LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ni HIVI wote tumesikia leo kuhusu takwimu za maambukizi mapya ya vvu nchini na kwamba asilimia kubwa ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 HADI 20.
Nini KIFANYIKE KUPUNGUZA kasi ya maambukizi?
Solution zinaweza kuwa nyingi lakini Kati ya hizo Nina amini zifuatazo zinaweza kusaidia KUPUNGUZA kasi ya maambukizi.
1. Punguza umri wa kufunga ndoa/umri wa kuruhusiwa kuingia katika mahusiano.
Wakati Sheikh Mohamed Yusuf anaanzisha vugu vugu la Boko Haram huko nchini Nigeria wengi hawakumuelewa.
Boko Haram ilianza kama kikundi cha Dah'wa maana yake ni :
Boko= western Education.
Haram = Illegal
Sheikh Mohd Yusuf aliamini kwamba Colonial Education ilikuwa introduced Afrika KWA sababu zifuatazo :
1. Ku control population ya mwafrika.( Mwanamke badala ya kuolewa akisha balehe kama nature unavyo dictate anaolewa akiwa na miaka 30 baada ya KUMALIZA chuo. Miaka 30 ni umri ambao mwanamke anatakiwa kuwa na at least watoto watatu HADI watano.
Sheikh Mohamed Yusuf alitaka waafrika turudi katika uasili wetu, turuhusu nature I dictate maisha yetu. Nature is nothing but the will of God. The will of God to humans has been stamped in the nature. God talks to humans through nature.
Binti anapo vunja ungo akiwa na miaka kumi na tatu tafsiri yake ni kwamba nature inasema kwamba binti huyu SASA yupo tayari KWA ajili ya kuolewa.
Elimu ya kikoloni ina pingana na nature katika hili inasema huyu ni mtoto ambae bado anatakiwa kuwa shule.
So badala ya kuolewa na kufanya kazi namba moja iliyo fanya mwanamke akawepo duniani binti huyu anatumia balekhe yake yote shuleni. Anamaliza chuo akiwa na miaka 24-30 anakuja kuolewa akiwa na.miaka 35 hapo tayari ameshatoa mimba tano uzazi wa tabu miaka arobaini no mtoto , unakutana nae KWA Mwamposa anapiga makofi " Anasumbukia maisha yangu × 2"
Anakuja kupata mtoto akiwa tayari amezeeka miaka 45+
2. Ku eneza zinaa.
Nature inasema binti akisha vunja ungo tu anatakiwa apate mume na kijana akisha balekhe tu anatakiwa apewe mke.
Binti anavunja ungo ana miaka 12/13/14/15 na kijana ana balekhe ana.miaka 15/16/17
KWA mujibu wa nature ambayo ndio the true will of God kijana wa umri huo ndio anatakiwa apewe mke mwenye umri huo tajwa hapo juu jambo ambalo litaondoa zinaa katika nchi
( Saudia wamefanikiwa sana katika hili. Age of consent in Saudia is 14 years old. Angola and the Philippines ni miaka 12 , Nigeria miaka 11)
Sasa basi kwa kuwa umri huo vijana wanakuwa bado wapo shule na nature is more powerful than blood wanakuwa hawana option zaidi ya kufanya zinaa. Vijana hawapewi elimu ya kujilinda na ukimwi KWA sababu jamii inawachukulia kwamba eti bado ni watoto wakati wao tayari washakuwa watu wazima. Mwisho wa siku ndio kama tulicho kisikia kwenye takwimu leo.
So nini KIFANYIKE. Umri wa ndoa ushushwe KWA watu wote ( najua sheria ya ndoa ya Tanzania ya mwaka 71 inasema KWA ndoa ya kiislamu binti anaweza kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 KWA ridhaa ya wazazi wake au 15 KWA ridhaa yake mwenyewe)
Naomba sheria hii iwe general kwa watu wote KWA sababu ndio sheria inayo endana na uhalisia wa nature.
NAMBA MBILI: MUZIKI WA AMAPIANO UPIGWE MARUFUKU.
Kama kuna mtu haijui nguvu ya muziki katika kushape na kudictate tabia na matendo ya watu katika jamii basi mtu huyo anahitaji maombi mazito sana.
Muziki una nguvu ya kushape na kudictate tabia na matendo ya watu hasa vijana ambao ndio consumer wakubwa wa muziki kwa kiasi kikubwa sana.
Kuna watu huhalalisha matendo fulani kwa sababu tu yameimbwa kwenye nyimbo.
Mtu anaweza kusema " Bana wewe mimi siwezi kuoa sass hivi wanawake wenyewe wa kuoa siku hizi hawapo.. Hata mwana Fa alishawahi kuimba*
Nakumbuka mwaka 2001 Msanii Zay B alitoa wimbo unaitwa Gasp Remix.( inspector haroun diss ) katika wimbo huo alishirikishwa Juma Nature.
Kwenye verse ya Juma Nature kuna mstari anasema " Jela kwetu sisi disko tunaruka tu masadari vibaka na watu wa shari"
Nilikuwa kidato cha tatu kipindi hicho. Kuna vijana walikuwa wanafanya uhalifu, wakiambiwa kuna Jela wanajibu " Jela kwetu sisi disko" hii inaonyesha jinsi GANI muziki ulivo na nguvu.
Muziki una nguvu sana katika kushape na kudictate matendo na tabia za vijana walio kwenye adolescent age.
Sisi vijana ambao tulikuwa kwenye adolescent age mwanzoni mwa miaka.ya 2000 tumefanikiwa kuvuka kipindi hicho salama KWA sababu muziki uli fanikiwa kushape na kudictate matendo yetu hasa katika suala zima la kujihusisha na ngono.
Huku unakutana na Kosa la marehemu ya uswahilini Matola.
Kule unakutana na "Sukari ina Pilipili" ya solo Thang.
Hujakaa SAWA unakutana na Usinitenge ya Profesa Jay.
Hapo bado sijaitaja Starehe ya Ferooz
Hata ukisikiliza nyimbo ambazo sio za ukimwi persee bado utakutana na mistari inayo kukumbusha kujiepusha na ukimwi.
Mfano ukimsikiliza Feruzi kwenye Jirushe unakutana na verse ya Jay Moo anakwambia " hapa hakuna demu wa kwenda nae nyama KWA nyama"
Kule unamsikia Artist mwingine anakwambia " unaringa umepima"
Huku unawasikia University Corner wanakwambia " Sipendi kuona mtu chini anavaa Kinga halafu juu kavukavu anakula denda, hivi hujistukii kuomba condom za ulimi hujui ukimwi jiweza kupenya hata kinywani"
Huku ukienda kwenye ngoma ya Babuu Kimbia unakutana na verse ya Mox anakwambia " Kimbia maana hata virusi wanaweza kukuletea"
Ukienda kwenye TV unakutana na.igizo la Kaole kulikuwa na mdada anaitwa Bupe , huyu Bupe aliigiza kama muathirika wa ukimwi. Alionyesha mateso ya mwathirika.
Siku ya alhamisi unamsikia mama terry na nasaha zake dhidi ya ukimwi.
Lakini leo hii vijana Tanzania imewatenga kwenye malezi kupitia muziki.
Muziki unao pewa nafasi ni amapiano/singeli au muziki ambao una promote mmomonyoko wa maadili.
Ukimwi hauzungumziwi kabisa ila yanakuwa promoted matendo ambayo huwaweka vijana kwenye hatari ya maambukizi ya ukimwi.
Mfano :
1.Demu wangu ana danga.
2. Na nyimbo nyingine kibao I don't even want to mention them hapa.
vijana wa sasa wanaona SAWA kufanya yale yanasoemwa kwenye hizo nyimbo ili waweze ku fit in na wenzao.
In process wanapata v.v.u
Mama Ongea na BASATA.
1. WAPIGE MARUFUKU AMAPIANO AU
2. WAWEKE SHERIA KALI ILI WIMBO UPIGWE IWE NI AMAPIANO /SINGELI AU HIPHOO NI LAZIMA UWE NA MAADILI MAZURI. UTOE UJUMBE MZURI KWA JAMII.
BORA TURUDI KAMA ENZI ZA RTD AMBAKO NYERERE ALIZISIKILIZA KWANZA NYIMBO KABLA YA KUPIGWA REDIONI.
SO TUKAWA NA NYIMBO KAMA " migogoro na migongano makazini ni ukosefu wa nidhamu"
" Naona bora niende zambia nikamtafute Monica "
Etc
Nini KIFANYIKE KUPUNGUZA kasi ya maambukizi?
Solution zinaweza kuwa nyingi lakini Kati ya hizo Nina amini zifuatazo zinaweza kusaidia KUPUNGUZA kasi ya maambukizi.
1. Punguza umri wa kufunga ndoa/umri wa kuruhusiwa kuingia katika mahusiano.
Wakati Sheikh Mohamed Yusuf anaanzisha vugu vugu la Boko Haram huko nchini Nigeria wengi hawakumuelewa.
Boko Haram ilianza kama kikundi cha Dah'wa maana yake ni :
Boko= western Education.
Haram = Illegal
Sheikh Mohd Yusuf aliamini kwamba Colonial Education ilikuwa introduced Afrika KWA sababu zifuatazo :
1. Ku control population ya mwafrika.( Mwanamke badala ya kuolewa akisha balehe kama nature unavyo dictate anaolewa akiwa na miaka 30 baada ya KUMALIZA chuo. Miaka 30 ni umri ambao mwanamke anatakiwa kuwa na at least watoto watatu HADI watano.
Sheikh Mohamed Yusuf alitaka waafrika turudi katika uasili wetu, turuhusu nature I dictate maisha yetu. Nature is nothing but the will of God. The will of God to humans has been stamped in the nature. God talks to humans through nature.
Binti anapo vunja ungo akiwa na miaka kumi na tatu tafsiri yake ni kwamba nature inasema kwamba binti huyu SASA yupo tayari KWA ajili ya kuolewa.
Elimu ya kikoloni ina pingana na nature katika hili inasema huyu ni mtoto ambae bado anatakiwa kuwa shule.
So badala ya kuolewa na kufanya kazi namba moja iliyo fanya mwanamke akawepo duniani binti huyu anatumia balekhe yake yote shuleni. Anamaliza chuo akiwa na miaka 24-30 anakuja kuolewa akiwa na.miaka 35 hapo tayari ameshatoa mimba tano uzazi wa tabu miaka arobaini no mtoto , unakutana nae KWA Mwamposa anapiga makofi " Anasumbukia maisha yangu × 2"
Anakuja kupata mtoto akiwa tayari amezeeka miaka 45+
2. Ku eneza zinaa.
Nature inasema binti akisha vunja ungo tu anatakiwa apate mume na kijana akisha balekhe tu anatakiwa apewe mke.
Binti anavunja ungo ana miaka 12/13/14/15 na kijana ana balekhe ana.miaka 15/16/17
KWA mujibu wa nature ambayo ndio the true will of God kijana wa umri huo ndio anatakiwa apewe mke mwenye umri huo tajwa hapo juu jambo ambalo litaondoa zinaa katika nchi
( Saudia wamefanikiwa sana katika hili. Age of consent in Saudia is 14 years old. Angola and the Philippines ni miaka 12 , Nigeria miaka 11)
Sasa basi kwa kuwa umri huo vijana wanakuwa bado wapo shule na nature is more powerful than blood wanakuwa hawana option zaidi ya kufanya zinaa. Vijana hawapewi elimu ya kujilinda na ukimwi KWA sababu jamii inawachukulia kwamba eti bado ni watoto wakati wao tayari washakuwa watu wazima. Mwisho wa siku ndio kama tulicho kisikia kwenye takwimu leo.
So nini KIFANYIKE. Umri wa ndoa ushushwe KWA watu wote ( najua sheria ya ndoa ya Tanzania ya mwaka 71 inasema KWA ndoa ya kiislamu binti anaweza kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 KWA ridhaa ya wazazi wake au 15 KWA ridhaa yake mwenyewe)
Naomba sheria hii iwe general kwa watu wote KWA sababu ndio sheria inayo endana na uhalisia wa nature.
NAMBA MBILI: MUZIKI WA AMAPIANO UPIGWE MARUFUKU.
Kama kuna mtu haijui nguvu ya muziki katika kushape na kudictate tabia na matendo ya watu katika jamii basi mtu huyo anahitaji maombi mazito sana.
Muziki una nguvu ya kushape na kudictate tabia na matendo ya watu hasa vijana ambao ndio consumer wakubwa wa muziki kwa kiasi kikubwa sana.
Kuna watu huhalalisha matendo fulani kwa sababu tu yameimbwa kwenye nyimbo.
Mtu anaweza kusema " Bana wewe mimi siwezi kuoa sass hivi wanawake wenyewe wa kuoa siku hizi hawapo.. Hata mwana Fa alishawahi kuimba*
Nakumbuka mwaka 2001 Msanii Zay B alitoa wimbo unaitwa Gasp Remix.( inspector haroun diss ) katika wimbo huo alishirikishwa Juma Nature.
Kwenye verse ya Juma Nature kuna mstari anasema " Jela kwetu sisi disko tunaruka tu masadari vibaka na watu wa shari"
Nilikuwa kidato cha tatu kipindi hicho. Kuna vijana walikuwa wanafanya uhalifu, wakiambiwa kuna Jela wanajibu " Jela kwetu sisi disko" hii inaonyesha jinsi GANI muziki ulivo na nguvu.
Muziki una nguvu sana katika kushape na kudictate matendo na tabia za vijana walio kwenye adolescent age.
Sisi vijana ambao tulikuwa kwenye adolescent age mwanzoni mwa miaka.ya 2000 tumefanikiwa kuvuka kipindi hicho salama KWA sababu muziki uli fanikiwa kushape na kudictate matendo yetu hasa katika suala zima la kujihusisha na ngono.
Huku unakutana na Kosa la marehemu ya uswahilini Matola.
Kule unakutana na "Sukari ina Pilipili" ya solo Thang.
Hujakaa SAWA unakutana na Usinitenge ya Profesa Jay.
Hapo bado sijaitaja Starehe ya Ferooz
Hata ukisikiliza nyimbo ambazo sio za ukimwi persee bado utakutana na mistari inayo kukumbusha kujiepusha na ukimwi.
Mfano ukimsikiliza Feruzi kwenye Jirushe unakutana na verse ya Jay Moo anakwambia " hapa hakuna demu wa kwenda nae nyama KWA nyama"
Kule unamsikia Artist mwingine anakwambia " unaringa umepima"
Huku unawasikia University Corner wanakwambia " Sipendi kuona mtu chini anavaa Kinga halafu juu kavukavu anakula denda, hivi hujistukii kuomba condom za ulimi hujui ukimwi jiweza kupenya hata kinywani"
Huku ukienda kwenye ngoma ya Babuu Kimbia unakutana na verse ya Mox anakwambia " Kimbia maana hata virusi wanaweza kukuletea"
Ukienda kwenye TV unakutana na.igizo la Kaole kulikuwa na mdada anaitwa Bupe , huyu Bupe aliigiza kama muathirika wa ukimwi. Alionyesha mateso ya mwathirika.
Siku ya alhamisi unamsikia mama terry na nasaha zake dhidi ya ukimwi.
Lakini leo hii vijana Tanzania imewatenga kwenye malezi kupitia muziki.
Muziki unao pewa nafasi ni amapiano/singeli au muziki ambao una promote mmomonyoko wa maadili.
Ukimwi hauzungumziwi kabisa ila yanakuwa promoted matendo ambayo huwaweka vijana kwenye hatari ya maambukizi ya ukimwi.
Mfano :
1.Demu wangu ana danga.
2. Na nyimbo nyingine kibao I don't even want to mention them hapa.
vijana wa sasa wanaona SAWA kufanya yale yanasoemwa kwenye hizo nyimbo ili waweze ku fit in na wenzao.
In process wanapata v.v.u
Mama Ongea na BASATA.
1. WAPIGE MARUFUKU AMAPIANO AU
2. WAWEKE SHERIA KALI ILI WIMBO UPIGWE IWE NI AMAPIANO /SINGELI AU HIPHOO NI LAZIMA UWE NA MAADILI MAZURI. UTOE UJUMBE MZURI KWA JAMII.
BORA TURUDI KAMA ENZI ZA RTD AMBAKO NYERERE ALIZISIKILIZA KWANZA NYIMBO KABLA YA KUPIGWA REDIONI.
SO TUKAWA NA NYIMBO KAMA " migogoro na migongano makazini ni ukosefu wa nidhamu"
" Naona bora niende zambia nikamtafute Monica "
Etc