Rais Samia: Punguza umri wa mwanamke kuolewa + Piga marufuku muziki wa amapiano ili upunguze kasi ya maambukizi ya VVU

Rais Samia: Punguza umri wa mwanamke kuolewa + Piga marufuku muziki wa amapiano ili upunguze kasi ya maambukizi ya VVU

Tatizo siku hizi malaya ndo wanaitwa wasanii, eti akina Diamond ndo anaitwa kioo cha jamii. Kimsingi nchi hii hata viongozi hawana maadili juu mpaka chini, huwezi kuongozana na akina msaga sumu unaenda kwa watu wenye akili zao ni udhalilishaji mkubwa sana
 
Mabweni ni darasa hata ionekane ni lazima mwanafunzi kuishi bweni?.Mimi nilishaoa kitambo sana kibinti kibichi kabisa na kilikaa chini ya uangalizi wa wazazi wangu na sasa ni mama na mke bora hasa.
Ukpata binti yako wa Kitanzania ukimuoza akiwa chini ya miaka 18 ufanyie huo muungano mapangoni otherwise na ww unaozeshwa kwa nyapara.
 
Kubwa sana.Vp hicho kibinti cha miaka hiyo 12 kutintuliwa hovyohovyo kikiwa shule ndiyo ndiyo akili?.
Huo ni uzaifu wako mzazi na umalaya wa watu wazima na ni kinyume cha sheria. Kama ni tabia yako ACHA.
 
Ukpata binti yako wa Kitanzania ukimuoza akiwa chini ya miaka 18 ufanyie huo muungano mapangoni otherwise na ww unaozeshwa kwa nyapara.
Nyapara ndiyo ntamgeuza mke.
Mada imeshauri sheria zilekebishwe,wewe unatoa maoni utafikiri uelewi nini maana ya ushauri.
 
Jamani mmesikia wimbo wa kondeboy just now kuhusu bange ni upuuzi wa kiwango cha lami
 
Huo ni uzaifu wako mzazi na umalaya wa watu wazima na ni kinyume cha sheria. Kama ni tabia yako ACHA.
Vitoto vyenyewe vya siku hizi vipo kasi mbaya.Kibinti unakikuta kinajichukua video kikijitia mswaki kunako[emoji848][emoji848][emoji848]
tena kikiwa bado hata kuvunja ungo.Acha watu wavipasue na kuvipa AIDS.
 
Mnataka kutuletea swaga za kigaidi ndio huwa mnaanzaga hivi hivi.

Kama unataka nature i amue basi hata huko kwenye mziki acha iamue.

Na pia kwani lazima binti au kijana akibalehe aanze kuzaa na kuolewa/kuoa mbona una akili finyu sana..

Hayo unayoyataka nashauri kayafanye kwako na familia yako.

Usitake kupangia watu maisha kwa illusion zako za kidini.

Bila hiyo western education hata huu ujinga ulioandika na kuupost humu usinge weza..mana usingejua kusoma na kuandika..usingeweza kununua na kumilika na kutumia smartphone..usiturudishe zama za ujima...bomo is not haramu ndio way of life.

#MaendeleoHayanaChama
Sioni sababu ya kumtusi mtoa mada japo inaonyesha utakuwa umezaliwa hii miaka ya 2000. Maadili yameshuka offcoz changes zinahitajika period
 
Vitoto vyenyewe vya siku hizi vipo kasi mbaya.Kibinti unakikuta kinajichukua video kikijitia mswaki kunako[emoji848][emoji848][emoji848]
tena kikiwa bado hata kuvunja ungo.Acha watu wavipasue na kuvipa AIDS.
Inaonekana ww ni mharibifu. Ni vile tupo kwenye fake id ila pona yako ingekuwa ni kama una nguvu kubwa ya ushwawishi kisiasa, ungejifunza kuwalinda watoto ndani ya muda mfupi sana na ungekuwa balozi wa watoto na adui ya wanaowatamani na kuwafanyia ufedhuli mabinti wadogo wa Tanzania.
 
Kazi kubwa ipo uswahilini.
Ya kuratibu na kusimamia aina ya nyimbo nakuunga mkono. Suala la ndoa kwa kweli hapana. Zama zinabadilika, kikubwa uwekwe mkazo wa elimu rafiki ya afya kwa vijana watambue thamani yao kama vijana, haki na wajibu wa kulinda afya zao, na hatari zinazowakaribia kama vijana. Vijana wetu wengi hizi elimu hawana.
Hata leo ukimuuliza kijana zipi ni haki za msingi za kijana atabaki anajiumauma.
 
Baada ya Jana siku ya Ukimwi duniani ndio nilipogundua kua wanaougua VVU sio wagonjwa maana hospital hawaitwi wagonjwa wa VVU bali wanaitwa WATEJA, sasa kuna mzee leo alikua ananunua mboga mboga gengeni hapa mtaani akawa anamsisitiza mama anaeuza kua asimuite MTEJA yeye sio MTEJA 😂
 
Anataka uasili wa Afrika na bado anajiita sheikh. Ni upuuzi
Sheikh Mohamed Yusuf alitaka waafrika turudi katika uasili wetu, turuhusu nature I dictate maisha yetu. Nature is nothing but the will of God. The will of God to humans has been stamped in the nature. God talks to humans through nature

--"the same same Mungu tulioletewa na hao wakoloni au kuna mwingine"
 
Kwenye hili la kuolewa na umri mdogo naona mkuu umechemka,umeshawahi kufuatilia mabinti wa kimasai ambao wana hiyo mila kabinti kakifika tu 12 au 13 kanaoelewa,sasa fanya reseach utakuja kuniambia hapa,vingi vinapata ujauzito na ngoma ipo kwenye kujifungua,vingi kwakuwa vinakuwa havijatanuka pelvic girdles kiasi cha kutosha vinaishia kushindwa kuzaa,kupoteza damu nyingi na mwishoe kufa,ni wachache wanaowahishwa hopitali ndio wanafanikiwa kuzaa salama...
Naongezea nyama kidogo. Kulingana na utafiti mdogo nilioufanya, nimebaini mabinti wengi walioolewa katika umri mdogo waliwapoteza watoto wao wa kwanza.
 
Ni HIVI wote tumesikia leo kuhusu takwimu za maambukizi mapya ya vvu nchini na kwamba asilimia kubwa ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 HADI 20.

Nini KIFANYIKE KUPUNGUZA kasi ya maambukizi?

Solution zinaweza kuwa nyingi lakini Kati ya hizo Nina amini zifuatazo zinaweza kusaidia KUPUNGUZA kasi ya maambukizi.


1. Punguza umri wa kufunga ndoa/umri wa kuruhusiwa kuingia katika mahusiano.

Wakati Sheikh Mohamed Yusuf anaanzisha vugu vugu la Boko Haram huko nchini Nigeria wengi hawakumuelewa.

Boko Haram ilianza kama kikundi cha Dah'wa maana yake ni :

Boko= western Education.

Haram = Illegal


Sheikh Mohd Yusuf aliamini kwamba Colonial Education ilikuwa introduced Afrika KWA sababu zifuatazo :


1. Ku control population ya mwafrika.( Mwanamke badala ya kuolewa akisha balehe kama nature unavyo dictate anaolewa akiwa na miaka 30 baada ya KUMALIZA chuo. Miaka 30 ni umri ambao mwanamke anatakiwa kuwa na at least watoto watatu HADI watano.

Sheikh Mohamed Yusuf alitaka waafrika turudi katika uasili wetu, turuhusu nature I dictate maisha yetu. Nature is nothing but the will of God. The will of God to humans has been stamped in the nature. God talks to humans through nature.

Binti anapo vunja ungo akiwa na miaka kumi na tatu tafsiri yake ni kwamba nature inasema kwamba binti huyu SASA yupo tayari KWA ajili ya kuolewa.

Elimu ya kikoloni ina pingana na nature katika hili inasema huyu ni mtoto ambae bado anatakiwa kuwa shule.

So badala ya kuolewa na kufanya kazi namba moja iliyo fanya mwanamke akawepo duniani binti huyu anatumia balekhe yake yote shuleni. Anamaliza chuo akiwa na miaka 24-30 anakuja kuolewa akiwa na.miaka 35 hapo tayari ameshatoa mimba tano uzazi wa tabu miaka arobaini no mtoto , unakutana nae KWA Mwamposa anapiga makofi " Anasumbukia maisha yangu × 2"

Anakuja kupata mtoto akiwa tayari amezeeka miaka 45+


2. Ku eneza zinaa.

Nature inasema binti akisha vunja ungo tu anatakiwa apate mume na kijana akisha balekhe tu anatakiwa apewe mke.


Binti anavunja ungo ana miaka 12/13/14/15 na kijana ana balekhe ana.miaka 15/16/17

KWA mujibu wa nature ambayo ndio the true will of God kijana wa umri huo ndio anatakiwa apewe mke mwenye umri huo tajwa hapo juu jambo ambalo litaondoa zinaa katika nchi

( Saudia wamefanikiwa sana katika hili. Age of consent in Saudia is 14 years old. Angola and the Philippines ni miaka 12 , Nigeria miaka 11)

Sasa basi kwa kuwa umri huo vijana wanakuwa bado wapo shule na nature is more powerful than blood wanakuwa hawana option zaidi ya kufanya zinaa. Vijana hawapewi elimu ya kujilinda na ukimwi KWA sababu jamii inawachukulia kwamba eti bado ni watoto wakati wao tayari washakuwa watu wazima. Mwisho wa siku ndio kama tulicho kisikia kwenye takwimu leo.



So nini KIFANYIKE. Umri wa ndoa ushushwe KWA watu wote ( najua sheria ya ndoa ya Tanzania ya mwaka 71 inasema KWA ndoa ya kiislamu binti anaweza kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 KWA ridhaa ya wazazi wake au 15 KWA ridhaa yake mwenyewe)

Naomba sheria hii iwe general kwa watu wote KWA sababu ndio sheria inayo endana na uhalisia wa nature.



NAMBA MBILI: MUZIKI WA AMAPIANO UPIGWE MARUFUKU.


Kama kuna mtu haijui nguvu ya muziki katika kushape na kudictate tabia na matendo ya watu katika jamii basi mtu huyo anahitaji maombi mazito sana.

Muziki una nguvu ya kushape na kudictate tabia na matendo ya watu hasa vijana ambao ndio consumer wakubwa wa muziki kwa kiasi kikubwa sana.

Kuna watu huhalalisha matendo fulani kwa sababu tu yameimbwa kwenye nyimbo.


Mtu anaweza kusema " Bana wewe mimi siwezi kuoa sass hivi wanawake wenyewe wa kuoa siku hizi hawapo.. Hata mwana Fa alishawahi kuimba*

Nakumbuka mwaka 2001 Msanii Zay B alitoa wimbo unaitwa Gasp Remix.( inspector haroun diss ) katika wimbo huo alishirikishwa Juma Nature.

Kwenye verse ya Juma Nature kuna mstari anasema " Jela kwetu sisi disko tunaruka tu masadari vibaka na watu wa shari"

Nilikuwa kidato cha tatu kipindi hicho. Kuna vijana walikuwa wanafanya uhalifu, wakiambiwa kuna Jela wanajibu " Jela kwetu sisi disko" hii inaonyesha jinsi GANI muziki ulivo na nguvu.

Muziki una nguvu sana katika kushape na kudictate matendo na tabia za vijana walio kwenye adolescent age.


Sisi vijana ambao tulikuwa kwenye adolescent age mwanzoni mwa miaka.ya 2000 tumefanikiwa kuvuka kipindi hicho salama KWA sababu muziki uli fanikiwa kushape na kudictate matendo yetu hasa katika suala zima la kujihusisha na ngono.

Huku unakutana na Kosa la marehemu ya uswahilini Matola.

Kule unakutana na "Sukari ina Pilipili" ya solo Thang.

Hujakaa SAWA unakutana na Usinitenge ya Profesa Jay.

Hapo bado sijaitaja Starehe ya Ferooz

Hata ukisikiliza nyimbo ambazo sio za ukimwi persee bado utakutana na mistari inayo kukumbusha kujiepusha na ukimwi.

Mfano ukimsikiliza Feruzi kwenye Jirushe unakutana na verse ya Jay Moo anakwambia " hapa hakuna demu wa kwenda nae nyama KWA nyama"

Kule unamsikia Artist mwingine anakwambia " unaringa umepima"

Huku unawasikia University Corner wanakwambia " Sipendi kuona mtu chini anavaa Kinga halafu juu kavukavu anakula denda, hivi hujistukii kuomba condom za ulimi hujui ukimwi jiweza kupenya hata kinywani"

Huku ukienda kwenye ngoma ya Babuu Kimbia unakutana na verse ya Mox anakwambia " Kimbia maana hata virusi wanaweza kukuletea"


Ukienda kwenye TV unakutana na.igizo la Kaole kulikuwa na mdada anaitwa Bupe , huyu Bupe aliigiza kama muathirika wa ukimwi. Alionyesha mateso ya mwathirika.

Siku ya alhamisi unamsikia mama terry na nasaha zake dhidi ya ukimwi.


Lakini leo hii vijana Tanzania imewatenga kwenye malezi kupitia muziki.

Muziki unao pewa nafasi ni amapiano/singeli au muziki ambao una promote mmomonyoko wa maadili.

Ukimwi hauzungumziwi kabisa ila yanakuwa promoted matendo ambayo huwaweka vijana kwenye hatari ya maambukizi ya ukimwi.


Mfano :

1.Demu wangu ana danga.

2. Na nyimbo nyingine kibao I don't even want to mention them hapa.

vijana wa sasa wanaona SAWA kufanya yale yanasoemwa kwenye hizo nyimbo ili waweze ku fit in na wenzao.

In process wanapata v.v.u

Mama Ongea na BASATA.


1. WAPIGE MARUFUKU AMAPIANO AU

2. WAWEKE SHERIA KALI ILI WIMBO UPIGWE IWE NI AMAPIANO /SINGELI AU HIPHOO NI LAZIMA UWE NA MAADILI MAZURI. UTOE UJUMBE MZURI KWA JAMII.


BORA TURUDI KAMA ENZI ZA RTD AMBAKO NYERERE ALIZISIKILIZA KWANZA NYIMBO KABLA YA KUPIGWA REDIONI.

SO TUKAWA NA NYIMBO KAMA " migogoro na migongano makazini ni ukosefu wa nidhamu"


" Naona bora niende zambia nikamtafute Monica "

Etc
Sheria ya ndoa inaruhusu binti kuolewa kwa ridhaa ya wazazi wakifikia umri wa miaka 14 lakini Sheria ya mtoto, inasema yeyote mwenye umri chini ya miaka 18 huyo ni mtoto. ILA suala la ndoa kuzuiliwa kwa binti mwenye umri chini ya miaka 18 ni sababu za viatarushi vya kiafya hasa wakati wa kujifungua na uwezo wa umri huo kufanya maamuzi yaliyo sahihi.
Mafundisho yoyote ya dini tuyatafakari na kuyaangalia kwa makini tusiyakubali tukiwa tumeweka akili kwenye kapu.
 
Naongezea nyama kidogo. Kulingana na utafiti mdogo nilioufanya, nimebaini mabinti wengi walioolewa katika umri mdogo waliwapoteza watoto wao wa kwanza.
Na wengi wanajutia kuolewa na wanaume hao na ndoa hizo nyingi hazikudumu
 
Back
Top Bottom