutunga sheria kumaliza huu uonezi kwa wananchi, Samia ataongea tuu lakini itabaki kuwa siasa tuu maana sheria bado inaruhusu kumweka mtu ndani bila kukamilika upelelezi, hapa bunge lifanye kazi yake sio kuonea wapinzani tuu na kuhangaika na kina Gwajima kwa vitu vya kipuuzi
 
Back
Top Bottom