Rais Samia: Punguza umri wa mwanamke kuolewa + Piga marufuku muziki wa amapiano ili upunguze kasi ya maambukizi ya VVU

Rais Samia: Punguza umri wa mwanamke kuolewa + Piga marufuku muziki wa amapiano ili upunguze kasi ya maambukizi ya VVU

Watu malaya malaya utawajua tu kwa mawazo yao, yaani binti aolewe akiwa na miaka 14 kisa kavunja ungo! Huyo binti anaweza kuhimili maisha ya ndoa?

Mawazo hovyo kabisa!
 
Mnataka kutuletea swaga za kigaidi ndio huwa mnaanzaga hivi hivi.

Kama unataka nature i amue basi hata huko kwenye mziki acha iamue.

Na pia kwani lazima binti au kijana akibalehe aanze kuzaa na kuolewa/kuoa mbona una akili finyu sana..

Hayo unayoyataka nashauri kayafanye kwako na familia yako.

Usitake kupangia watu maisha kwa illusion zako za kidini.

Bila hiyo western education hata huu ujinga ulioandika na kuupost humu usinge weza..mana usingejua kusoma na kuandika..usingeweza kununua na kumilika na kutumia smartphone..usiturudishe zama za ujima...bomo is not haramu ndio way of life.

#MaendeleoHayanaChama
Ona zwazwa hili!! Toa ushamba wako wa kusukuma hapa.
 
Uzi wako hakika uko poa sana, shaka yangu ni kama utapata wachangiaji.

Maana ushetani(ushoga, taarifa za vifo na mauaji, ulawiti,na mzahamzaha) ndivyo watanzania hupenda kushabikia. Ni mtazamo wangu kutokana na ninavyoona hapa JF!
Ni maoni yake, ila naomba kuuliza tu mtazamo wake kuhusu elimu ya huyo mtoto wa kike, je elimu yake itakuwa imeishia hapo akibalehe?
 
Kuolewa mapema hakuwezi kumzuwia mtu kusoma tatzo lako umekaririshw kwamba ukiolewa ndio basi tena kama mtu anaolewa na akaendelea na kufanya biashara yake ya mama nitilie sokoni au kuuza duka anashindwa je mtu kama huyo kutoweza kusoma hapo msingi ni kutengeneza mfumo ambao mtu alieolew hauwezi mbana majukumu ya familia na ndoa tembea uone Msumbiji tu hapo mtu anatoka nyumbani na mimba au na mtoto mgongoni anaenda shule na anafanya vzr darasani tu je hakuna wasomi wa kike
Nchi kama saudia unatak kunambia hakuna wasomi wa kike kwa vile wanaolewa mapema
Mm sioni tofauti kusoma na kutafuta maisha sokoni kama mwanamke alieolew anaweza kwenda dukani kwake kuuza akiwa na ndoa yake hawezi shindwa kwenda shule na kusom
Shida mumejaririshw na elimu za kimagharibi kiasi kwamba uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo huwazi nje ya mawaz ya mzungu namkubali sana jpm

Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app
Fafanua vzr mfumo wa elimu utakavyoendeshwa kwa hao wake za watu
 
Hivi mnajua hii sio Nchi ya Kifalme Rais kutoa hayo maamuzi willy-nilly ?!!!!

Eti Piga Marufuku !!!!
 
Kuolewa mapema hakuwezi kumzuwia mtu kusoma tatzo lako umekaririshw kwamba ukiolewa ndio basi tena kama mtu anaolewa na akaendelea na kufanya biashara yake ya mama nitilie sokoni au kuuza duka anashindwa je mtu kama huyo kutoweza kusoma hapo msingi ni kutengeneza mfumo ambao mtu alieolew hauwezi mbana majukumu ya familia na ndoa tembea uone Msumbiji tu hapo mtu anatoka nyumbani na mimba au na mtoto mgongoni anaenda shule na anafanya vzr darasani tu je hakuna wasomi wa kike
Nchi kama saudia unatak kunambia hakuna wasomi wa kike kwa vile wanaolewa mapema
Mm sioni tofauti kusoma na kutafuta maisha sokoni kama mwanamke alieolew anaweza kwenda dukani kwake kuuza akiwa na ndoa yake hawezi shindwa kwenda shule na kusom
Shida mumejaririshw na elimu za kimagharibi kiasi kwamba uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo huwazi nje ya mawaz ya mzungu namkubali sana jpm

Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app
Wewe uliyekaririshwa elimu ya madrasa umelisaidia nini taifa hili.??

Kila nchi na mipango yake..kama vipi beba familia yako mhamie huko saudia mkaolewe mkiwa na miaka 12...huku mkiendelea na masomo.
Absurd

#MaendeleoHayanaChama
 
Alitazame na hili
Huyo Sheikh Mohamed Yusuf jina lake la asili ni nani km alitaka wanaijeria warudi kwenye asili yao?
Anaua ndugu zake utafikiri yeye ni muarabu kumbe na yeye ni mwafrika.
Kwanini usimwambie huyo mama wataalamu wake waingie maabara?
N.B
Ujinga wa mwafrika anataka kuishi km miaka 1760 wakati ni mwaka 2000. Hapa mwafrika anatamani internet isiwepo muziki usiwepo yaani arudi km enzi za mawe.
 
Nyimbo za kupigwa marufuku ni singeli , vigoma vile vya chura,vibao kata .Kuanzia ijumaa mpaka j.pili ukifika maeneo ya buza,gongo la mboto,mbagala,temeke ni Kama umeingia dunia nyingine sio watoto sio wakubwa ni shida tupu.
Hii nchi masikini sana ndiyo maana kuna mambo km hayo. Watu hawana kazi wafanyaje?
Kazi zikiwepo hautaona mtu anahangaika na hayo mambo.
 
Wazo lako ni zuri sana mkuu. Ujumbe umetulia. Ila Hilo la kijana miaka 11 aolewe au kuoa mmmh hapo tutatengeneza mabomu makubwa. Wote akili hazijakomaa Bado. Na kwa mwanamke yupo ktk hatari kubwa sn ya kifo au kifo cha mtoto wkt wa kujifungua. Au apate fistula.
 
Turekebishe ktk familia ,maana mtoto makuzi ya akili,mwili na roho hujengwa toka nyumbani kwa wazazi,,,,,,,,,baadhi ya wazazi ndo chanzo cha mmomonyoko wa maadili,pia wazazi wapunguze kulea watoto km mayai,wafkrie enzi zao wao walilelewa ivyo......?
utandawazi so mbaya ila tunautumia vibaya ndo maana tunakizazi cha baadhi ya vijana wa hovyo miaka ya mbeleni,wasiokuwa na msaada kwa taifa miaka ijayo.
 
Haya mapendekezo ya umri mdogo wa kuolewa hayafai, yanaendekeza wapenda ngono kutoka kwa watoto.

Kupevuka sio kuota nyonyo, kupata hedhi na kumwaga manii tu. Haya ni mambo ya nje ya kingono na ni sehemu ndogo sana ya kupevuka.

Mfano: Hawa madaktari wa kike wanaowatibu na kuwafanyia operation mngewapata wapi kama mngewaoza na miaka 14? Waalimu? Rubani?
Kama walichelewa mbona wapo wenye ndoa na wana watoto?
Binti aolewe na aendelee na shule.
 
Kuolewa mapema hakuwezi kumzuwia mtu kusoma tatzo lako umekaririshw kwamba ukiolewa ndio basi tena kama mtu anaolewa na akaendelea na kufanya biashara yake ya mama nitilie sokoni au kuuza duka anashindwa je mtu kama huyo kutoweza kusoma hapo msingi ni kutengeneza mfumo ambao mtu alieolew hauwezi mbana majukumu ya familia na ndoa tembea uone Msumbiji tu hapo mtu anatoka nyumbani na mimba au na mtoto mgongoni anaenda shule na anafanya vzr darasani tu je hakuna wasomi wa kike
Nchi kama saudia unatak kunambia hakuna wasomi wa kike kwa vile wanaolewa mapema
Mm sioni tofauti kusoma na kutafuta maisha sokoni kama mwanamke alieolew anaweza kwenda dukani kwake kuuza akiwa na ndoa yake hawezi shindwa kwenda shule na kusom
Shida mumejaririshw na elimu za kimagharibi kiasi kwamba uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo huwazi nje ya mawaz ya mzungu namkubali sana jpm

Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app
Watz ni akili ndogo walio wengi.
 
Kwenye hili la kuolewa na umri mdogo naona mkuu umechemka,umeshawahi kufuatilia mabinti wa kimasai ambao wana hiyo mila kabinti kakifika tu 12 au 13 kanaoelewa,sasa fanya reseach utakuja kuniambia hapa,vingi vinapata ujauzito na ngoma ipo kwenye kujifungua,vingi kwakuwa vinakuwa havijatanuka pelvic girdles kiasi cha kutosha vinaishia kushindwa kuzaa,kupoteza damu nyingi na mwishoe kufa,ni wachache wanaowahishwa hopitali ndio wanafanikiwa kuzaa salama...
Unawajua wasukuma wewe?.Tena vibinti vidogo vinajifungulia nyumbani kabisa na siyo hospitali.
 
Watu malaya malaya utawajua tu kwa mawazo yao, yaani binti aolewe akiwa na miaka 14 kisa kavunja ungo! Huyo binti anaweza kuhimili maisha ya ndoa?

Mawazo hovyo kabisa!
Wasukuma wanapoweza himili,wao huwa si binadamu?.
 
Back
Top Bottom